Binti mdogo kutoka Kenya akijibu kuhusu Watanzania; "I don`t like their Logic"

Km ni kweli wa tz hawajui kingereza, na wewe unakijua vrz bado huwezi halalisha wa tz wanajua kingereza. Ukweli utabaki kwamba wa tz hawajui kingereza. Na si kwamba hujatendewa haki, bali waliowengi ndio wamepewa haki hiyo, ww hupaswi kupewa haki hiyo

The issue is accuracy. Kama wa TZ wengi hawajui Kiingereza, kusema wa TZ hawajui Kiingereza, bila ku qualify, ni makosa, kwa sababu kuna wengine wanajua.

From a logical standpoint, you need to establish your framework, definitions, margin of error etc.

Marekani ukiwa na damu ya mweusi wewe ni mweusi hata kama 90% ya DNA yako mzungu.

Brazil na South Africa ukiwa na damu ya weuoe kidogo tu wewe si mweusi, ni mulatto /colored.

Ndiyo maana nasema ni muhimu ku qualify vitu. Kwa sababu bila ku qualify Trevor Noah atatoka zake South Africa ataenda Los Angekes na kusema yeye si Black ni colored, weusi wa Los Angeles watasema "Whaaat? This Nigga thinks he white or something"
 
From a logical standpoint, you need to establish your framework, definitions, margin of error etc.

Marekani ukiwa na damu ya mweusi wewe ni mweusi hata kama 90% ya DNA yako mzungu.

Brazil na South Africa ukiwa na damu ya weuoe kidogo tu wewe si mweusi, ni mulatto /colored.

Ndiyo maana nasema ni muhimu ku qualify vitu. Kwa sababu bila ku qualify Trevor Noah atatoka zake South Africa ataenda Los Angekes na kusema yeye si Black ni colored, weusi wa Los Angeles watasema "Whaaat? This Nigga thinks he white or something"
Yes, ndio maana tulipaswa kumwuliza mleta mada, anahalalisha vip kusema watanzania hawana logic? Kuna takwim au tafiti zozote zenye zinazo eleza hivyo?

Tafiti hiyo ndio itatoa definition, margin of error ili kujastify.
 
huyu jamaa amekalilishwa na "kabinti" kuwa watz hawana logic !!!...inaonekana hata kangemwambia kamletee watu wamle kiboga angekubali maana tayari ameshasadiki kila jambo kanalomwambia
 
sema alikuona wewe huna logic akaamua kufikisha ujumbe kinyume kwa kujumuisha wa-tz wote.

maana binti kasema hatuna logic ila naona ufafanuzi umeutoa wewe kwa maneno yako, ukiwa na maana ulikubaliana nae na hukuupa ubongo wako muda wa kutafakari aliyo sema.

N:B mimi nna logic 2 mbili nyeupe, moja ya bkuu nimeinunua juzi kama huna njoo nikuazime
 
Haswa wewe huna tofauti kifikra na ming'ombe mnayoifuga!! Hata huyo bwana wenu maisha ya kuchangamana Na Ng'ombe yamemuathiri licha ya kisomo cha PhD alichonacho!!

Haha eti frent Ford!! Mtu mwenye logic haitaji kuongea utumbo halafu msemaji aje afafanulie umma!! Mmekuwa mbilikimo Na wanasesere sana mbele ya huyu mchunga Ng'ombe ambaye yupo too irrational Na illogical!!!!

Mtu ambaye bila aibu amekuta sukari 2000 akaweka zuio la sukari toka nje ikapaa hadi 5000 leo bila haya anasema alikuta sukari inauzwa 5000 really? Hii ndio logic?

Wenzenu wanawekeza kiburi kwenye technology wewe Na mshamba mwenzio mnatambia jeuri ya mdomoni tena mdomo unaonuka harufu ya ufukara na ulozi? KINYAA!!

Sasa nunueni mbaazi kwa sh. 2000 kama zamani basi kama mna jeuri maana wakulima wanatesekea bei ya sh. 150 kwa kilo!!

Ukweli utabaki ukweli mpo too illogical na Hamna tofauti na kima.
Hahahaha pole sana mkuu, wewe ndio wale wenye vyeti feki ambao wamelazimia kuachia nafasi za kazi.

Unakuja humu ndani kupunguza machungu baada ya kuanza maisha mapya mtaani.

Nyinyi ndio mnaotufanya tutukanwe na hao watoto wa Kenya, kila kitu mnakichukulia poa kwa sababu ya uwezo mdogo wa tafakuri.
 
Wakenya ,waTZ wote walewale wanafanana tu


Inaonyesha namna gani ulivyo na logic ndogo mbaba mzima na ndevu zako unakalishwa na kitoto cha kike cha Kenya kinakupa tuition halafu unaleta mada cha kibinti hicho jf kisima cha great thinkers tuijadili kauli yake

No wonder alikuwa anazungumzia aina ya watu kama wewe

Grow up boy
Umeifanya weekend iende vema. Hata mimi nilimhisi kama vile hana maana kujadaili na kibinti cha Kenya ambacho hana uhakika kama kimefanya utafiti kuhusu hilo
 
Nhisi alikutana na watu kama nyinyi ndiyo akafikia conclusion hiyo..umeandika mambo mengi ambayo yote wewe ni typical example
Unaongea hisia?Na unazo hisia kwelikweli.Nyie ndio huwa mnahamasisha watu wauawe kwa kukufuru pale wanapotumia uhuru wa habari au kuhoji ILLOGICAL DECISIONS YA VIONGOZI WENU.
 
Mkuu kadri miaka inavyozidi kwenda ndivyo ambavyo kasumba ya wakenya kuwa ni bora kifikra kuliko sisi watanzania inavyozidi kutoweka.
Booooss, Unatesema sana na Logic .Ukiwa na Logic unakuwa RATIONAL .Ukiwa rational untoa maamuzi yenye hitimisho bora kutokana na uliyochagua kufikiri.Ukiwa Rational unakuwa unatenda haki katika maamuzi, na hayo maamuzi yanakuwa na ushahidi, wigezo. Utakuwa hujitendei hata wewe mwenyewe haki km unapwaya lakini unataka kuchukua jukumu la kufuanya maamuzi. KWA TAARIFA YAKO NDIPO GAP LINAZIDI. Zaidi ya Nusu watanzania wanafikiri nusu nusu kwa akili za CCM, Ndio maana wengi wanapoteza muda kumpima magufuli kwa kipimo cha JK
Typical mkenya anadhani kwamba anazo akili kuliko mtanzania. Na hivi ambavyo JPM anawafungia vioo na kuwakazia mazima, ndivyo ambavyo wanazidi kukasirika.
Huu mfano uliouweka umekushusha sana. Magufuli ndio atakusaidia kufikiri hoja nyingi ?Kwanza mwenyewe maamuzi yake ni tata sana. Consistency ni mojawapo ya sifa za logic. Ukipoteza consistence hitimisho kuu la sifa zako haliwezi bebwa na kazi au maamuzi ya nyuma. AWAFUNGIE KIOO YEYE NDIO ANACONTROL AKILI ZAO?Katika kitu ambacho free thinkers wanaamini ni kwamba unaweza mnyang`anya kila kitu ila sio akili yake.Watanzania mmeporwa kila kitu kwa vile mlilazimishwa kuzima akili zenu
Ukweli wa maisha ni kwamba hakuna kinachobakia kilivyo milele yote, wakenya itabidi watuvumilie kwani kizazi cha vijana wa sasa wa Tanzania na wale wa miaka michache ijayo hakitavumilia mambo ya kipuuzi kutoka kwa yoyote yule.
bai kakuambia kizazi cha Diamond kinaweza toa thinkers lets alone Rational Person anaweza fanyo logical decisions? Wanaosoma nje ndio watakuwa exposed na proper ways of thinking.Nyie mnopewa motisha mnakuwa km magari yaliyowekwa mafuta machafu mtakuwa na shida sana.Motisha sio kwa mtu asiyejua ila anayejua ila anakosa kujiamini.Ukipewa motisha km hujui au huna uwezo wa kufikiri hutokuwa tofauti na wale walevi wanaosema wanajua kiingereza wakilewa.Kutovumilia pia ni sifa ya mtu asiye na fikra[/QUOTE]
Rais Magufuli anafanya jambo la maana sana katika kujenga kiburi miongoni mwa vijana. Anaposema tunatakiwa tuwapelekee wazungu mitumba anamaanisha tuwe na ile jeuri ya kitanzania. Kutobabaishwa na kasumba za kuwa eti wakenya ni bora kuliko sisi.
[/QUOTE] Mjinga kumoa kiburi cha ujinga wake ndio faida?Au ni kumfanya mzigo asiyevumilika. Ujinga umewalevya nyie,sasa mnadhani huo ulevi utawasaidia mfikiri vyema
Na miaka kadri inavyosogea wakenya wengi sana watakuwa na akili kama huyo mtoto uliyekutana nae, wakishachoka kumchora rais wetu kwenye katuni zao, wataendelea kuwa na vinyongo kama huyo dogo.
I DONT LIKE YOUR LOGIC TOO.Unaweza uongo ili uhalalishe uongo wako. Kinyongo cha nini?Unspoilled kid wa international school hana ushawishi wa kipuuzi. Kukosa logic ni km kuwa na cd zenye nyimbo nzuri ila zina scratches. Kwa taarifa yako watz wengi wamejaa material kichwani km flsh disk ambayo ina materials ila haiwezi kufikiri yenyewe.Ndio maana umejaza JPM kila mahali. Yeye mwenyewe anawaita wapumbavu kila siku. Wachina ,wahindi, wachaga hata wakenya wenye elimu ndogo, kila kukicha wanakutana na wajinga wenye viburi km vyie,wanajifunza kwao(Flash Disk) , kwa vile wao wana processor iliyosetiwa vyema, wana digest haraka na haichukui muda wanaanza kuwa kuwaongoza.
 
Wakenya ,waTZ wote walewale wanafanana tu


Inaonyesha namna gani ulivyo na logic ndogo mbaba mzima na ndevu zako unakalishwa na kitoto cha kike cha Kenya kinakupa tuition halafu unaleta mada cha kibinti hicho jf kisima cha great thinkers tuijadili kauli yake

No wonder alikuwa anazungumzia aina ya watu kama wewe

Grow up boy

Mkuu majibu yako haya ni kipimo cha ukosefu wa logic 100%. Yaan umedhihirisha alichokiandika, wala hatuna haja ya ku-verify polote! You deserve to be the subject of our study
 
Mkuu kadri miaka inavyozidi kwenda ndivyo ambavyo kasumba ya wakenya kuwa ni bora kifikra kuliko sisi watanzania inavyozidi kutoweka.

Typical mkenya anadhani kwamba anazo akili kuliko mtanzania. Na hivi ambavyo JPM anawafungia vioo na kuwakazia mazima, ndivyo ambavyo wanazidi kukasirika.

Ukweli wa maisha ni kwamba hakuna kinachobakia kilivyo milele yote, wakenya itabidi watuvumilie kwani kizazi cha vijana wa sasa wa Tanzania na wale wa miaka michache ijayo hakitavumilia mambo ya kipuuzi kutoka kwa yoyote yule.

Rais Magufuli anafanya jambo la maana sana katika kujenga kiburi miongoni mwa vijana. Anaposema tunatakiwa tuwapelekee wazungu mitumba anamaanisha tuwe na ile jeuri ya kitanzania. Kutobabaishwa na kasumba za kuwa eti wakenya ni bora kuliko sisi.

Na miaka kadri inavyosogea wakenya wengi sana watakuwa na akili kama huyo mtoto uliyekutana nae, wakishachoka kumchora rais wetu kwenye katuni zao, wataendelea kuwa na vinyongo kama huyo dogo.

Unazungumza mambo ya baadae, ni kweli inawekezekana tukabadilika ila sio kwa wasomi wa leo wenye njaa waoga na wavivu kufikiri. Unafiki umekuwa tunu ya taifa letu. Kuweka vinyongo na wengine sio njia ya kutoka kimaisha, ila kwa kushirikiana nao tunajifunza na kusaidiana kukuza uchumi. Inasikitisha kuona vijana mnataka mjenge taifa la watu wenye viburi na dharau, na bado mna ndoto ya kuwashinda. Kumbukeni mnapowaza kujenga viburi na dharau, wao wanawaza kuinua uchumi na mambo mengine yenye maana kwa uchumi!!!! Sijajua mchango wa kiburi kwenye ukuaji wa uchumi
 
Kufikiri hivyo ni collectivism, ukifanya hivyo huna budi kuweka qualifiers.

Unaweza kukosa mambo kwa sababu tu unapotoka watu wengi wana tatizo fulani, hata kama wewe huna.

Kitu ambacho si haki.

Kwa mfano, watu wanasema kwa ujumla Watanzania hawajui Kiingereza.

Mimi nilivyokuwa Bongo nimeenda kwenye interview na Wamarekani, Mmarekani mmoja akawa anauliza vipi uwezo wangu wa kuzungumza Kiingereza? Ikabidi kabla sijajibu, Mmarekani mwenzake adakie "Huyo anaongea Kiingereza kizuri kunizidi mimi (yeye Mmarekani).

Sasa mtu kama mimi ukinulundika na Watanzania wenye matatizo ya kusema Kiingereza, kwa sababu tu kiujumla Watanzania wana matatizo ya kusema Kiingereza, kwa mujibu wa Mmarekani huyo, utakuwa hujanitendea haki.
How sure are you kwamba walimaaisha hivyo? Wamarekani ni watu wanaopenda ku cocompliment sana watu.Ingawa wakitaka kukufanya kituko ni kawaida sana. Pia ni kweli kuna wamarekani wasiojua kiingereza haswa weusi na weupe wa mashambani ,ambao hata wasipoenda shule jamii zao zina mifumo ya kuishi kwa mafanikio na kuwafanya wasihitaji sana shule ili kuishi vyema. Hata watz wasiojua kiswahili mijini ni wengi tuu. Na wanaojua kiswahili ila Logic imewatupa mkono ni wengi tuu. N ambaya hao wengi ndio wenye ushawishi mkubwa wa kubadili mifumo inayoaffect logic kwa taifa zima.
 
Nadhani majibu haya yanamtosha mleta mada
I TOO DONT LIKE YOUR LOGIC. Logic ya ma ccm. ndio hupeana support bungeni kuita wabunge ndugu yangu, mdogo wangu, mwanafunzi wangu na maneno mengine kwa vile ni watoto.Ndio akili zenu hizo.Huyo mpuuzi anataka dharau kabinti kwa vile ni mdogo , wakati ana akili ya kujua IRRATIONALITY ya watz kabla ya miprof yenu. Anadai ndevu lazima zimaanishe ukubwa.Kuna wachina wazee hawana ndevu, na kuna watoto wa makundi yasiyo ya weusi miaka 1 wana ndevu haswa.
 
Una kichaa wewe na mwanamke wako wa kikunya, me and my Tanzanian people I know, are very logical folks. gtfoh
Huu mchezo hauitaji hasira tengeneza hoja sio kutoa shit from unknown ......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom