Majoja
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 612
- 186
Hapo kwenye red nakuunga mkono kwa sehemu kubwa. Shamhuna and His Co. aliishupalia sana SUMATRA iondoke zanzibar.
Hawa ndio wanasiasa ambao vitendo vyao havielezeki. Wameitimua SUMATRA Zenj bila kuweka utaratibu unaeleweka kulinda usalama wa wananchi.
Ni vyema wakawajibika kwa vitendo vyao kuhatarisha maisha wa watu masikini kwa sababu za kisiasa.