Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Katika uzi huu binti mmoja huko Kenya aliomba ushauri wa nini afanye kabla na baada ya kupoteza bikira yake na hivi ndivyo alivyoshauriwa.....................................
1) Maumivu hayakwepeki na sababu alipewa.
2) Kuvuja damu ni lazima....................
3) Faida za foreplay alijulishwa.
4) Matumizi ya kondomu na vilainishi vyake alilisitizwa.
5) Alishauriwa afanya mazungumzo na mpenzie kabla na baada ya kupoteza bikira yake.........
6) La muhimu alishauriwa ni lazima ahakikishe yupo tayari na angelipenda iwe hivyo.
Kwa khabari zaidi bonyeza hiki kifungo.................coping with pain during sex.
1) Maumivu hayakwepeki na sababu alipewa.
2) Kuvuja damu ni lazima....................
3) Faida za foreplay alijulishwa.
4) Matumizi ya kondomu na vilainishi vyake alilisitizwa.
5) Alishauriwa afanya mazungumzo na mpenzie kabla na baada ya kupoteza bikira yake.........
6) La muhimu alishauriwa ni lazima ahakikishe yupo tayari na angelipenda iwe hivyo.
Kwa khabari zaidi bonyeza hiki kifungo.................coping with pain during sex.