Kwa nini asiwamudu, kwani hujui kuwa wanawake wana nguvu sana kuliko sisi wanaume kwenye mambo hayoNdoa ya moja hivi karibuni kutoka katika kabila la WAZULU imekuwa gumzo baada ya Msichana mmoja kuolewa kwa ndoa moja ya kijadi na Wavulana wawili Mapacha kuwa waume zake.
Sasa swali ni kuwa atawamudu wote kwa mpigo katika yale mambo yetu, au watapangiana zamu kama zile za mume mwenye mke zaidi ya mmoja?
View attachment 1013009View attachment 1013006View attachment 1013007View attachment 1013008
Halafu hapo sasa bado kila siku morning Glory 2/2 huko kunako kutakuwa kunavutika kama lasticHapo mtihani ni nani atakuwa wa kwanza kupata Mambo wakati wa kuhanimunika!...kama kila mmoja akiwa na uwezo wa kupiga 3 jumla 6 kwa pamoja, mara mbili tu mdada hatatamani tena wiki nzima.
Ana bahati, wish ningekuwa mimi
Sent from my Infinix X5515 using Tapatalk