Binti anayeonesha uchi mtandaoni ‘Live’, achukuliwe hatua haraka

Binti anayeonesha uchi mtandaoni ‘Live’, achukuliwe hatua haraka

BIG BROTHER ALEX

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2025
Posts
1,293
Reaction score
2,214
DAH tulipo FIKA SIO pazuri, Kuna HUYO Binti MTANDAONI huonyesha uchi wake live insta, ALAFU anafunika, SIJUI ni WA bongo hapa, KWA KWELI SERIKALI YETU msichekee HAYA MAMBO tuelekeako WATOTO wetu WA kike wataharibikiwa

Kama tunaweza kulalamika acc za wanasiasa FULANI zifungiwee tunaomba na acc za watu ka HAWA nazo zifungiwee

INASIKITISHA SANA Yani ANAONYESHA kabisa TENA insta live. Kitumbua HICHO, anawazalilisha wanawake wenzie HATA kama ni NJAA au kukuza acc, hapaaaanaaaa
 
DAH tulipo FIKA SIO pazuri, Kuna HUYO Binti MTANDAONI huonyesha uchi wake live insta, ALAFU anafunika, SIJUI ni WA bongo hapa, KWA KWELI SERIKALI YETU msichekee HAYA MAMBO tuelekeako WATOTO wetu WA kike wataharibikiwa, kama tunaweza kulalamika acc za wanasiasa FULANI zifungiwee tunaomba na acc za watu ka HAWA nazo zifungiwee, INASIKITISHA SANA Yani ANAONYESHA kabisa TENA insta live. Kitumbua HICHO, anawazalilisha wanawake wenzie HATA kama ni NJAA au kukuza acc, hapaaaanaaaa
Kaonyesha uchi wake kwa hiyari yake mwenyewe na hajalazimisha mtu yoyote kuangalia? Is that how it was?
Just clarify this first.
 
Uchi ni wake, sisi hautuhusu ndugu.Kama watu waki-ignore na kutowapa attention..wataacha wenyewe tu.Ukikutana na hayo mambo just ignore au delete account na usi-follow au usilete huku ili kuwapata attention.
Kuna mambo mengi mitandaoni na duniani ni wewe kuamua kusuka ama kunyoa.
 
Uchi ni wake, sisi hautuhusu ndugu.Kama watu waki-ignore na kutowapa attention..wataacha wenyewe tu.Ukikutana na hayo mambo just ignore au delete account na usi-follow au usilete huku ili kuwapata attention.
Kuna mambo mengi mitandaoni na duniani ni wewe kuamua kusuka ama kunyoa.
WATOTO wetu ambao BADO HAWAJA komaa kiakili, ULISEMA iwe HIVO una Manisha dawa za KULEVYA zizwe HADHARANI SABABU MTU alazimishwi kutumia SIO?
 
Kuna watu hata anavyoandika unagundua ni mnafiki.

Wewe umejua anaonesha uchi na hupendi lakini cha ajabu bado unamfatilia.

Ulivyo mpumbavu umekuja kumtangazia soko kwa reason et serikali ichukue hatua kwa kitu mtu anafanya kwa hiari yake. Hao waserikali wao hawana nyuchi hadi washugulikie nyuchi ya mwingine.

Nani hajui mwanamke hana uchi?
Hao watoto wanao haribika wao hawana nyuchi zao ila ya mwenzao ndo inawaharibu?

Pole kwa ujinga wako mkuu.
 
DAH tulipo FIKA SIO pazuri, Kuna HUYO Binti MTANDAONI huonyesha uchi wake live insta, ALAFU anafunika, SIJUI ni WA bongo hapa, KWA KWELI SERIKALI YETU msichekee HAYA MAMBO tuelekeako WATOTO wetu WA kike wataharibikiwa, kama tunaweza kulalamika acc za wanasiasa FULANI zifungiwee tunaomba na acc za watu ka HAWA nazo zifungiwee, INASIKITISHA SANA Yani ANAONYESHA kabisa TENA insta live. Kitumbua HICHO, anawazalilisha wanawake wenzie HATA kama ni NJAA au kukuza acc, hapaaaanaaaa
Unaongelea huyu lakini wacheza video za ngono haujawaona? Tena wamejaa tele ni hatari zaidi kuliko huyo
 
DAH tulipo FIKA SIO pazuri, Kuna HUYO Binti MTANDAONI huonyesha uchi wake live insta, ALAFU anafunika, SIJUI ni WA bongo hapa, KWA KWELI SERIKALI YETU msichekee HAYA MAMBO tuelekeako WATOTO wetu WA kike wataharibikiwa, kama tunaweza kulalamika acc za wanasiasa FULANI zifungiwee tunaomba na acc za watu ka HAWA nazo zifungiwee, INASIKITISHA SANA Yani ANAONYESHA kabisa TENA insta live. Kitumbua HICHO, anawazalilisha wanawake wenzie HATA kama ni NJAA au kukuza acc, hapaaaanaaaa
Sio yule mzimbabwe ambaye kafungiwa account yake
 
Kuna watu hata anavyoandika unagundua ni mnafiki.

Wewe umejua anaonesha uchi na hupendi lakini cha ajabu bado unamfatilia.

Ulivyo mpumbavu umekuja kumtangazia soko kwa reason et serikali ichukue hatua kwa kitu mtu anafanya kwa hiari yake. Hao waserikali wao hawana nyuchi hadi washugulikie nyuchi ya mwingine.

Nani hajui mwanamke hana uchi?
Hao watoto wanao haribika wao hawana nyuchi zao ila ya mwenzao ndo inawaharibu?

Pole kwa ujinga wako mkuu.
NINGE muonesha picha yake NINGE kuwa nimemtangazia soko, SIJA FANYA HIVO, kaka SIO kila alieko HUMU ni mhuni kama WEWE, vua basi NGUO na WEWE utembee uchi SI mwili wako
 
Back
Top Bottom