Binti akifikia hatua hii, omba Mungu

Kpi
Najua mapema sana ila niko katika wakati mgumu sana na shemej yenu. Huyu binti yuko katika the most highl peak of maximum desperation ya ndoa

Hata sijui nifanyaje wakuu niko naye muda ila kiukweli siwezu mwoa huyu binti kiukweli ana vigezo vyoote amebadilika tabia n all that. Well niseme tu, she used to be a slay queen enzi hizo. So ana mavitu mwilini mwake ambayo mimi siyapendi kiufupi

Ila ni bint ambae ananipenda vibaya mno..na amenielewa nyanja zote na yuko tayar kwa lolote ..juz kanambia nisipokua muelewa na anachotaka ataniroga kiutani utan ila sura yake ilikua serious. sasa wakuu

Kwa sura ni mzur umbo zuri saaana ila sasa nampelekaje home kumtambulisha mtu maskio yana matobo kama 100 mwil tatoo kadhaa znazoonekana

Well nishapiga snaa kelele hum kuhusu huyu dem kumwacha namwonea huruma basi daaah. Nayeye ndo kaniganda .naweza sema huyu dem nipo peke yangu..hyo nna uhakika 100% ni dem flan hiv free soul mzungu flain hivi keshakaa sana ulaya etc. well akikasirika huwa anasmoke sometime..hahaha

Ila kaacha, anasema sabab zaman alikua anasmoke huko Uk.

Sasa wakuu huyu dem ameniganda sana nashindwa nifanyeje had muda mwingne analia kabisa, anatia huruma. Hapa had naandika hivi kanifata sehemu yangu ya kazi anataka nimsindikize hospital. Dahhh.

Huu msalaba mzito jamani, nipen ushauri
Kapicha kidogo kiongozi😀
 
Enzi za ujana wangu nilikwepa kutembea na binti yeyote niliyegundua ananipenda sana huku mimi nikiona sina future naye! Jamaa walinicheka ila mimi nilikua nakwepa haya matatizo ya namna hii

Cha kufanya mueleze tu wazi maamuzi yako ila ujiandae kwa consequences! Kama kuna mtu anamtaka kaa chini,negotiate naye kisha umfaulishie. Hiyo itakusaidia kupunguza madhara!
 
Eeeeeh hatar kaka....ishu ni mim ntaonekana kituko home kaka
Katika maamuzi ya kuoa hebu jianagalie wewe zaidi, home wanaweza kuona sio poa ila una amani....vipi ukipeleka asie na hiyo michoro lakini huna furaha naye?

Jifanyie tathmini je wewe unampenda na unatamani kuishi nae? Kama sio mwambie au achana nae kimya kimya ili usiendelee kumzibia riziki kwa wengine.

Mara nyingine mtu unakua hujui unachotaka au tuseme unakuwa una'imagine' mwenza unayemtaka aliekamilika kila kigezo lakini kiuhalisia hayupo, muda unaenda inafika mahali inabidi ukubali hakuna mtu ambae amekamilika na ulienaye ndio kiwango chako....

Huenda hata yeye anahisi wewe iso sahihi kwa asilimia 100 lakini anaona sio mbaya...
 
Huyo anakupenda sana bahati mbaya wewe humpendi kiviile, anyway unaweza ukamwacha na kumtafuta unayempenda Ila usitegemee umpendaye atakupenda, inawezekana akakuumiza. Maisha haya bwana acha tuu.
 
Najua mapema sana ila niko katika wakati mgumu sana na shemej yenu. Huyu binti yuko katika the most highl peak of maximum desperation ya ndoa

Hata sijui nifanyaje wakuu niko naye muda ila kiukweli siwezu mwoa huyu binti kiukweli ana vigezo vyoote amebadilika tabia n all that. Well niseme tu, she used to be a slay queen enzi hizo. So ana mavitu mwilini mwake ambayo mimi siyapendi kiufupi

Ila ni bint ambae ananipenda vibaya mno..na amenielewa nyanja zote na yuko tayar kwa lolote ..juz kanambia nisipokua muelewa na anachotaka ataniroga kiutani utan ila sura yake ilikua serious. sasa wakuu

Kwa sura ni mzur umbo zuri saaana ila sasa nampelekaje home kumtambulisha mtu maskio yana matobo kama 100 mwil tatoo kadhaa znazoonekana

Well nishapiga snaa kelele hum kuhusu huyu dem kumwacha namwonea huruma basi daaah. Nayeye ndo kaniganda .naweza sema huyu dem nipo peke yangu..hyo nna uhakika 100% ni dem flan hiv free soul mzungu flain hivi keshakaa sana ulaya etc. well akikasirika huwa anasmoke sometime..hahaha

Ila kaacha, anasema sabab zaman alikua anasmoke huko Uk.

Sasa wakuu huyu dem ameniganda sana nashindwa nifanyeje had muda mwingne analia kabisa, anatia huruma. Hapa had naandika hivi kanifata sehemu yangu ya kazi anataka nimsindikize hospital. Dahhh.

Huu msalaba mzito jamani, nipen ushauri
sasa muache akuroge
 
Najua mapema sana ila niko katika wakati mgumu sana na shemej yenu. Huyu binti yuko katika the most highl peak of maximum desperation ya ndoa

Hata sijui nifanyaje wakuu niko naye muda ila kiukweli siwezu mwoa huyu binti kiukweli ana vigezo vyoote amebadilika tabia n all that. Well niseme tu, she used to be a slay queen enzi hizo. So ana mavitu mwilini mwake ambayo mimi siyapendi kiufupi

Ila ni bint ambae ananipenda vibaya mno..na amenielewa nyanja zote na yuko tayar kwa lolote ..juz kanambia nisipokua muelewa na anachotaka ataniroga kiutani utan ila sura yake ilikua serious. sasa wakuu

Kwa sura ni mzur umbo zuri saaana ila sasa nampelekaje home kumtambulisha mtu maskio yana matobo kama 100 mwil tatoo kadhaa znazoonekana

Well nishapiga snaa kelele hum kuhusu huyu dem kumwacha namwonea huruma basi daaah. Nayeye ndo kaniganda .naweza sema huyu dem nipo peke yangu..hyo nna uhakika 100% ni dem flan hiv free soul mzungu flain hivi keshakaa sana ulaya etc. well akikasirika huwa anasmoke sometime..hahaha

Ila kaacha, anasema sabab zaman alikua anasmoke huko Uk.

Sasa wakuu huyu dem ameniganda sana nashindwa nifanyeje had muda mwingne analia kabisa, anatia huruma. Hapa had naandika hivi kanifata sehemu yangu ya kazi anataka nimsindikize hospital. Dahhh.

Huu msalaba mzito jamani, nipen ushauri
Huyo demu hana kazi zingine za kufanya mpaka akugande kiasi hicho??😂
 
Mtu ana mitattoo nampeleka vipi home! Midude inakata stim sio poa hata kidogo...
 
Najua mapema sana ila niko katika wakati mgumu sana na shemej yenu. Huyu binti yuko katika the most highl peak of maximum desperation ya ndoa

Hata sijui nifanyaje wakuu niko naye muda ila kiukweli siwezu mwoa huyu binti kiukweli ana vigezo vyoote amebadilika tabia n all that. Well niseme tu, she used to be a slay queen enzi hizo. So ana mavitu mwilini mwake ambayo mimi siyapendi kiufupi

Ila ni bint ambae ananipenda vibaya mno..na amenielewa nyanja zote na yuko tayar kwa lolote ..juz kanambia nisipokua muelewa na anachotaka ataniroga kiutani utan ila sura yake ilikua serious. sasa wakuu

Kwa sura ni mzur umbo zuri saaana ila sasa nampelekaje home kumtambulisha mtu maskio yana matobo kama 100 mwil tatoo kadhaa znazoonekana

Well nishapiga snaa kelele hum kuhusu huyu dem kumwacha namwonea huruma basi daaah. Nayeye ndo kaniganda .naweza sema huyu dem nipo peke yangu..hyo nna uhakika 100% ni dem flan hiv free soul mzungu flain hivi keshakaa sana ulaya etc. well akikasirika huwa anasmoke sometime..hahaha

Ila kaacha, anasema sabab zaman alikua anasmoke huko Uk.

Sasa wakuu huyu dem ameniganda sana nashindwa nifanyeje had muda mwingne analia kabisa, anatia huruma. Hapa had naandika hivi kanifata sehemu yangu ya kazi anataka nimsindikize hospital. Dahhh.

Huu msalaba mzito jamani, nipen ushauri
Piga chini potelea mbali
 
Aya mbili za mwanzo...
Angetaka tusitomb...ne mpaka ndoa angeweza tu kuruhusu huo unaouita "mfumo wa uzazi" ufanye kazi baada ya ndoa tu.
Mengine watajibu wengine
Hata mm huwa nawazaga hvo hvo. Yaan you spoke my mind.
 
Unanikumbusha enz hizo nimekolea kwa star mmoja hivi wa bongo dah! Nilimlazimisha sana anioe lakin wap akanipa mashart nipate mimba ili anioe..nikajitegesha nikadaka mimba nioe akasema subir uzae aah nikaitoa ile mimba hlf nikaolewa na bwana mwingine kwa hasira..chakushangaza hadi leo miaka 15 bado tunafanyana..yaan ananipenda lakini kuoa muoga..hana mke
Pia itakua hana hela
 
Back
Top Bottom