Binti akifikia hatua hii, omba Mungu

Najua mapema sana ila niko katika wakat mgum sana na shemej yenu. Huyu bint yuko katika the most highl peak of maximum desperation ya ndoa

Hata sijui nifanyaje wakuu niko naye muda ila kiukwel siwez mwoa huyu binti kiukweli ana vigezo vyoote amebadilika tabia n all that. Well niseme tu, she used to be a slay queen enzi hzo. So ana mavitu mwilin mwake ambayo mim siyapend kiufup

Ila ni bint ambae ananipenda vibaya mno..na amenielewa nyanja zote na yuko tayar kwa lolote ..juz kanambia nisipokua muelewa na anachotaka ataniroga kiutani utan ila sura yake ilikua serious. sasa wakuu

Kwa sura ni mzur umbo zuri saaana ila sasa nampelekaje home kumtambulisha mtu maskio yana matobo kama 100 mwil tatoo kadhaa znazoonekana

Well nishapiga snaa kelele hum kuhusu huyu dem kumwacha namwonea huruma basi daaah. Nayeye ndo kaniganda .naweza sema huyu dem nipo peke yangu..hyo nna uhakika 100% ni dem flan hiv free soul mzungu flain hivi keshakaa sana ulaya etc. well akikasirika huwa anasmoke sometime..hahaha

Ila kaacha, anasema sabab zaman alikua anasmoke huko Uk.

Sasa wakuu huyu dem ameniganda sana nashindwa nifanyeje had muda mwingne analia kabisa, anatia huruma. Hapa had naandika hivi kanifata sehemu yangu ya kazi anataka nimsindikize hospital. Dahhh.

Huu msalaba mzito jamani, nipen ushauri
Wewe ni mvulana au?
 
Najua mapema sana ila niko katika wakat mgum sana na shemej yenu. Huyu bint yuko katika the most highl peak of maximum desperation ya ndoa

Hata sijui nifanyaje wakuu niko naye muda ila kiukwel siwez mwoa huyu binti kiukweli ana vigezo vyoote amebadilika tabia n all that. Well niseme tu, she used to be a slay queen enzi hzo. So ana mavitu mwilin mwake ambayo mim siyapend kiufup

Ila ni bint ambae ananipenda vibaya mno..na amenielewa nyanja zote na yuko tayar kwa lolote ..juz kanambia nisipokua muelewa na anachotaka ataniroga kiutani utan ila sura yake ilikua serious. sasa wakuu

Kwa sura ni mzur umbo zuri saaana ila sasa nampelekaje home kumtambulisha mtu maskio yana matobo kama 100 mwil tatoo kadhaa znazoonekana

Well nishapiga snaa kelele hum kuhusu huyu dem kumwacha namwonea huruma basi daaah. Nayeye ndo kaniganda .naweza sema huyu dem nipo peke yangu..hyo nna uhakika 100% ni dem flan hiv free soul mzungu flain hivi keshakaa sana ulaya etc. well akikasirika huwa anasmoke sometime..hahaha

Ila kaacha, anasema sabab zaman alikua anasmoke huko Uk.

Sasa wakuu huyu dem ameniganda sana nashindwa nifanyeje had muda mwingne analia kabisa, anatia huruma. Hapa had naandika hivi kanifata sehemu yangu ya kazi anataka nimsindikize hospital. Dahhh.

Huu msalaba mzito jamani, nipen ushauri
Hata wewe unampenda ndio maana unamuonea huruma na unaona ngumu kumuacha ila pia huna ujasiri either tayari umekutana na demu mwingine unagundua ana viwango kuliko huyo au unawasikiliza sana watu kuhusu demu.NaKUSHAURI OA FASTA kuliko KUZINI.Usisahau kunipa kadi ya mwaliko wa kuja kula pilau na maji kubwa.
 
Najua mapema sana ila niko katika wakat mgum sana na shemej yenu. Huyu bint yuko katika the most highl peak of maximum desperation ya ndoa

Hata sijui nifanyaje wakuu niko naye muda ila kiukwel siwez mwoa huyu binti kiukweli ana vigezo vyoote amebadilika tabia n all that. Well niseme tu, she used to be a slay queen enzi hzo. So ana mavitu mwilin mwake ambayo mim siyapend kiufup

Ila ni bint ambae ananipenda vibaya mno..na amenielewa nyanja zote na yuko tayar kwa lolote ..juz kanambia nisipokua muelewa na anachotaka ataniroga kiutani utan ila sura yake ilikua serious. sasa wakuu

Kwa sura ni mzur umbo zuri saaana ila sasa nampelekaje home kumtambulisha mtu maskio yana matobo kama 100 mwil tatoo kadhaa znazoonekana

Well nishapiga snaa kelele hum kuhusu huyu dem kumwacha namwonea huruma basi daaah. Nayeye ndo kaniganda .naweza sema huyu dem nipo peke yangu..hyo nna uhakika 100% ni dem flan hiv free soul mzungu flain hivi keshakaa sana ulaya etc. well akikasirika huwa anasmoke sometime..hahaha

Ila kaacha, anasema sabab zaman alikua anasmoke huko Uk.

Sasa wakuu huyu dem ameniganda sana nashindwa nifanyeje had muda mwingne analia kabisa, anatia huruma. Hapa had naandika hivi kanifata sehemu yangu ya kazi anataka nimsindikize hospital. Dahhh.

Huu msalaba mzito jamani, nipen ushauri
Inaonekana unampenda ndo maana unamuonea huruma na inakuwa ngumu kumuacha.Ila either umempata mwingine na unaona kama vile ulikosea ingawa "zimwi likujualo" au utakuwa unasikiliza sana pelepeche za watu kuhusu demu wako.Tulia dogo, huyo demu mtafika mbali, ndum sio shida mwana.Usisahau kunipa mwaliko wa kuja kuufinya
 
Kwahiyo mkuu wewe hukunyanduana hadi ulipoingia kwenye ndoa? Au utanyandua ukiingia ndoani? Aisee
Kusema ukweli nilinyanduana sana mpaka mitaro ya maji taka nilizibua,.... Lakini, nilitubu, nikamwomba MUNGU msamaha, nikaacha kabisa kila aina ya zinaa.

Leo hii nina zaidi ya miaka 5 sijui hata harufu ya mbususu inanukiaje.

Sasa hivi nasubiri tu kuoa, namsubiri BWANA anipe Mke mwema.
 
Kusema ukweli nilinyanduana sana mpaka mitaro ya maji taka nilizibua,.... Lakini, nilitubu, nikamwomba MUNGU msamaha, nikaacha kabisa kila aina ya zinaa.

Leo hii nina zaidi ya miaka 5 sijui hata harufu ya mbususu inanukiaje.

Sasa hivi nasubiri tu kuoa, namsubiri BWANA anipe Mke mwema.
Duuh sasa unaishije bila mbususu mkuu, ukisikia hamu unajitulizaje? vipi ukiingia kwenye ndoa una uhakika utaacha kunyandua mitaro? Si wanasema mazoea hujenga tabia🤔
 
Duuh sasa unaishije bila mbususu mkuu, ukisikia hamu unajitulizaje? vipi ukiingia kwenye ndoa una uhakika utaacha kunyandua mitaro? Si wanasema mazoea hujenga tabia🤔
Baada ya kutubu dhambi zangu na kuziacha nikagundua thamani ya UFALME wa MUNGU ni kubwa mno kupita vitu vyote.

Na ili niweze kuingia kwenye UFALME huo nilazima nijitenge na kila aina ya uovu ikiwemo zinaa na uasherati. Starehe ya zinaa ni ya muda mfupi sana, lakini UFALME wa MUNGU ni wa milele na milele. Sasa ipi bora hapo??

Kuhusu naishije bila mbususu:
Nimejifunza kuvumilia. Ni zaidi ya miaka 5 sasa. Mwanzoni nilipoanza kujitenga na mbususu nilipata wakati mgumu sana, lakini, kwa sala na maombi na kufunga nimezoea na wala sipati shida tena.

In the near future I'm expecting to get married. Nina subiri kwa imani kupata Mke mwema anayejitambua na mwenye hofu ya MUNGU kama mimi.

Imeandikwa hivi :
"kijana atarithi mali na nyumba kutoka kwa baba yake, bali Mke mwema atampata kwa BWANA".

Kuhusu kuzibua mitaro ya wadada hiyo nilishaacha kabisa. Yaani wala sitaki kusikia tena. Hata nikioa Mke leo sitamgusa huko kusikostahili.

Nimeoshwa na damu ya YESU KRISTO.
 
Najua mapema sana ila niko katika wakat mgum sana na shemej yenu. Huyu bint yuko katika the most highl peak of maximum desperation ya ndoa

Hata sijui nifanyaje wakuu niko naye muda ila kiukwel siwez mwoa huyu binti kiukweli ana vigezo vyoote amebadilika tabia n all that. Well niseme tu, she used to be a slay queen enzi hzo. So ana mavitu mwilin mwake ambayo mim siyapend kiufup

Ila ni bint ambae ananipenda vibaya mno..na amenielewa nyanja zote na yuko tayar kwa lolote ..juz kanambia nisipokua muelewa na anachotaka ataniroga kiutani utan ila sura yake ilikua serious. sasa wakuu

Kwa sura ni mzur umbo zuri saaana ila sasa nampelekaje home kumtambulisha mtu maskio yana matobo kama 100 mwil tatoo kadhaa znazoonekana

Well nishapiga snaa kelele hum kuhusu huyu dem kumwacha namwonea huruma basi daaah. Nayeye ndo kaniganda .naweza sema huyu dem nipo peke yangu..hyo nna uhakika 100% ni dem flan hiv free soul mzungu flain hivi keshakaa sana ulaya etc. well akikasirika huwa anasmoke sometime..hahaha

Ila kaacha, anasema sabab zaman alikua anasmoke huko Uk.

Sasa wakuu huyu dem ameniganda sana nashindwa nifanyeje had muda mwingne analia kabisa, anatia huruma. Hapa had naandika hivi kanifata sehemu yangu ya kazi anataka nimsindikize hospital. Dahhh.

Huu msalaba mzito jamani, nipen ushauri
Unanikumbusha enz hizo nimekolea kwa star mmoja hivi wa bongo dah! Nilimlazimisha sana anioe lakin wap akanipa mashart nipate mimba ili anioe..nikajitegesha nikadaka mimba nioe akasema subir uzae aah nikaitoa ile mimba hlf nikaolewa na bwana mwingine kwa hasira..chakushangaza hadi leo miaka 15 bado tunafanyana..yaan ananipenda lakini kuoa muoga..hana mke
 
Unanikumbusha enz hizo nimekolea kwa star mmoja hivi wa bongo dah! Nilimlazimisha sana anioe lakin wap akanipa mashart nipate mimba ili anioe..nikajitegesha nikadaka mimba nioe akasema subir uzae aah nikaitoa ile mimba hlf nikaolewa na bwana mwingine kwa hasira..chakushangaza hadi leo miaka 15 bado tunafanyana..yaan ananipenda lakini kuoa muoga..hana mke
Mmh bado mnafanyana na huyo star? Yaani unamcheat mumeo for 15yrs sasa?. Aisee ndiyo maana tunawekewa gunia hata 5 za mkaa🤔
 
Najua mapema sana ila niko katika wakat mgum sana na shemej yenu. Huyu bint yuko katika the most highl peak of maximum desperation ya ndoa

Hata sijui nifanyaje wakuu niko naye muda ila kiukwel siwez mwoa huyu binti kiukweli ana vigezo vyoote amebadilika tabia n all that. Well niseme tu, she used to be a slay queen enzi hzo. So ana mavitu mwilin mwake ambayo mim siyapend kiufup

Ila ni bint ambae ananipenda vibaya mno..na amenielewa nyanja zote na yuko tayar kwa lolote ..juz kanambia nisipokua muelewa na anachotaka ataniroga kiutani utan ila sura yake ilikua serious. sasa wakuu

Kwa sura ni mzur umbo zuri saaana ila sasa nampelekaje home kumtambulisha mtu maskio yana matobo kama 100 mwil tatoo kadhaa znazoonekana

Well nishapiga snaa kelele hum kuhusu huyu dem kumwacha namwonea huruma basi daaah. Nayeye ndo kaniganda .naweza sema huyu dem nipo peke yangu..hyo nna uhakika 100% ni dem flan hiv free soul mzungu flain hivi keshakaa sana ulaya etc. well akikasirika huwa anasmoke sometime..hahaha

Ila kaacha, anasema sabab zaman alikua anasmoke huko Uk.

Sasa wakuu huyu dem ameniganda sana nashindwa nifanyeje had muda mwingne analia kabisa, anatia huruma. Hapa had naandika hivi kanifata sehemu yangu ya kazi anataka nimsindikize hospital. Dahhh.

Huu msalaba mzito jamani, nipen ushauri
Mi ningekuwa wewe ningemuoa tangu 'mwaka jana'
 
Najua mapema sana ila niko katika wakat mgum sana na shemej yenu. Huyu bint yuko katika the most highl peak of maximum desperation ya ndoa

Hata sijui nifanyaje wakuu niko naye muda ila kiukwel siwez mwoa huyu binti kiukweli ana vigezo vyoote amebadilika tabia n all that. Well niseme tu, she used to be a slay queen enzi hzo. So ana mavitu mwilin mwake ambayo mim siyapend kiufup

Ila ni bint ambae ananipenda vibaya mno..na amenielewa nyanja zote na yuko tayar kwa lolote ..juz kanambia nisipokua muelewa na anachotaka ataniroga kiutani utan ila sura yake ilikua serious. sasa wakuu

Kwa sura ni mzur umbo zuri saaana ila sasa nampelekaje home kumtambulisha mtu maskio yana matobo kama 100 mwil tatoo kadhaa znazoonekana

Well nishapiga snaa kelele hum kuhusu huyu dem kumwacha namwonea huruma basi daaah. Nayeye ndo kaniganda .naweza sema huyu dem nipo peke yangu..hyo nna uhakika 100% ni dem flan hiv free soul mzungu flain hivi keshakaa sana ulaya etc. well akikasirika huwa anasmoke sometime..hahaha

Ila kaacha, anasema sabab zaman alikua anasmoke huko Uk.

Sasa wakuu huyu dem ameniganda sana nashindwa nifanyeje had muda mwingne analia kabisa, anatia huruma. Hapa had naandika hivi kanifata sehemu yangu ya kazi anataka nimsindikize hospital. Dahhh.

Huu msalaba mzito jamani, nipen ushauri
Brother, kuna kitu kinaitwa Female nature na inajirudia ameacha due to desperation ya ndoa akiwa comfortable anaanza kusmoke huyo ni damaged goods hutawezana nae leave her once and for all.. WAPO WANAWAKE AMBAO WAKO POA NA WAZURI KULIKO HUYO
 
Najua mapema sana ila niko katika wakati mgumu sana na shemej yenu. Huyu binti yuko katika the most highl peak of maximum desperation ya ndoa

Hata sijui nifanyaje wakuu niko naye muda ila kiukweli siwezu mwoa huyu binti kiukweli ana vigezo vyoote amebadilika tabia n all that. Well niseme tu, she used to be a slay queen enzi hizo. So ana mavitu mwilini mwake ambayo mimi siyapendi kiufupi

Ila ni bint ambae ananipenda vibaya mno..na amenielewa nyanja zote na yuko tayar kwa lolote ..juz kanambia nisipokua muelewa na anachotaka ataniroga kiutani utan ila sura yake ilikua serious. sasa wakuu

Kwa sura ni mzur umbo zuri saaana ila sasa nampelekaje home kumtambulisha mtu maskio yana matobo kama 100 mwil tatoo kadhaa znazoonekana

Well nishapiga snaa kelele hum kuhusu huyu dem kumwacha namwonea huruma basi daaah. Nayeye ndo kaniganda .naweza sema huyu dem nipo peke yangu..hyo nna uhakika 100% ni dem flan hiv free soul mzungu flain hivi keshakaa sana ulaya etc. well akikasirika huwa anasmoke sometime..hahaha

Ila kaacha, anasema sabab zaman alikua anasmoke huko Uk.

Sasa wakuu huyu dem ameniganda sana nashindwa nifanyeje had muda mwingne analia kabisa, anatia huruma. Hapa had naandika hivi kanifata sehemu yangu ya kazi anataka nimsindikize hospital. Dahhh.

Huu msalaba mzito jamani, nipen ushauri
Kama unataka kumuacha na asiumie , ww mwambie nimeenda kupima nimekutwa na ngoma tu ,
Mshauri na yy aende kupima akikutwa hajaathirika we mwambie tuachane tu ingawa nakupenda nisije kukuambukiza ngoma ,
Sasa akiendelea kukung'ang'ania mkuu utakua ni balaa sasa itabidi uhamie kwenye maombi sasa ya kuachana na dem wako hahaaha
 
Kama unataka kumuacha na asiumie , ww mwambie nimeenda kupima nimekutwa na ngoma tu ,
Mshauri na yy aende kupima akikutwa hajaathirika we mwambie tuachane tu ingawa nakupenda nisije kukuambukiza ngoma ,
Sasa akiendelea kukung'ang'ania mkuu utakua ni balaa sasa itabidi uhamie kwenye maombi sasa ya kuachana na dem wako hahaaha
😂😂😂😂 Umenikumbusha movie moja ya kighana jamaa alifanya hvyo ili amuache dem ake matokeo yake dem nae alikuju kumwambia na yeye kapimwa kaambiwa ana ukimwi na mimba pia jamaa alilia kama mtoto kumbe ilikuwa anadanganywa tu baada ya dem kujua trick yake
 
Back
Top Bottom