Binamu Nyama ya Hamu..

Binamu Nyama ya Hamu..

Asingekua binamu u would go for a date......
 
Asingekua binamu u would go for a date......

Ningeangalia. .... ingetegemea vitu vingi...
Labda ningechukulia kama moja ya crushes za Kasie. ... ila ndugu na niliyemzidi umri. .... nafunika kombe mwanaharamu apite. ..
 
Pole mkuu ila ungempa haki yake alafu c vema kumblock ktk mawasiliano cha msingi muekee mipaka tu hopefully atakutii

Asante, hapana siwezi hata kumbusu. ... yaani unajua nilipatwa na mshangao baada ya mtu niliyekuja kumpokea ni yeye.....
Kwa jinsi alivyo sitaki hata azidi kinizoea. ..
 
Kupenda binamu sio dhambi ma ake hi i vitu vinatokeaga tu automatically.Muombee hiyo haki huwa inaisha.mm iliwahi nitokea huko nyuma nashukuru Mungu ilikwisha kabisa

Mmmhhhh sio dhambi...!!?? Labda kama ni wasomali au waarabu maana nasikia wao ndo zao. Ajiombee mwenyewe mie hata simuombei sana sana simpi nafasi ya kinizoea. Wanawake wote hawa duniani hawamtoshi hata anifate mie? Tena ndugu...? Aahhh siwezi mambo hayo mie.
 
Muonjeshe mara moja alau aridhike nawe pia uridhike. Ikitokea mmeridhikana basi muendelee kuridhishana maana huu mchezo hauangalii undugu... ni misuguano tu ya misuli ya watu wawili wenye jinsia tofauti. Undugu ni jambo la pembeni saana.

Mmmmhhhhh tangu nimekuzwa sikufundishwa hivyo aisee. Ndugu ni ndugu na hawezi kuwa mtu baki ili mfunuane chupi. Nyie kwenu huwa mnaanza hivyo? Huyu binamu yangu naona atakuwa hayupo sawa..... anaanzaje sasa kunifunua nguo mie dada yake.... halafu tukiwa kwenye vikao vya ndugu... tunatizamana tuu kama vile hakuna kilichotokea. .... aaah siwezi aiseeh
 
  • Thanks
Reactions: MC7
pole sana,

huyo binamu hata baada ya kujua wewe ni binamu yake na bado akataka,basi ni baradhuli huyo,hafai kuwa mumeo,labda ndio zake,anawaparamia dada zake na binamu zake ndio maana haogopi.......🙁🙁🙁🙁🙁

Yaani ni zaidi ya baradhuli aiseeh mie kanichosha kabisaa sitaki hata awe karibu yangu.
 
Edo Kumwembe jana kaenda SA, na ana miaka kama 40 hivi...ukijumlisha 10 years unaweza kupata 50 years ambayo inaweza kuwa miaka ya Kasie!

(Just joking...)

As you bracket it.... it's just a joke.... Edo sina undugu naye.
 
Basi umefanya jambo la mbolea make nasikia siku hizi mnaogopa sana kujambiwa ndani wenyewe.

Kila mtu anapumua kwa njia zote mbili... juu na chini. Mtu ninayemfunulia chupi yangu ruksa kunijambia wakati wowote, sio ulemavu huo ni afya. Na ukiona mtu hajawahi hata siku moja kukujambia ujue kuna mambo anakuficha.
 
Kazi kidogo.... yaani saa ingine kuna watu sijui huwa wanaamua tuu kujilipua. ...
haya mapenzi haya sijui nani aliyaleta.

ila ungeongea nae kwa upole na unyenyekevu umpe madhara ya kuwa na wewe na faida ya kutokua na wewe.

kumuacha namna ile mtu aliyejilipua kiasi hicho anaweza kuja kufanya kisasi kikubwa sana na mkaja kujutia wote katika maisha yenu.

unajua haya mambo bwana ya ajabu sana.
 
Kila mtu anapumua kwa njia zote mbili... juu na chini. Mtu ninayemfunulia chupi yangu ruksa kunijambia wakati wowote, sio ulemavu huo ni afya. Na ukiona mtu hajawahi hata siku moja kukujambia ujue kuna mambo anakuficha.
Umesema neno la msingi sana hasa hapo nilipobold. inaonekana unaijua sana thamani yako. na unadhamini saana mtu unae amua kumvulia pichu yako. wengi sana hawajui kabisa hiyo thaman wao wajua kuvuavua tu.
 
Huyo ndo mwanaume sasa.
Anakupenda toka enzi na enzi na hakati tamaa.
Amekuja hadi SA kwa ajili ya nyama ya hamu.
Na kwa ujasiri amekuambia shida yake wazi.
Pamoja na kwamba umemkatili hivyo, atarudi Tanzania kwa ushindi wa hali ya juu. Siku ukikutana nae dhamira yako itakusuta.
Ila kumbuka, huyo binamu lazima atakula hiyo nyama ya hamu.
Hiyo kesi haiishi leo wala kesho.

Hahahaaa Bavaria.....
Unamfahamu huyu binamu? Maana haya uliyoyasema hapa ndo alivyoniambia. ...
Ati namnyima sasa hivi ila hakati tamaa ndo kwanza nimemuongezea kasi ya kunifatilia na ameniapia atakula tuu nyama ya hamu yaani mimi.....
 
Habari za usiku note,
Natumai mwisho wenu wa wiki unaenda vizuri.

Bila kupoteza maudhui, hii ni kali kuliko sigara looh....

Humu JF ndo nimekutana na binamu nyama ya hamu. Na hii imedhihirisha atafutaye hachoki akichoka keshapata. Kuna binamu yangu wa mbali kidogo mie bila kujua wala kutambua kumbe ananipenda bana, na pendo hilo sio nwee wala nwii ni pendo la mapenzi. Mie najua utani tuu, alipoona simuelewi si akaanza kunifukunyua.... akajua ID yangu ya JF na akaanza kunichombeza. Nilimpotezea nikijua ni milupo ya humu JF hakukata tamaa.... mwaka mzima ananifukuzia nikasema isiwe shida njoo SA as a date kisha baada ya hapo tutaona itakuwaje. Akaniambia hataki kufikia hotelini na akasisitiza afikie kwangu.
Nakatisha maelezo na kiufupi ile nimetokea Ortambo airport kumpokea si ndo nashangaa ni binamu....... macho yalintoka. ...

Kwanza mdogo kwangu miaka 10 nikamwambia kwangu sikupeleki utafikia hoteli. Tumebishana nikamwambia ukiniletea mizengwe mi naomba emergency off days naenda zangu TZ nakuacha hapa. Ndo akakubali kufikia hoteli.... baada ya majadiliano ya kina.... binamu akataka nyama ya hamu.

Nilijikuta nampiga keleb moja (kibao cha shavuni) kisha nikamtukana na kuondoka. Binamu kanichefua maana mi simpendi na ni mdogo kwangu halafu anaanzaje kuwaza ngono kwa binamu yake ambaye ni sawa na dada yake?
Nimemblock kwenye njia zangu zote za mawasiliano na amenifanya mawasiliano yoyote yanayonitafuta ambayo siyafahamu basi sijibu wala sipokei yaani nakacha.
Sitaki hata kujua kama bado yuko SA au ameshaondoka.... maana alikuja jana jioni.

Au mie sikuelewa nyama ya hamu ni nini labda kama sio matusi? Mnisaidie kunielewesha ......

Kasie.
Safi sana...umefnya vema maana km ungempa mda wa kumsikiliza huwez jua labda hta ungebadil msimamo wko kwan na shetan ibilis yupo Lindon... huyo ni pep mchaf!!!
 
watoto wa siku hizi hawana adabu hata kidogo utakuta kingine kinakutongozaaa unashangaa unajiuliza huyu mtoto kwao Hamna wakubwa?!!
 
Atakuwa kuna kitu anatafuta si bure....
Yaweza kuwa anafanya dawa za kishirikina. We utafanyaje mapenzi na binamu.... yaani namuepa kuanzia sasa sitaki hata kumsikia wala kumuona.
Kasie,
Kwani huko kwenu kuna ka dalili ka kuwapo washirikina ... ? Manake ni kweli kuna watu wanafanya haya mambo ya hovyo hivi kwa ajili ya KUJITAKASA, KUVUTA BAHATI, nk ...
Lakini pia kuna wanawake wana KISMETI sana Kasie ..., ukimtobma mwanamke wa aina hiyo, kama una ma dili yako yanatiki kinomaaaa ...!
Sasa inawezekana na wewe una mvuto fulani na Kismeti ... Ukiona mwanamke unatunzwa vizuri jichunguze ... Manake mjeshi wako ndio maana hatoki, yeye ni ku recharge kismeti chake tuu ...
 
Muonjeshe mara moja alau aridhike nawe pia uridhike. Ikitokea mmeridhikana basi muendelee kuridhishana maana huu mchezo hauangalii undugu... ni misuguano tu ya misuli ya watu wawili wenye jinsia tofauti. Undugu ni jambo la pembeni saana.
Kwi kwi kwi...
Kuna ile story ililetwa huku jamvini kama 3 weeks ago, mtu na binamu mpaka na mapacha juu..
 
Back
Top Bottom