Kuna walio olewa but wanachepuka pia ishu ni kijheshimu tuBavaria acha kunitisha bana sasa mie ntamchunia tuu kama anaendelea kunifatilia atakuwa kimpango wake maana mie sina feelings nae... nina wangu nimpendae.... kuwa sijaolewa haimaanishi niko vacant kwa yeyote. ....
Waalaa kwa Kasie atasubiri sanaa.
Wee unataka nimpe unamjua huyo binamu yangu?
Honesty is an expensive thingHao inabidi warudishwe mkoleni kufundwa upya...
Ni maongezi tu then maelewanoAah wee saa ingine hasira muhimu ...
Hata kama simjui wewe mpe tu...Waalaa kwa Kasie atasubiri sanaa.
Wee unataka nimpe unamjua huyo binamu yangu?
Umemzidi 10 years?
basi after 5 years utamtafuta tu we mwenyewe
After 5 to 10 years utakuwa una approach 40 dogo yuko kwenye 30...
hutakuwa na ujanja saana....kama akizidi tu kukusumbua
utampa siku moja
Hahahahaaa I bet you.... I won't. .... hata iweje.
Subiri tu uzeeke....hata salamu ukose barabarani
utamkumbuka binamu
Kwani wazee wenzangu wanaume watakuwa wapi? Halafu after 10 years I'll be in my late 50s while he'll be in his 40s... still will be the same gap so won't change a thing. After all huko kwenye fifties sitataka kubinuliwa kama stage show itakuwa ni kubarikiana tuu tunafurahi tunalala