Mimi nilifikiri Kasinde ushafika Ubungo kumbe bado safari inaendelea thanks to your biology...Kama ni binamu yako kweli, ulipaswa kumpokea kwa ukarimu alafu hayo mengine mngeelezana kiutu uzima, au ulimuogopa Jamse Jeddah?...Mtafute aliko, suluhisha huo mgogoro kiutu uzima na uhakikishe anarejea akiwa na amani.Ugomvi wa kindugu siyo mzuri!
Sema age ndo umemzid na pia ye alitakiwa akutongoze mukiwa secondaryUtastaafu kazi ila baiolojia iko pale pale inachapa kazi. Binamu kwangu ni ndugu siwezi kuwa na mahusiano naye wala mvulia kyupi yangu.
James Jeddah nampenda sana.... yeye ni wangu wakati wote... tumeshakulana tumeshibana.... tunabembelezana tuu.
Huyo binamu na aende huko hata simtafuti maana kanikosea heshima sana.
watoto wa siku hizi hawana adabu hata kidogo utakuta kingine kinakutongozaaa unashangaa unajiuliza huyu mtoto kwao Hamna wakubwa?!!
Hainaga ubinamu tunakulagaaNiliskia vijana wakisema "Hainaga ushemeji" wanakulaga...
Ubinamu je? Ngoja waje wanisaidie....
Hahahaaa dat's ma big Mama Kasie!Kila mtu anapumua kwa njia zote mbili... juu na chini. Mtu ninayemfunulia chupi yangu ruksa kunijambia wakati wowote, sio ulemavu huo ni afya. Na ukiona mtu hajawahi hata siku moja kukujambia ujue kuna mambo anakuficha.
Hahahaaa Bavaria.....
Unamfahamu huyu binamu? Maana haya uliyoyasema hapa ndo alivyoniambia. ...
Ati namnyima sasa hivi ila hakati tamaa ndo kwanza nimemuongezea kasi ya kunifatilia na ameniapia atakula tuu nyama ya hamu yaani mimi.....
EeehNimekula Binamu mpaka anafika Chuo aisee penz la Binamu nomaa
Usishangae kalikuwa kananipenda mnoo tangu primary me ndo nilikuwa naleta pozi siku aliponipa daa nikadata yani kalipo olewa nikashukuru maana nahis kangepata mimba Chuo Penzi la Binamu Nomaa walahiEeeh
Hahahaha jf kuna mamboooooo aya bwanaUsishangae kalikuwa kananipenda mnoo tangu primary me ndo nilikuwa naleta pozi siku aliponipa daa nikadata yani kalipo olewa nikashukuru maana nahis kangepata mimba Chuo Penzi la Binamu Nomaa walahi
Kesi za mapenzi haziishi kirahisi kama tunavyidhani.
Hasa mtu anaekutamani kwa muda mrefu sana na bado hakati tamaa.
Muongezee kelebu nyingine akili imkae sawa ...Mmmmhhhhh tangu nimekuzwa sikufundishwa hivyo aisee. Ndugu ni ndugu na hawezi kuwa mtu baki ili mfunuane chupi. Nyie kwenu huwa mnaanza hivyo? Huyu binamu yangu naona atakuwa hayupo sawa..... anaanzaje sasa kunifunua nguo mie dada yake.... halafu tukiwa kwenye vikao vya ndugu... tunatizamana tuu kama vile hakuna kilichotokea. .... aaah siwezi aiseeh