ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,901
- 3,858
Ilitakiwa kile kitambulisho chake kimuwezeshe apokee buku 20 kila siku ya kazi, Monday-Friday!
Huo ni uonevu.wakuu mimi binafsi nashindwa kuelewa hii picha na jinsi huyo mdada aliesimama alivoshika tama sijui alikua anamaanisha nini.. kama umeielewa tuelezeeee tuelewe na sisiView attachment 1093972
kwan wa TZ tunakwama wapi
Hapana, maelezo yako yanaonyesha kwamba hukuelewa kabisaaaa katika kuisoma hiyo picha. Maana kubwa haipatikani kwa huyo mdada aliyeshika tamaa. Angalia mkusanyiko mzima wa watu waliozunguka hapo. Utaanza kuielewa picha ukifanya hivyo.wakuu mimi binafsi nashindwa kuelewa hii picha na jinsi huyo mdada aliesimama alivoshika tama sijui alikua anamaanisha nini.. kama umeielewa tuelezeeee tuelewe na sisiView attachment 1093972
Hakika inasikitisha sana.wakuu mimi binafsi nashindwa kuelewa hii picha na jinsi huyo mdada aliesimama alivoshika tama sijui alikua anamaanisha nini.. kama umeielewa tuelezeeee tuelewe na sisiView attachment 1093972
Aibu kwa Serikali inayoimba kila kukicha kuwa inawajali na kuwawezesha Wanyonge wa nchi hii.Anasikitikia uonevu.mkuu wa wilaya kama na vx akina mama wanawaza hawajauza hats fungu moja MTU anataka 20
.
Hapo ni Mama wa Kimeru na mafungu yake 3 ya mboga za majani amevalishwa kitambulisho cha rais na kutozwa kwa lazima sh.20,000/= taslim, hivyo vitambulisho vipo vingi sana vinatakiwa viuzwe viishe vyote upesi.wakuu mimi binafsi nashindwa kuelewa hii picha na jinsi huyo mdada aliesimama alivoshika tama sijui alikua anamaanisha nini.. kama umeielewa tuelezeeee tuelewe na sisiView attachment 1093972
Yan picha inaonyesha jinsi jamii inayotazama tukio hilo haijapendezwa na kitendo hicho kabisa na hawana cha kufanya zaidi ya kubaki na sononoMtaji wa huyo mama muuza mchicha ni Buku moja tu, lakini amelazimishwa kuchujua kitambulisho cha mjasiriamali kwa Buku 20!!
Wadada wa Kimeru hapo wanahasira kwa ndani hana cha kumfanya huyo muuza vitambulisho.Yani wote wanamtazama huyo jamaa kwa macho ya kuhuzunisha sana.