Mie pia sijaielewawakuu mimi binafsi nashindwa kuelewa hii picha na jinsi huyo mdada aliesimama alivoshika tama sijui alikua anamaanisha nini.. kama umeielewa tuelezeeee tuelewe na sisiView attachment 1093972
Anasikitikia uonevu.mkuu wa wilaya kama na vx akina mama wanawaza hawajauza hats fungu moja MTU anataka 20Mie pia sijaielewa
Yeah,asee tutaenda pepon wachache
Huyo hata kumtoza 1000 kwa mwaka ni dhambi kubwa maana hakuna anachofaidi hapo zaidi ya kutafuta 300 ya madaftari ya mtoto wake. Yaani mchicha fungu 4 ni mfanyabiashara!!?kwan wa TZ tunakwama wapi
Huyu aliyeshika tama hana id ya mzee baba ilihali anauza bidhaa zake.wakuu mimi binafsi nashindwa kuelewa hii picha na jinsi huyo mdada aliesimama alivoshika tama sijui alikua anamaanisha nini.. kama umeielewa tuelezeeee tuelewe na sisiView attachment 1093972
wakuu mimi binafsi nashindwa kuelewa hii picha na jinsi huyo mdada aliesimama alivoshika tama sijui alikua anamaanisha nini.. kama umeielewa tuelezeeee tuelewe na sisiView attachment 1093972
Anasikitikia uonevu.mkuu wa wilaya kama na vx akina mama wanawaza hawajauza hats fungu moja MTU anataka 20
.
hadi michicha duh