Binadamu wapya wagundulika sayari ya Jupiter

Katika utafiti wa kijiografia huko Marekani, imegundulika kuwa katika sayari ya jupiter pia huishi binadamu kama sayari yetu hii ya dunia [earth].

Tofauti iliyopo kati yao na siye ni kwamba, sisi huzaliwa kwa kupitia mama zetu baada ya kubeba mimba miezi 9 lakini wao hutotolewa kama vifaranga vya Mbuni baada ya kukaa katika yai mwaka 1 na miezi 7.

Wanaishi maisha mazuri sana kama ya Adamu na Eva. Hawaugui wala kufa bali wakizeeka huyeyuka na kupaa mbinguni. Wanaishi maisha ambayo hayapo duniani, hakuna magari wala majumba zaidi ya yote huko hakuna UKIMWI.

HII NDO JUPITER
View attachment 401458
Fiction movie ha ha
 
Watu wengine wanaota njozi halafu wanaziandika hapa.

Nikitaka kusoma Science Fiction nitamalizia vitabu vyangu vya Foundation Anthology na hadithi za Dr. Isaac Asimov.

Instead of reading about Jupiter from kids who do not even know who Dr. Asimov is.
siyo kila kitabu ulichosoma watu wamekisoma ulitakiwa unihamasishe kuwa soma kitabu cha DR. ASIMOV utajua hiki na hiki lakn siyo kwakuniponda kuwa sijui lolote
 
siyo kila kitabu ulichosoma watu wamekisoma ulitakiwa unihamasishe kuwa soma kitabu cha DR. ASIMOV utajua hiki na hiki lakn siyo kwakuniponda kuwa sijui lolote
Kukuhamasisha kwangu ni kwa makonzi kama hivyo.

Ona sasa ushamjua Dr. Asimov.

Google ujue Zaidi habari zake. Tafuta vitabu vyake usome hizo hadithi.Kesho ukitaka kuandika uandike vizuri zaidi.
 
Uongo uliopitiliza.
Mars ambayo ndiyo sayari iliyo karibu na dunia kupita zote wanasayansi hawajaweza kutia mguu iweje walete utabiri wa sayari iliyo mbali ya karibia zote.
To hell with this report.
 
Back
Top Bottom