Bimmer na Landcruiser V8

Aisee hizi namba kuna wakati kwenye performance ni tofauti..
Hizo LandRover Defenders ni ngumu sana kuzivuta kwenye tug of war..!
Nahisi kama uliyosema drivetrain yake ipo tofauti..!
Yeah drivetrain ya landrover iko juu kumshinda mjapani na ndio maana landrover wanasemaga 4 wheel yake haina mpinzani! Hata cruiser haikutii zikiwa kwenye tope zito!

Sasa kwenye tug of wars tairi zinavyolock ndio utaipenda yani! Inakamua torque yote haiterezi
 
Sure sure..
Sema kwenye 4wd kuna hii gari Suzuki Samurai SJ410.. Haikwami aisee.. Chassis fupi na lightweight..!
Wanataka kufanana na Defender..
 
LC300 haikanyagi Europe wala North America.

Haijameet standards zao.

Mwisho ilikuwa LC200 kukanyaga kule.
Sio haijameet standards, ni sales mkuu, zipo chini sana wameona market ya toyota lc mbovu. Watawapelekea Lexus. Toyota wana magari makubwa yapo USA yana serve same purpose ya hio land cruiser 300. Mtu akifikiria atoe mapesa yote kwa gari ambayo iko very basic wakati alternative ipo na ni nzuri anaona bora aachane na lc300.

Ukienda pale middle east, wao kama watanznaia, hawasikii hawaoni kwa toyota, na kwa zile fujo zao ndio zinawafaa hasa. Starehe yao waende jangwani wakazirushe rushe kwa sand dunes na kuzipandia milima

Remember, Same engines zinatumika Japan, USA, Europe, so haiwezi kuwa standard bali ni soko hamna. Kama nlivokwisha sema, huwezi kufananisha LC300 na RR. Watu watachukua RR, RR nayo ipo vyema sana tu kwa off road sema huzikuti zikipigiwa kazi sana maana ikifa air suspension mara unaambiwa dola 10,000 :D kwaio utakuta wanaishia kuzitumia mijini tu, RR zinaitwa soccer mom cars
 
Na uhan.isi wa Air suspension ndio inakuwa mwisho wa safari sasa, mana zile za coil spring zinakufa shock absorber lakini unaendelea na safari ila utasikia inagonga tu.

Yaani ikishaua Air suspension inashuka chini. Ground clearance inakuwa ndogo. Hii nimeona kwenye RR sijajua kama na kwenye LC inakuwa hivyo pia.

Kama uko porini. Kuua vitu huko uvunguni ni kufumba na kufumbua.
 
220 ila unakuta engine ni ya 4 cylinders.. Utafanya kazi kubwa zaidi kuliko 8 cylinders kwenye hiyo hiyo speed.. V8 zipo vizuri.. Stamina ya kutosha..!
220 ila unakuta engine ni ya 4 cylinders.. Utafanya kazi kubwa zaidi kuliko 8 cylinders kwenye hiyo hiyo speed.. V8 zipo vizuri.. Stamina ya kutosha..!
Kuna ile kitu ya kuitwa power to weight ratio..ndo mana hizo gari ndogo sedan zinachanganya na kukimbia sana ila at higher speed control ni ndogo sana gari inakuwa nyepesi traction kidogo kuhama ni dk tu una rest in peace ila ma SUV ni mazito yanakaa barabarani even at higher speed yani unakuwa 150kph utadhan uko na 60 kwenye vitz


Niliwahi shuhudia prado j150 nadhan ilikuwa imefufa sahani kama haikuwa 150kph huko...ni kipande kirefu unaona road hadi mbali afu kuna kama kakona cha kuibia flani hivi Prado ilikuwa speed tunasikia tu sauti za tairi ni lami na mvua ilinyesha ila tunaona kama inatimua vumbi ilipita na bonde flani kati kati ya lami plate ni STL ule mwendo i swear inahitaji moyo sana pale patrol halifui dafu ,, mwenye v8 enyewe kama ana roho nyepesi hafati ..ngoma ikala bonde like hamna kitu tulisikia tu sauti akakata na kipande cha lami ..2min later ikaja brevis kupita pale kwenye bonde ilibaki kidogo ilale pale jamaa akapaki kukagua gari ila ile prado ilipita like imekanyaga laptop ndipo niliona tofauti ya SUV na vigari
 
Sema engne ki cc kubwa hp ndogo inakuwa na maisha marefu kuliko engine ndogo ki cc afu hp kubwa

Mfano kuna ka audi A4 2.0L kana 190hp hii ni sawa na 1HD 4.2L

Hio ya 4.2L ina maishamarefu sana hata baadhi ya vifaa havifi mapema kama hio ndogo
Haya mazoea ya kuona gari za kampuni moja nchini mwetu yanafanya watu wasiheshimu specs,hivi Lc V8 inaweza pambana na akina range rover,Bentley bentayga,x6,porsche cayenne...linapokuja suala speed?au kwa vile ina V8 kwa sisi tunaofuatilia specs hatushangai hiyo v8 kuzidiwa na ndugu yake mpya l300 V6.I salute toyota for producing durable vehicles.
 
Kuna ile kitu ya kuitwa power to weight ratio..ndo mana hizo gari ndogo sedan zinachanganya na kukimbia sana ila at higher speed control ni ndogo sana gari inakuwa nyepesi traction kidogo kuhama ni dk tu una rest in peace ila ma SUV ni mazito yanakaa barabarani even at higher speed yani unakuwa 150kph utadhan uko na 60 kwenye vitz


Niliwahi shuhudia prado j150 nadhan ilikuwa imefufa sahani kama haikuwa 150kph huko...ni kipande kirefu unaona road hadi mbali afu kuna kama kakona cha kuibia flani hivi Prado ilikuwa speed tunasikia tu sauti za tairi ni lami na mvua ilinyesha ila tunaona kama inatimua vumbi ilipita na bonde flani kati kati ya lami plate ni STL ule mwendo i swear inahitaji moyo sana pale patrol halifui dafu ,, mwenye v8 enyewe kama ana roho nyepesi hafati ..ngoma ikala bonde like hamna kitu tulisikia tu sauti akakata na kipande cha lami ..2min later ikaja brevis kupita pale kwenye bonde ilibaki kidogo ilale pale jamaa akapaki kukagua gari ila ile prado ilipita like imekanyaga laptop ndipo niliona tofauti ya SUV na vigari
Sedans za mjerumani ni nzito..
Kwenye stability hasa kwenye kona gari ndogo ndio ina advantage..!
Na gari za kijerumani kwenye handling ndio zenyewe..!
 
Kuna ile kitu ya kuitwa power to weight ratio..ndo mana hizo gari ndogo sedan zinachanganya na kukimbia sana ila at higher speed control ni ndogo sana gari inakuwa nyepesi traction kidogo kuhama ni dk tu una rest in peace ila ma SUV ni mazito yanakaa barabarani even at higher speed yani unakuwa 150kph utadhan uko na 60 kwenye vitz


Niliwahi shuhudia prado j150 nadhan ilikuwa imefufa sahani kama haikuwa 150kph huko...ni kipande kirefu unaona road hadi mbali afu kuna kama kakona cha kuibia flani hivi Prado ilikuwa speed tunasikia tu sauti za tairi ni lami na mvua ilinyesha ila tunaona kama inatimua vumbi ilipita na bonde flani kati kati ya lami plate ni STL ule mwendo i swear inahitaji moyo sana pale patrol halifui dafu ,, mwenye v8 enyewe kama ana roho nyepesi hafati ..ngoma ikala bonde like hamna kitu tulisikia tu sauti akakata na kipande cha lami ..2min later ikaja brevis kupita pale kwenye bonde ilibaki kidogo ilale pale jamaa akapaki kukagua gari ila ile prado ilipita like imekanyaga laptop ndipo niliona tofauti ya SUV na vigari
We unazungumzia gari za Japan labda.

Gari ya mzungu hata ikiwa baby walker inakuwa nzito na zingine zinakuwa na engine kubwa.

Pia gari nyingi za mzungu zinakuwa na ground clearance ndogo. Hii inasaidia sana gari kuwa stable.

Imagine VW golf 2.0 TSI ina uzito sawa na Subaru forester.
 
Sema engne ki cc kubwa hp ndogo inakuwa na maisha marefu kuliko engine ndogo ki cc afu hp kubwa

Mfano kuna ka audi A4 2.0L kana 190hp hii ni sawa na 1HD 4.2L

Hio ya 4.2L ina maishamarefu sana hata baadhi ya vifaa havifi mapema kama hio ndogo

Hapo unafananisha engine ya petrol na dizeli automatically diesel atakuwa mshindi.

Hiyo diesel itetee tu hapa kwamba baadhi ya vitu havifi mapema ila engine za diesel hazitaki ubabaishaji na maintenance yake ni gharama acha kabisa.

Hapa nazungumzia engine za diesel za kisasa siyo zile za miaka ya 80.

Engine nyingi za diesel hazijatengenezwa kwa ajili ya high revs.

Hii comparison yenu huwa siielewi.
 
Kuna ile kitu ya kuitwa power to weight ratio..ndo mana hizo gari ndogo sedan zinachanganya na kukimbia sana ila at higher speed control ni ndogo sana gari inakuwa nyepesi traction kidogo kuhama ni dk tu una rest in peace ila ma SUV ni mazito yanakaa barabarani even at higher speed yani unakuwa 150kph utadhan uko na 60 kwenye vitz


Niliwahi shuhudia prado j150 nadhan ilikuwa imefufa sahani kama haikuwa 150kph huko...ni kipande kirefu unaona road hadi mbali afu kuna kama kakona cha kuibia flani hivi Prado ilikuwa speed tunasikia tu sauti za tairi ni lami na mvua ilinyesha ila tunaona kama inatimua vumbi ilipita na bonde flani kati kati ya lami plate ni STL ule mwendo i swear inahitaji moyo sana pale patrol halifui dafu ,, mwenye v8 enyewe kama ana roho nyepesi hafati ..ngoma ikala bonde like hamna kitu tulisikia tu sauti akakata na kipande cha lami ..2min later ikaja brevis kupita pale kwenye bonde ilibaki kidogo ilale pale jamaa akapaki kukagua gari ila ile prado ilipita like imekanyaga laptop ndipo niliona tofauti ya SUV na vigari
SUV ndo gari.

Hizi sedan kupoteza muda. Akili yote unaisikilizia gari.
 
Hapo unafananisha engine ya petrol na dizeli automatically diesel atakuwa mshindi.

Hiyo diesel itetee tu hapa kwamba baadhi ya vitu havifi mapema ila engine za diesel hazitaki ubabaishaji na maintenance yake ni gharama acha kabisa.

Hapa nazungumzia engine za diesel za kisasa siyo zile za miaka ya 80.

Engine nyingi za diesel hazijatengenezwa kwa ajili ya high revs.

Hii comparison yenu huwa siielewi.
Aisee hapo anayo point.. Achana na diesel na petrol..
Engine kubwa cc inakuwa less stressed kuliko smaller block ya power zinazofanana..
Chukua 1hz na 1kz..! 1kz ipo stressed zaidi.. Ndio maana 1kz nyingi ukizipush sana kama landcruiser mkonga main problem ni overheating inayosababisha piston & head crack..!
 
Aisee hapo anayo point.. Achana na diesel na petrol..
Engine kubwa cc inakuwa less stressed kuliko smaller block ya power zinazofanana..
Chukua 1hz na 1kz..! 1kz ipo stressed zaidi.. Ndio maana 1kz nyingi ukizipush sana kama landcruiser mkonga main problem ni overheating inayosababisha piston & head crack..!

Ukisema kupush sana ni kuioverload au?

Unless kama gari ina matatizo toka kiwandani.
 
Ukisema kupush sana ni kuioverload au?

Unless kama gari ina matatizo toka kiwandani.
Hapana sio kuioverload.. Prado ii yenye 1kz ina power figures same n zaidi ya Mkonga 1hz..
Ila Prado ii haiwezi kufanya kazi anazofanya Mkonga.. Itablow tuu..!
3lts producing more power than 4.2lts itachoka mapema..!
Toyota 4 cylinders unayoweza kuipush kama 6 ya 1hz ni ile B series.. 13B.. 14B..!nazo zina displacement kubwa..!
 
Kuna ile kitu ya kuitwa power to weight ratio..ndo mana hizo gari ndogo sedan zinachanganya na kukimbia sana ila at higher speed control ni ndogo sana gari inakuwa nyepesi traction kidogo kuhama ni dk tu una rest in peace ila ma SUV ni mazito yanakaa barabarani even at higher speed yani unakuwa 150kph utadhan uko na 60 kwenye vitz


Niliwahi shuhudia prado j150 nadhan ilikuwa imefufa sahani kama haikuwa 150kph huko...ni kipande kirefu unaona road hadi mbali afu kuna kama kakona cha kuibia flani hivi Prado ilikuwa speed tunasikia tu sauti za tairi ni lami na mvua ilinyesha ila tunaona kama inatimua vumbi ilipita na bonde flani kati kati ya lami plate ni STL ule mwendo i swear inahitaji moyo sana pale patrol halifui dafu ,, mwenye v8 enyewe kama ana roho nyepesi hafati ..ngoma ikala bonde like hamna kitu tulisikia tu sauti akakata na kipande cha lami ..2min later ikaja brevis kupita pale kwenye bonde ilibaki kidogo ilale pale jamaa akapaki kukagua gari ila ile prado ilipita like imekanyaga laptop ndipo niliona tofauti ya SUV na vigari
150kmh ndio speed hiyo? tunatembea na sedan 200-240kmh! Hizo prado ziondoe kabisa katika gari zinazo kimbia. Uwe na rim og sio za kuchakua na tyre yenyewe kabisaa.. nimefukia sana mashimo asee na hivi vi lasta uchwara, nilikuwa nachoka kwenye tuta tuu
 
Sawa..!

Gari yako itakuwa haina uwezo ndio maana unaendesha hivyo.. Siku ukipata chuma kamili 120 haiwezi kuwa comfortable..!

Mambo ya ligi hayo ni mawazo yako na hakuna wa kukuzuia kuwaza hivyo.. Unataka kujuana na kila mtu barabarani kuwa Trafiki..
Unaona shida watu kukupita njoo kwa Wajerumani..unyonge utaisha..!
Hakuna mtu aliyewahi kupata asala.. Labda hasara au risala..!
Akili zako ni za kitoto
 
Back
Top Bottom