Billionea aliokuwa na mioyo 7 David Rockefeller afariki dunia

Billionea aliokuwa na mioyo 7 David Rockefeller afariki dunia

Asante kwa taarifa ila naomba kukukumbusha kuwa ulitakiwa kusema amefariki lini.
Huyo mzee amefariki jana tarehe 20/03/2017.
 
Amkeni Watanzania!!!!!!!! Rockfeller alikuwa Mshetani Mkubwa, Kizazi chake chote ni ya Kishetani! Akina Rockfeller na Rothschild ndio ni ma Papa Wakonge Duniani ambao wamesababisha matatizo za vita and nk! Angalieni kwenye Youtube kuna documentaries kibao kuhusu huyu Ibilisi!
 
Amkeni Watanzania!!!!!!!! Rockfeller alikuwa Mshetani Mkubwa, Kizazi chake chote ni ya Kishetani! Akina Rockfeller na Rothschild ndio ni ma Papa Wakonge Duniani ambao wamesababisha matatizo za vita and nk! Angalieni kwenye Youtube kuna documentaries kibao kuhusu huyu Ibilisi!
Chuo kikuu cha DAR ES SALAAM alikisaidia sana .Wewe ulishawahi kisaidia nini? Watu kwa maelfu wana graduate pale chuo kikuu cha dar es salaamikiwa ni matunda ya misaada yake.Huu ni msiba pia wa chuo kikuu cha dar es salaam
 
kama ulivyojichagulia Mungu au Shetani basi ukapokee taji lako la motoni au la rehema
 
Kubadilisha mioyo kote huko kulikua ni kukimbia kifo lakin cha ajabu kifo hakikimbiliki, now ameenda...

P.K.A
PUMZIKA KWA AMANI
Magu Anao mmoja tu na una matundu.....mkumbusheni kuwa kifo kipo hakuna haja ya Visasi.
 
Jamaaa ukisoma hisstory yaO.

Ni miongoni mwaa koo au family zzilizo na rank kubwa katik secret societ....

[HASHTAG]#jay[/HASHTAG] z aalikuwa anatembelea baraka za huyu mtu....

Naona masons wataakuwa na ibada za maombolezo
Nani alikuwa anatembelea nyota yake mkuu, picha yako haionekani
 
Mziki wake sasa kupita kwenye ilo tundu la sindano ndio kazi..any way R.I.P
 
Siku yako ikifika imefika tu,haijalishi tajiri au masikini.
Sote ni waja na kwake Allah tutarejea.
Sasa hivi amebakia Rothchilds kila mia yako unayoweka 80 ni yake kwenye mfumo wa kibenki wa dunia
Siku yako ikifika imefika tu,haijalishi tajiri au masikini.
Sote ni waja na kwake Allah tutarejea.
Sasa hivi amebakia Rotch
 
Back
Top Bottom