Billionea aliokuwa na mioyo 7 David Rockefeller afariki dunia

Billionea aliokuwa na mioyo 7 David Rockefeller afariki dunia

Daah RIP influencial family Rockefeller, daah hiyo family inahusishwa na illuminate branch ya freemassons
 
Duuuh kumbe huyu ni mjukuu na john d rockefeller yule wa standard oil..rockefeller kaacha legacy duniani ambayo haitakuja kusahaulika..kam uyu david kagonga phd akiwa na miaka.25 tu alaf miaka hyoo sasa..
Daaah r.i.p
 
Moja kati ya watu walioshiriki kuharibu dunia.....alazwe anapostahili
 
Ila maisha bwana..hapa dunian kila mtu anataka kupumzika....wengine wanalazimishwa kufanya kaz manake muda woote wanataka kupumzika..ila sasa linapokuja suala la kupumzika kwa style hio ya moja kwa moja kama huyo jamaa kila mtu anaona chungu kama mkulu kumtumbua koromije
 
huyu na Henry Kissinger wanausumbua ulimwengu balaa kwenye hayo mambo yao
Jamaaa ukisoma hisstory yaO.

Ni miongoni mwaa koo au family zzilizo na rank kubwa katik secret societ....

[HASHTAG]#jay[/HASHTAG] z aalikuwa anatembelea baraka za huyu mtu....

Naona masons wataakuwa na ibada za maombolezo
 
Mwi
Bilionea David Rockefeller afariki dunia uko nyumbani kwake Pocantico Hills, N.Y. akiwa usingizini.

Rockefeller amefariki dunia akiwa na miaka 101, chanzo cha kifo ni moyo kushindwa kusambaza damu
kwa ghafla.

Rockefeller anashikia rekodi ya kubadilisha moyo mara 7.

[HASHTAG]#RIPDavidRockefeller[/HASHTAG]
efaffb919c08e102594d676abfb3d6db.jpg


5aba2961caec5118e6c73ea072bd3254.jpg

680e57cac12740b3d0bc7d47415de94e.jpg
Mwisho wa mwanadam mauti
 
Kabisa mkuu huyu na Kissinger,wameuchezesha gwaride ulimwengu sana,huwezi zungumzia deni la taifa bila kuwa taja hawa mabwana,wanakupa pesa wao wanakomba dhahabu
Moja kati ya watu walioshiriki kuharibu dunia.....alazwe anapostahili
 
Back
Top Bottom