Baazigar
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 1,129
- 1,103
Nipatie mkuu niongeze maarifanikupe kitabu mkuu uwasome hawa jamaa?
Nipatie mkuu niongeze maarifanikupe kitabu mkuu uwasome hawa jamaa?
Whaaaat? Kwani hii ikoje mkuu?Sasa hivi amebakia Rothchilds kila mia yako unayoweka 80 ni yake kwenye mfumo wa kibenki wa dunia
Sasa hivi amebakia Rotch
poa mkuuNipatie mkuu niongeze maarifa
Duuh imani zenu zimewafanya kuwa wajinga na wapumbavu wa kutupwaMungu amuweke anapo stahili kafiri mkubwa uyoo.
Daah!! Kumbe wewe ni ostadhat tuungeleta mahari sema mtaalamu wa mastori kashakuwahi.Siku yako ikifika imefika tu,haijalishi tajiri au masikini.
Sote ni waja na kwake Allah tutarejea.
Sawa kafa 101, je wewe maskini utafika hata 75???
sijakuelewa nduguHuyu alishakufa zamani alikuwa anaishi Kama double tu
Nasikia kauliwa na Puttin😀Bilionea David Rockefeller afariki dunia uko nyumbani kwake Pocantico Hills, N.Y. akiwa usingizini.
Rockefeller amefariki dunia akiwa na miaka 101, chanzo cha kifo ni moyo kushindwa kusambaza damu
kwa ghafla.
Rockefeller anashikia rekodi ya kubadilisha moyo mara 7.
[HASHTAG]#RIPDavidRockefeller[/HASHTAG]
![]()
![]()
![]()
Huyu alishakufa zamani alikuwa anaishi Kama double tu
sizani kama mungu alimpa miaka 101 ya kuwa shetani na wewe miaka 45 ya kuwa malaika ndugu hawa watu wana mchango wao mkubwa sana wa kimaendeleo katika dunia ya leo hata mungu analitanbua iloAmkeni Watanzania!!!!!!!! Rockfeller alikuwa Mshetani Mkubwa, Kizazi chake chote ni ya Kishetani! Akina Rockfeller na Rothschild ndio ni ma Papa Wakonge Duniani ambao wamesababisha matatizo za vita and nk! Angalieni kwenye Youtube kuna documentaries kibao kuhusu huyu Ibilisi!