Billionea aliokuwa na mioyo 7 David Rockefeller afariki dunia

Billionea aliokuwa na mioyo 7 David Rockefeller afariki dunia

Alibadili Mioyo mara Saba??
Aliipata wapi?

Kifo bhana! Pamoja na kukikwepa kwa kubadili Mioyo lakn haijawa njia sahihi ya kukimbia. Kimemkuta hata bila dalili ya kubadili moyo
Lakini nyie maskini ikiwahitaji kubadili moyo mtakufa hapohapo hamtasubiria mara 7.
Kubadilisha mioyo kote huko kulikua ni kukimbia kifo lakin cha ajabu kifo hakikimbiliki, now ameenda...

P.K.A
PUMZIKA KWA AMANI
 
Nitajiri mkubwa Marekani aliachiwa mahela na baba yake. Sasa akawa anauwezo wa kufanyiwa hizo operation kubadili viungo vyake vinavyo shindwa kufanya kazi kwa ufanisi. Lakini pesa yote duniani haiwezikuweza kumuweka hai mwishowe mwili ukichoka
, mkuu 101 sio haba
 
Miaka 101akiwa Tajiri mkubwa hvyo,he surely lived his life,gone too soon hehehe,akapumzike nadhan Hana malalamiko yoyote
 
Back
Top Bottom