Bill Clinton atembelea tena Tanzania

Bill Clinton atembelea tena Tanzania

Rais mstaafu wa marekani billy clinton yuko mchini kukagua miradi inayofadhiliwa na plan international,pia kuzungumza na akina mama vikoba,ndgu zangu watanzania wenzangu kunani hapa tanzania mbona kuanzia gesi igundulike marais kibao wa nchi mbali mbali wanakuja tanzania,tujiulize kama watanzania tumeshauzwa au lah!mwenye majibu naomba tusaidie kujua.

Aluta continua.
kwa taarifa tu,wamerekani nao wako na hazina kubwa tu ya gesi,wala hawaitaji kuja kuchukua gas ya hapa.gas yetu itatumika kuzalisha nishati,na kwa matumizi mengine ya nyumbani.
 
ni kweli hiyo taarifa ya kuwepo kwa bill clinton nimeipata kupitia breaking news ya mwananchi kama ulivyoiandika hapo, kama kuna mengine kuhusu ziara hiyo tufahamishane.

mbona kila siku bongo tujiulize kunani nchi imeshauzwa tusubiri mgao wetu kamanda
 
kwa taarifa tu,wamerekani nao wako na hazina kubwa tu ya gesi,wala hawaitaji kuja kuchukua gas ya hapa.gas yetu itatumika kuzalisha nishati,na kwa matumizi mengine ya nyumbani.

afadhali kukosa pesa kuliko kukosa akili
 
Rais mstaafu wa marekani billy clinton yuko mchini kukagua miradi inayofadhiliwa na plan international,pia kuzungumza na akina mama vikoba,ndgu zangu watanzania wenzangu kunani hapa tanzania mbona kuanzia gesi igundulike marais kibao wa nchi mbali mbali wanakuja tanzania,tujiulize kama watanzania tumeshauzwa au lah!mwenye majibu naomba tusaidie kujua.

Aluta continua.

kichwa cha habari yako ni kiashiria kizuri kuwa umepanic maana kuna mpaka hatua humo! au you meant atua?
 
Bora tununuliwe na USA tuuu

"Nchi ngumu hii"
 
mbona kila siku bongo tujiulize kunani nchi imeshauzwa tusubiri mgao wetu kamanda
watakuja wengi tu,nchi imeshatangazwa sana,kila mtu anataka kuja,watakuja watalii,wafanyabiashara,donors,wanamichezo,wakulima,etc.

Wala kuja kwa wageni haimanishi nchi imeuzwa.
 
Kwani Rais wenu kaenda kwao mara ngapi ? Mtakoma ! Nyie si mnapenda mdebwedo !
 
Hawa wamarekani kutusaidia vizuri, na hasa kwa hii issue inayotusumbua ya muungano, wangechukua haka kanchi kawe state yao nyingine.

Mara Bush, mara Obama, hatujakaa sawa Clinton. Vigesi vyetu na urani vinawatoa macho

unacheza na kubadilisha kondomuna vyandarua kwa Urani na gesi wewe!!
 
Rais mstaafu wa marekani billy clinton yuko mchini kukagua miradi inayofadhiliwa na plan international,pia kuzungumza na akina mama vikoba,ndgu zangu watanzania wenzangu kunani hapa tanzania mbona kuanzia gesi igundulike marais kibao wa nchi mbali mbali wanakuja tanzania,tujiulize kama watanzania tumeshauzwa au lah!mwenye majibu naomba tusaidie kujua.

Aluta continua.
mbona hapo jibu ni rahisi sana? ccm na serikali yake imewauza wananchi wake ndio maana hata swala la gesi linafanya kwa matakwa yao na wamesema ije dar na serikali lazima ipige wananchi wake ili wawafurahishe mabwana zao na pia rais anaingia mkataba 18 inayo semwa wazi ni mitatu sasa jiulize iliopo ndani ya file hapo utakuta kigamboni tayari mali ya wamarekani,,,, bagamoyo tayari mali ya wachina na maeneo mengi sana hapa nchini yapo hivyo sasa kitachotia hadsira zaidi unalisikia mtu linasema kuwa kidumu cha cha mafisadi na watu wanajibu maanayake ni sawa na kusema "mdumu kuuzwa"
 
Clinton yupo nchini na mkewe kwaajili ya kukagua miradi ambayo iko chini ya ufadhili wake.

sasa nauliza kwani hapo Kagame anahusikaje??

Xi Jinping, Obama, Bush, Clinton, na Tony Blair wote wameitembelea Tanzania kwa kipindi kifupi tuu kilichopita.

Kiudaku, Kagame lazima ahusike hapo. Tunafuatwa fuatwa kwa sababu, recently we're become more attractive and sexy than them.

Niambie ni nchi gani duniani imetembelewa na watu hao wote ndani ya miezi sita tuu? Kagame lazima ahusike hapo. lol.
 
Shukrani zimwendee mwalimu Nyerere kwasababu ali preserve rasimiali zetu na ndiyo maana nchi yetu inapewa kipaumbele kwasababu a lot of resource haven't been taped yet.Cha kuhimu ni kunegotiate mikataba amabayo ni a win win situation.Kama mwalimu angeuza nchi JK asingekuwa na chakufanya wala cha kuuza ama kuingia mikataba.Pengine mwalimu na familia yake kama asingekuwa mzalendo,wangekuwa wanamiliki rasilimali zote kama kina Mobutu.

Kiuweli si kwamba nampenda mwalimu kwasababu ni perfect,ila ametuachia misingi ambayo atakayeenda kinyuke nayo,nchi itarudi utumwani ama kuwa colonised.Unadhani ni wazungu tu wanaimezea mate nchi yetu?hata majirani wa hapa east ie akenya nk.Tuna ardhi ambayo haimilikiwi na wazungu,bali wananchi masiki.Tuhakikishe tanasimamia hizo principles na si kuuza ardhi kwa mabepari.Tusiisnge kila kitu.Kwa wenzetu,wana kila kitu lakini nia kwa mikopo.Wakati bongo watu wanamiliki nyuma bioa deni,na hata magari bila payment options.Ubepari una mazuri na mabaya yake.

I meya not like mwalimu,but appreciate him.His good intentions and wisdokm.
 
Back
Top Bottom