habariyamujini
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 3,094
- 457
CLINTON ATUA NCHINI,
Rais Mstaafu wa Marekani Bill Clinton yuko nchini kukagua miradi inayofadhiliwa na Plan International, pia kuzungumza na akina mama Vikoba.
Rais Kikwete akiwa na Rais Mstaafu wa Marekani Mhe Bill Clinton ambaye yuko nchini kwa ziara ya kukagua miradi inayoendeshwa na taasisi yake ya Clinton Foundation katika nchi kadhaa za Afrika
================
Akiwa Vingunguti:
================
RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI BILL CLINTON AFANYA ZIARA YA KUKITEMBELEA KIKUNDI CHA UPENDO HISA GROUP CHA JIJINI DAR ES SALAAM
Rais Mstaafu wa Marekani Bill Clinton yuko nchini kukagua miradi inayofadhiliwa na Plan International, pia kuzungumza na akina mama Vikoba.
Rais Kikwete akiwa na Rais Mstaafu wa Marekani Mhe Bill Clinton ambaye yuko nchini kwa ziara ya kukagua miradi inayoendeshwa na taasisi yake ya Clinton Foundation katika nchi kadhaa za Afrika
================
Akiwa Vingunguti:
================
RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI BILL CLINTON AFANYA ZIARA YA KUKITEMBELEA KIKUNDI CHA UPENDO HISA GROUP CHA JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa zamani wa Marekani Bw Bill Clinton akizungumza na wanachama wa Upendo Hisa Group alipotembelea kikundi hicho kilichopo Vingunguti jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Meneja Miradi wa Shirika la kimataifa la Plan International Bw Paul Lusato na Catherine French Mkuu wa wafanyakazi ofisi ya Mtendaji Mkuu wa Barclays.
Rais wa zamani wa Marekani Bw Bill Clinton pia alitembelea moja ya saluni ya kutengenezea nywele ya Bi Zainabu Rashidi (kulia) ambaye ni mmoja wa wanakikundi cha Upendo Hisa Group cha Vingunguti Mtambani, DSM.
Baadhi ya wakazi wa Vingunguti Mtambani wakimsubili Rais wa zamani wa Marekani Bill Clinton (hayupo pichani).
Rais wa zamani wa Marekani Bw Bill Clinton akitembelea baadhi ya mitaa ya Vingunguti kwa Mtambani jijini Dar es Salaam.