jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Hizo figure za kutengeneza tunazipiga chini mwaka huu.Msaada wa pedi,condom na sindano za uzaziInvestment kutoka Eoropean Union to Tanzania kwa mwaka ni US1BIL to US2BIL, hiyo inaitwa DFI. Direct Finance Investment ni sawa na SH 5T
Canada ni US700M sawa na SH 1.7T
US ni US1.5BIL
Tanzania GDP NI US58BIL ni sawa na SH 1.3T
sasa mnaringa nini hapa lazima mpige magoti!!!sio kila jambo mnaingiza arrogance politics
Tuna bahati mbaya sana, Tanzania will go no where without DONORS
View attachment 1632218