Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,807
Tumpe mwenyekiti wa bunge asimamieTumpe Lowassa na Mbowe wasimamie !
Tumpe mwenyekiti wa bunge asimamieTumpe Lowassa na Mbowe wasimamie !
Kwa mujibu wa taarifa ni bilioni 400
Mkuu unaona nyingi sana au..!?
Hiyo ni 400 billion au?
Ili kuwawezesha hao wapate nafasi ya kuzisimamia mali za watanzania ni kuwapa kura za kutosha wapinzani ili washike dola na ccm iwe sasa ni mkosoajiTumpe Lowassa na Mbowe wasimamie !
Nchi hii ni tajiri sanaaaaaaaNchi hii tatizo wala sio ccm tatizo ni IQ ndogo, kwa mfano kila mwananchi/mwanasiasa utasukia anasema nchi hii ni tajiri sana huku akiorothesha utajiri tulionao, hakuna anayesema atatumia strategy gani kumaximize returns kutoka kwenye huo utajiri ghafi. PPP strategy kwenye natural resources ingesaidia sana, badala ya tax strategy ambayo multinationals walishajenga mikakati ya kuikwepa from day one.
Mkuu nadhani hujui kuwa hili ni jukwaa huruSi ukae kimya tu, kwani lazima uchangie
A.k.a anaconda?Tumpe mwenyekiti wa bunge asimamie
Umesahau na kivuko cha mv dsm na epahiyo 400 billion!
thamani yake inalingana na ufisadi wa ESKroW na ule ukwepaji kodi wa VODACOM kupitia SHIVACOM.....
Na malipo ya wakandarasi hewahiyo 400 billion!
thamani yake inalingana na ufisadi wa ESKroW na ule ukwepaji kodi wa VODACOM kupitia SHIVACOM.....
USD $20,000,000,000 x TZS 2180 = TZS 43,600,000,000,000Tanzania imebarikiwa kila mahali,JPM anazo resources za kutosha kuhakikisha kila anachokusudia kinafanyika.
hii Niobium bei yake ni nzuri sana katika soko la dunia na inapatikana Brazili na Canada tu.
kilo moja ya Niobium (FeNb) inauzwa $40
hizo tani millioni 96.3 tulizopata zina average grade of 0.52% Nb2O5. kwa hiyo ni kama tani million 0.5 za pure Nb2O5 ni sawa na kilo billion 0.5 kwa hiyo thamani ya madini hayo huko Mbeya ni sawa na $20bn!
Ikulu ilijengwa na Wajerumani, na Wajerumani ni wazuri katika kuficha mali.Ikulu ya Magogoni haikujengwa wakati Nyerere anatawala..
Mkuu nadhani hujui kuwa hili ni jukwaa huru
Kama wajenzi(waashi) walikuwa Wajerumani, na Wajerumani ni watu wa kuficha sana mambo yao, huenda kukawa na underground ways(sina huakika).Na maeneo iliyopo ni ya kimkakati (Strategic) ili kuwapa wepesi wakati wa dharura.kwanini haikuhama mpaka leo kila kitu kina maslahi yake ukute kwanza tyr kuna underground ways
Naona umekosea jukwaa nakushauri hamia fb ndiyo kuna kufaaAngalia uhuru usikutoe akili
400 billion kuhamisha gereza tena la wilaya ni pesa ndefu sana hasa ukichukulia hao wawekezaji wenyewe ni kina mwakibinga
Utajiri wa TanzaniaNchi hii ni tajiri sana tatizo ni CCM.
Umaskini (njaa) ndio silaha ya watawala.Njaa ya tumbo mbaya unashindwa hata kuhoji vitu vya msinga kitu umeambiwa upinge jamvo lolote mitandaoni ili ulipwe hiyo buku 7
Na kikubwa hapa ni kuongzwa na ccm kwa kipindi kirefuUtajiri wa Tanzania
1. mbuga za wanyama
2. Bahari na maziwa m
Makuu matatu. (bandari na uvuvi)
3. Madini ya Tanzanite.
4. Madini ya dhahabu.
5. Madini ya almasi.
6. Madini ya uranium.
7. Gesi
8. Madini ya helium
9. Madini ya niobium.
10. Madini ya vito (gemstones)
11. Raslimali watu(human resources)
12. Ardhi yenye rutuba.
Matatizo ya Tanzania
1. Siasa chafu (siasa uchwara)
2. Uongozi mbovu
3. Rushwa
4. Ufisadi
5. Unafiki
6. Woga.
7. Elimu
8. Maradhi
9.umaskini.