Ni kweli makampuni ya Australia yametuingiza chaka kuvuna Graphite na Niobium mikoa ya Lindi na Mbeya

Ileje

JF-Expert Member
Dec 20, 2011
8,801
12,247

Kwamba sisi tuaambulia $ 600+ milioni wakati wao watavuna mabilioni ya dollars kila mwaka.

Madini ya graphite yanapatikana kwa wingi huko Lindi wakati niobium ipo tele pale Panda Hill Mbeya. Kwa nini tusingesubiri nchi ipate uwezo tuweze kuchimba wenyewe badala ya kuwapa hawa wa Australia kwa bei ya kutupa?

Prof. Kabudi na Prof. Mruma kweli hamkuona mtego huu Wa- Australia hawa hakituingiza chaka!

Tafadhali tunaomba ufafanuzi!
 
View attachment 2602708
Kwamba sisi tuaambulia $ 600+ milioni wakati wao watavuna mabilioni ya dollars kila mwaka.

Madini ya graphite yanapatikana kwa wingi huko Lindi wakati niobium ipo tele pale Panda Hill Mbeya. Kwa nini tusingesubiri nchi ipate uwezo tuweze kuchimba wenyewe badala ya kuwapa hawa wa Australia kwa bei ya kutupa?

Prof. Kabudi na Prof. Mruma kweli hamkuona mtego huu Wa- Australia hawa hakituingiza chaka!

Tafadhali tunaomba ufafanuzi!
Madini leo yanaweza kuwa na faida lakini kesho ikatokea aina nyingine ya madini ikawa na sifa kuliko hayo ya awali hivyo ya awali yakakosa soko.
 
View attachment 2602708
Kwamba sisi tuaambulia $ 600+ milioni wakati wao watavuna mabilioni ya dollars kila mwaka.

Madini ya graphite yanapatikana kwa wingi huko Lindi wakati niobium ipo tele pale Panda Hill Mbeya. Kwa nini tusingesubiri nchi ipate uwezo tuweze kuchimba wenyewe badala ya kuwapa hawa wa Australia kwa bei ya kutupa?

Prof. Kabudi na Prof. Mruma kweli hamkuona mtego huu Wa- Australia hawa hakituingiza chaka!

Tafadhali tunaomba ufafanuzi!
Msoga Kingdom!
 
View attachment 2602708
Kwamba sisi tuaambulia $ 600+ milioni wakati wao watavuna mabilioni ya dollars kila mwaka.

Madini ya graphite yanapatikana kwa wingi huko Lindi wakati niobium ipo tele pale Panda Hill Mbeya. Kwa nini tusingesubiri nchi ipate uwezo tuweze kuchimba wenyewe badala ya kuwapa hawa wa Australia kwa bei ya kutupa?

Prof. Kabudi na Prof. Mruma kweli hamkuona mtego huu Wa- Australia hawa hakituingiza chaka!

Tafadhali tunaomba ufafanuzi!
Only focus. Kikubwa maendeleo basi.
 
Huyo demu ni expert wa madini? Tatizo kila mtu anajidai expert. Nyie mmejuaje kama madini yaliyopo ni worth billions of dollars?

Unataka wasubiri kuchimba kwani vizazi vijavyo vina thamani kuliko vya Sasa?

Kwenye hiyo partnership serikali ya bongo inatoa capital, utaalam, vifaa au nini? Mnataka msitoe kitu na mpewe 100% mna wazimu? Bado mnapata ajira na Kodi.
 
Huyo demu ni expert wa madini? Tatizo kila mtu anajidai expert. Nyie mmejuaje kama madini yaliyopo ni worth billions of dollars?

Unataka wasubiri kuchimba kwani vizazi vijavyo vina thamani kuliko vya Sasa?

Kwenye hiyo partnership serikali ya bongo inatoa capital, utaalam, vifaa au nini? Mnataka msitoe kitu na mpewe 100% mna wazimu? Bado mnapata ajira na Kodi.
Wacha kudhalilisha na kubeza.
 
View attachment 2602708
Kwamba sisi tuaambulia $ 600+ milioni wakati wao watavuna mabilioni ya dollars kila mwaka.

Madini ya graphite yanapatikana kwa wingi huko Lindi wakati niobium ipo tele pale Panda Hill Mbeya. Kwa nini tusingesubiri nchi ipate uwezo tuweze kuchimba wenyewe badala ya kuwapa hawa wa Australia kwa bei ya kutupa?

Prof. Kabudi na Prof. Mruma kweli hamkuona mtego huu Wa- Australia hawa hakituingiza chaka!

Tafadhali tunaomba ufafanuzi!
Nashauri tukafungue kesi Mahakamani kuweka zuio la utekelezaji wa huo mkataba hadi mapitio ya mkataba kati ya Serikali na Kampuni hizo yawe yamefanyika na timu yenye wadau mtambuka including Tundu Lissu
 
Huyo demu ni expert wa madini? Tatizo kila mtu anajidai expert. Nyie mmejuaje kama madini yaliyopo ni worth billions of dollars?

Unataka wasubiri kuchimba kwani vizazi vijavyo vina thamani kuliko vya Sasa?

Kwenye hiyo partnership serikali ya bongo inatoa capital, utaalam, vifaa au nini? Mnataka msitoe kitu na mpewe 100% mna wazimu? Bado mnapata ajira na Kodi.

Tunataka tupate kitu kama Equinor ASA na sio hizo porojo za 16% za kwenye makaratasi wakati unakua haupo kwenye bodi ya wakurugenzi na wala haujui kiasi gani kimezalishwa na kimeingiza kiasi gani, yaani watacalculate kila kitu halafu wakukadirie sasa hiyo hatuitaki ni porojo kama za miaka yote na ni moja ya mikataba mibovu taifa limeingia
 
Tunataka tupate kitu kama Equinor ASA na sio hizo porojo za 16% za kwenye makaratasi wakati unakua haupo kwenye bodi ya wakurugenzi na wala haujui kiasi gani kimezalishwa na kimeingiza kiasi gani, yaani watacalculate kila kitu halafu wakukadirie sasa hiyo hatuitaki ni porojo kama za miaka yote na ni moja ya mikataba mibovu taifa limeingia
Zama hizi bado tunaibiwa kama kina chief mangungo?
 
Hakuna mtu alietuchagulia Kabudi kama chief negotiator, hayo maamuzi tumefanya wenyewe.

Hii nchi unaweza piga kelele miaka nenda miaka rudi ukaonekana mwehu tu.

Watu wanarudia na kurudia hiyo mikataba aspect muhimu ya consideration ni finance. Unahitaji wataalamu wenye skills hizo kwenye hayo majadiliano, vinginevyo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.

Binafsi niliposoma kwenye online magazine mkataba wa Mbeya tumetoa lease rights ya 33 million years kuchimba (na kuna kipengele cha kuwaongezea muda. Estimated revenue kwa mwaka ni $567 million dollars kwa kiwango cha madini watakayo kuwa wanachimba kwa bei za leo. In the future hiyo revenue with inflation itakuwa ikipanda jumlisha na increased demands.

Halafu mwekezaji eti anaweka $370 million tu na kwa mwaka na tuna share economic benefit za 50% kwa madini ya mbeya.

Mkataba mwingine wa Lindi na kwenyewe mwekezaji kapewa 33 years lease (na kwenyewe kuna MoU ya extension tayari), reserve iliyopo huko kwa kuchimba tonne laki mbili kwa mwaka wanatabiria itachukua 16 years kuisha, however kuna potential nyingine kwenye maeneo hayo hayo ambayo graphite inaweza chimbwa kwa miaka 40 kwa kuvuna tonne hizo laki mbili na uwekezaji wenyewe sijui $200m, ni sawa na kuwapa hawa watu mali bure.

Sasa mradi ushawapa exclusive rights za kuchimba for 33 years na kuna extension MoU; kuwanyan’ganya hao watu hiyo migodi uwezi na kubadili terms ya hiyo mikataba baada kuona faida wanazopata itabidi tuwapigie magoti kama ilivyokuwa kwa ACCACIA hii nchi Samia anapoipeleka mpaka huruma.
 
Nashauri tukafungue kesi Mahakamani kuweka zuio la utekelezaji wa huo mkataba hadi mapitio ya mkataba kati ya Serikali na Kampuni hizo yawe yamefanyika na timu yenye wadau mtambuka including Tundu Lissu

Tundu Lisu huwezi kumuona hapa kwa hii issue. Yeye anataka posho yake ya bunge na stahiki, hayo mengine haya mhusu.
 
Back
Top Bottom