Bila Yanga kucheza final CAFCCL, Simba asingefika huko

Bila Yanga kucheza final CAFCCL, Simba asingefika huko

Sema msimu huu huko umamani cup timu ni dhaifu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Msimu wenu walijaa viande...
Kwanza kwanza picha linaanza na wale wasudani maskini wakaja na bus wako hoii hata hotel ya kufikia hawana...
Mkawakuta Marumo ipo dhaifu hali ikashuka na daraja...
Mkaja mkawakuta wale waaarabu CRB nao wamepotea kwny ramani hata mshindano haya hawapo...
Mkaja mkawakuta fainali wale waarabu wenu wakawatoa kamasi ila wangekutana na moto wa mnyama wangeungua...
In short sfar yenu ilikua kama mnateleza mabwani kwenu pale jangwani...
 
Utopolo wanafanya vizuri kwenye mashindano ya kimataifa yanayofanyika viwanja vya Gombani Pemba
Vipi bila Yanga kucheza fainali ya kombe Muungano.

Simba angefika huko fainali ya kombe la Muungano?

Kwa vile huu uzi haujaanzishwa na JK na Mzee Manara. Sina shaka na akili ya mleta uzi
IMG_20250330_155626.JPG
 
Msimu wenu walijaa viande...
Kwanza kwanza picha linaanza na wale wasudani maskini wakaja na bus wako hoii hata hotel ya kufikia hawana...
Mkawakuta Marumo ipo dhaifu hali ikashuka na daraja...
Mkaja mkawakuta wale waaarabu CRB nao wamepotea kwny ramani hata mshindano haya hawapo...
Mkaja mkawakuta fainali wale waarabu wenu wakawatoa kamasi ila wangekutana na moto wa mnyama wangeungua...
In short sfar yenu ilikua kama mnateleza mabwani kwenu pale jangwani...
Ebu fuatilia vzr

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Ahsante Yanga kwa kuonyesha mwanga wa Taifaaa ...

Pamoja na kuwa mchambuzi maarufu hapa jamii forum pia mwanachama wa Simba ....ila nakubali kuwa Yanga walituchongea njia ya kwenda final......hivyo tumejifunza mengi Kwa Yanga mfano

1. Kukaza ugenini....Simba always ilikuwa mbovu ugenini....lakini Baada ya Yanga ku prove inawezekana kukaza ugenini.... it's became a foundation to Simba to gain confidence

All in all..... Asanteni Yanga Kwa kuchonga njia...japo tunajua kombe hatubebi mbele ya waarabu...tutaishia mlipoishiaView attachment 3318438

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hata kombe la muungano Simba asingefika fainali, Yanga pia msingefika fainali.
 
Ahsante Yanga kwa kuonyesha mwanga wa Taifaaa ...

Pamoja na kuwa mchambuzi maarufu hapa jamii forum pia mwanachama wa Simba ....ila nakubali kuwa Yanga walituchongea njia ya kwenda final......hivyo tumejifunza mengi Kwa Yanga mfano

1. Kukaza ugenini....Simba always ilikuwa mbovu ugenini....lakini Baada ya Yanga ku prove inawezekana kukaza ugenini.... it's became a foundation to Simba to gain confidence

All in all..... Asanteni Yanga Kwa kuchonga njia...japo tunajua kombe hatubebi mbele ya waarabu...tutaishia mlipoishiaView attachment 3318438

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
1000285438.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom