Bila Yanga kucheza final CAFCCL, Simba asingefika huko

Bila Yanga kucheza final CAFCCL, Simba asingefika huko

Ahsante Yanga kwa kuonyesha mwanga wa Taifaaa ...

Pamoja na kuwa mchambuzi maarufu hapa jamii forum pia mwanachama wa Simba ....ila nakubali kuwa Yanga walituchongea njia ya kwenda final......hivyo tumejifunza mengi Kwa Yanga mfano
Huo ndo ukweli.
 
Simba na yanga zote zimefika fainali kwa bahati,, hakuna katika hizo timu mbili iliyokua na malengo hayo mwanzoni wa msimu...Tunaambiwa Simba iliwahi kucheza fainali 1993,,, nayo pia ilikua ni bahati.
20250428_214433.jpg
 
Simba tunacheza fainali ya pili. Hii tunabeba maana tumechoka kucheza fainali kila siku.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom