Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 22,854
- 32,657
- Thread starter
- #101
Kwann mkuu..,by the way Niko singleMkeo ana kazi
We nae hutulii unaumbuka kila siku duuh..sisi malengo yetu yalikua ni kuingia Nusu fainali hizi nyingine ni bonus tuu za kuwa na wachezaji wazuri wenye nguvu na Ari wakiongozwa na kocha mwenye maono...upoooo ughweee?
Hana mke huyu anashinda na tisheti lake la njano la mboga mboga bar muda wote anabeti....Mkeo ana kazi
Kumbe ndio maanaHana mke huyu anashinda na tisheti lake la njano la mboga mboga bar muda wote anabeti....
Sema msimu huu huko umamani cup timu ni dhaifuWe nae hutulii unaumbuka kila siku duuh..sisi malengo yetu yalikua ni kuingia Nusu fainali hizi nyingine ni bonus tuu za kuwa na wachezaji wazuri wenye nguvu na Ari wakiongozwa na kocha mwenye maono...upoooo ughweee?
Asikudanganye mkuu ... kwenye harusi yangu nlimwalika ....alikula + kulewa Hadi alifunga msosiKumbe ndio maana


Ilikua yako ama ya binamu yakoAsikudanganye mkuu ... kwenye harusi yangu nlimwalika ....alikula + kulewa Hadi alifunga msosi
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Yangu na ntoto mzr JoannahIlikua yako ama ya binamu yako
Ngoja aje kama hatakukana
Kwa hiki kiswahili tu ushaachwa
Sorry mkuu ...nimeishi sana ughaibuni ... kiswahili naendelea kujifunzaKwa hiki kiswahili tu ushaachwa
Mswahili mtupuSorry mkuu ...nimeishi sana ughaibuni ... kiswahili naendelea kujifunza
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Simba na yanga zote zimefika fainali kwa bahati,, hakuna katika hizo timu mbili iliyokua na malengo hayo mwanzoni kwa msimu....Ahsante Yanga kwa kuonyesha mwanga wa Taifaaa ...
Pamoja na kuwa mchambuzi maarufu hapa jamii forum pia mwanachama wa Simba ....ila nakubali kuwa Yanga walituchongea njia ya kwenda final......hivyo tumejifunza mengi Kwa Yanga mfano
1. Kukaza ugenini....Simba always ilikuwa mbovu ugenini....lakini Baada ya Yanga ku prove inawezekana kukaza ugenini.... it's became a foundation to Simba to gain confidence
All in all..... Asanteni Yanga Kwa kuchonga njia...japo tunajua kombe hatubebi mbele ya waarabu...tutaishia mlipoishiaView attachment 3318438
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Simba na yanga zote zimefika fainali kwa bahati,, hakuna katika hizo timu mbili iliyokua na malengo hayo mwanzoni wa msimu...Tunaambiwa Simba iliwahi kucheza fainali 1993,,, nayo pia ilikua ni bahati.Ahsante Yanga kwa kuonyesha mwanga wa Taifaaa ...
Pamoja na kuwa mchambuzi maarufu hapa jamii forum pia mwanachama wa Simba ....ila nakubali kuwa Yanga walituchongea njia ya kwenda final......hivyo tumejifunza mengi Kwa Yanga mfano
1. Kukaza ugenini....Simba always ilikuwa mbovu ugenini....lakini Baada ya Yanga ku prove inawezekana kukaza ugenini.... it's became a foundation to Simba to gain confidence
All in all..... Asanteni Yanga Kwa kuchonga njia...japo tunajua kombe hatubebi mbele ya waarabu...tutaishia mlipoishiaView attachment 3318438
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Nataka kujua kama wewe ni JK au Mzee manara na km sio sihangaiki nawewe tenaAhsante Yanga kwa kuonyesha mwanga wa Taifaaa ...
Pamoja na kuwa mchambuzi maarufu hapa jamii forum pia mwanachama wa Simba ....ila nakubali kuwa Yanga walituchongea njia ya kwenda final......hivyo tumejifunza mengi Kwa Yanga mfano
1. Kukaza ugenini....Simba always ilikuwa mbovu ugenini....lakini Baada ya Yanga ku prove inawezekana kukaza ugenini.... it's became a foundation to Simba to gain confidence
All in all..... Asanteni Yanga Kwa kuchonga njia...japo tunajua kombe hatubebi mbele ya waarabu...tutaishia mlipoishiaView attachment 3318438
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Unaishi UK na unatumia TECNO KG5J!!!?? Acha kuchekesha umma...badilisha sim kwanza mwiko nyuma.Sasa ninaishi UK mwaka wa 10 ntashindwaje ngeli ....hizo scum pages
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ughaibuni ya wapi hiyo wanayotumia Tecno toleo la zamani hivyo!!??Sorry mkuu ...nimeishi sana ughaibuni ... kiswahili naendelea kujifunza
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app