Bila Yanga kucheza final CAFCCL, Simba asingefika huko

Bila Yanga kucheza final CAFCCL, Simba asingefika huko

We nae hutulii unaumbuka kila siku duuh..sisi malengo yetu yalikua ni kuingia Nusu fainali hizi nyingine ni bonus tuu za kuwa na wachezaji wazuri wenye nguvu na Ari wakiongozwa na kocha mwenye maono...upoooo ughweee?
Sema msimu huu huko umamani cup timu ni dhaifu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Ahsante Yanga kwa kuonyesha mwanga wa Taifaaa ...

Pamoja na kuwa mchambuzi maarufu hapa jamii forum pia mwanachama wa Simba ....ila nakubali kuwa Yanga walituchongea njia ya kwenda final......hivyo tumejifunza mengi Kwa Yanga mfano

1. Kukaza ugenini....Simba always ilikuwa mbovu ugenini....lakini Baada ya Yanga ku prove inawezekana kukaza ugenini.... it's became a foundation to Simba to gain confidence

All in all..... Asanteni Yanga Kwa kuchonga njia...japo tunajua kombe hatubebi mbele ya waarabu...tutaishia mlipoishiaView attachment 3318438

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Simba na yanga zote zimefika fainali kwa bahati,, hakuna katika hizo timu mbili iliyokua na malengo hayo mwanzoni kwa msimu....
 
Ahsante Yanga kwa kuonyesha mwanga wa Taifaaa ...

Pamoja na kuwa mchambuzi maarufu hapa jamii forum pia mwanachama wa Simba ....ila nakubali kuwa Yanga walituchongea njia ya kwenda final......hivyo tumejifunza mengi Kwa Yanga mfano

1. Kukaza ugenini....Simba always ilikuwa mbovu ugenini....lakini Baada ya Yanga ku prove inawezekana kukaza ugenini.... it's became a foundation to Simba to gain confidence

All in all..... Asanteni Yanga Kwa kuchonga njia...japo tunajua kombe hatubebi mbele ya waarabu...tutaishia mlipoishiaView attachment 3318438

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Simba na yanga zote zimefika fainali kwa bahati,, hakuna katika hizo timu mbili iliyokua na malengo hayo mwanzoni wa msimu...Tunaambiwa Simba iliwahi kucheza fainali 1993,,, nayo pia ilikua ni bahati.
 
Ahsante Yanga kwa kuonyesha mwanga wa Taifaaa ...

Pamoja na kuwa mchambuzi maarufu hapa jamii forum pia mwanachama wa Simba ....ila nakubali kuwa Yanga walituchongea njia ya kwenda final......hivyo tumejifunza mengi Kwa Yanga mfano

1. Kukaza ugenini....Simba always ilikuwa mbovu ugenini....lakini Baada ya Yanga ku prove inawezekana kukaza ugenini.... it's became a foundation to Simba to gain confidence

All in all..... Asanteni Yanga Kwa kuchonga njia...japo tunajua kombe hatubebi mbele ya waarabu...tutaishia mlipoishiaView attachment 3318438

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Nataka kujua kama wewe ni JK au Mzee manara na km sio sihangaiki nawewe tena
 
Wachunga mbuzi huwa wana akili basi!?
Screenshot_20250428_083320.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom