Bila ya CCM, Tanzania ingepoteana

Bila ya CCM, Tanzania ingepoteana

Salaam Wana JF

Nilikuwa nasafiri kuelekea mkoa fulani hivi, kwakweli kama nchi tumejitahidi kufanya Maendeleo, kila baada ya umbali kadhaa unaona miradi ya Barabara inaendelea. Kuelekea nchi ya ahadi japo kuna watu wanaponda juhudi za serikali lazima tujue kuwa hata Roma haikujengwa kwa siku moja, development is a process.

Ukija kwenye suala la amani serikali chini ya mwamvuli wa CCM imejitahidi kujenga misingi ya undugu kwakuwa hakuna ukabila wala aina zozote za kubaguana. Kwa hili CCM wanahitaji pongezi kubwa japokuwa kuna changamoto kubwa kutoka kwa watu mbali mbali.

Tukubali tu kuwa vyama vya upinzani bado sana kupata ukomavu wa kuongoza nchi hii sababu wana siasa za vurugu, hakuna democracy with themselves + siasa za kugawa nchi. Yote kwa yote CCM tuwape maua yao.

NB: Kama kusingekuwa na CCM basi nchi ingekuwa kama Somali, Sudan, CAR etc. Je, kama Mtanzania unaonaje hili?

Nakala waione;

Mshana Jr
Erythrocyte

Vyuma vya dunia kumshuhudia Mnyama akitumbuiza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wapinzani hawan hoja hata moja zaidi ya matusi na kejeri kama unabisha subir uone kama kuna mwenye hoja Kidumu Chama Cha Mapinduzi
 
Salaam Wana JF

Nilikuwa nasafiri kuelekea mkoa fulani hivi, kwakweli kama nchi tumejitahidi kufanya Maendeleo, kila baada ya umbali kadhaa unaona miradi ya Barabara inaendelea. Kuelekea nchi ya ahadi japo kuna watu wanaponda juhudi za serikali lazima tujue kuwa hata Roma haikujengwa kwa siku moja, development is a process.

Ukija kwenye suala la amani serikali chini ya mwamvuli wa CCM imejitahidi kujenga misingi ya undugu kwakuwa hakuna ukabila wala aina zozote za kubaguana. Kwa hili CCM wanahitaji pongezi kubwa japokuwa kuna changamoto kubwa kutoka kwa watu mbali mbali.

Tukubali tu kuwa vyama vya upinzani bado sana kupata ukomavu wa kuongoza nchi hii sababu wana siasa za vurugu, hakuna democracy with themselves + siasa za kugawa nchi. Yote kwa yote CCM tuwape maua yao.

NB: Kama kusingekuwa na CCM basi nchi ingekuwa kama Somali, Sudan, CAR etc. Je, kama Mtanzania unaonaje hili?

Nakala waione;

Mshana Jr
Erythrocyte
Kabla hata ya CCM nchi ilikuwa na mshikamano. Tulishikamana kumtoa mkoloni.

Lakini sikatai usemacho, ingawa CCM unayoitaja iliishia 1985 na waliokuja baadaye CCM ya Babeli isiyokuwa na kusudi, dira walamwelekeo wa kuikwamua nchi.

Imejaa majizi, wauaji, wafiraji, waongo na watu mabaradhuli dhidi ya ustawi wa demokrasia na maendeleo ya kweli.


Muhimu istaafishwe kwa manufaa ya Umma
 
Back
Top Bottom