Bila ya CCM, Tanzania ingepoteana

Bila ya CCM, Tanzania ingepoteana

.
Mmmh mm sijakuelewa kabisa unachotaka kuongea......

Ukizungumzia miundombinu hio ni hela ya Kodi ya watz.....Unapokuja kusema kuwa bila wao nchi haiwezi jiongoza unajikosea Sana KILA kitu kinawezekana ukitimiza wajibu wako.....

Nchi bado haisogei bablai....mfano mradi wa SGR na bwawa la Nyerere ukiangalia zengwe linalochezwa hapo huelewi elewi .....

Ukileta mada huku JF siku nyingine hakikisha umefanya utafiti Yakinifu zaidi ya mara Moja....
Sawa pesa ni Kodi ya wa TZ ....but inahakikisha Zinakuwa well managed & distributed equitably..,..
 
Naomba nikulize kama kweli wew ni mzalendo .... ivi umesha wahi japo kusikiliza report za CAG? ....... japo kwa awamu moja tu kwenye hizi serikali z CCM tusiende mbali tuanzie kwa JK, JPM, SSH , alafu uje hapa uniambie nikisema serikali inafuga wezi uta kataaa?
Best Choice tz kwa kinyakyusa maana yake ni njaa.......vp umekula kijana
 
Salaam Wana JF

Nilikuwa nasafiri kuelekea mkoa fulani hivi, kwakweli kama nchi tumejitahidi kufanya Maendeleo, kila baada ya umbali kadhaa unaona miradi ya Barabara inaendelea. Kuelekea nchi ya ahadi japo kuna watu wanaponda juhudi za serikali lazima tujue kuwa hata Roma haikujengwa kwa siku moja, development is a process.

Ukija kwenye suala la amani serikali chini ya mwamvuli wa CCM imejitahidi kujenga misingi ya undugu kwakuwa hakuna ukabila wala aina zozote za kubaguana. Kwa hili CCM wanahitaji pongezi kubwa japokuwa kuna changamoto kubwa kutoka kwa watu mbali mbali.

Tukubali tu kuwa vyama vya upinzani bado sana kupata ukomavu wa kuongoza nchi hii sababu wana siasa za vurugu, hakuna democracy with themselves + siasa za kugawa nchi. Yote kwa yote CCM tuwape maua yao.

NB: Kama kusingekuwa na CCM basi nchi ingekuwa kama Somali, Sudan, CAR etc. Je, kama Mtanzania unaonaje hili?

Nakala waione;

Mshana Jr
Erythrocyte
Ni mpinzani gani ametokea nje ya ccm?
 
Salaam Wana JF

Nilikuwa nasafiri kuelekea mkoa fulani hivi, kwakweli kama nchi tumejitahidi kufanya Maendeleo, kila baada ya umbali kadhaa unaona miradi ya Barabara inaendelea. Kuelekea nchi ya ahadi japo kuna watu wanaponda juhudi za serikali lazima tujue kuwa hata Roma haikujengwa kwa siku moja, development is a process.

Ukija kwenye suala la amani serikali chini ya mwamvuli wa CCM imejitahidi kujenga misingi ya undugu kwakuwa hakuna ukabila wala aina zozote za kubaguana. Kwa hili CCM wanahitaji pongezi kubwa japokuwa kuna changamoto kubwa kutoka kwa watu mbali mbali.

Tukubali tu kuwa vyama vya upinzani bado sana kupata ukomavu wa kuongoza nchi hii sababu wana siasa za vurugu, hakuna democracy with themselves + siasa za kugawa nchi. Yote kwa yote CCM tuwape maua yao.

NB: Kama kusingekuwa na CCM basi nchi ingekuwa kama Somali, Sudan, CAR etc. Je, kama Mtanzania unaonaje hili?

Nakala waione;

Mshana Jr
Erythrocyte
Huko kenya wakati wa KANU kulikuwa na wajinga wa aina yako. Leo hii KANU ni marehumu huko Kenya na Bado Kenya ina uchumi mzuri kuliko Tanzania. Ww inaonkena ni mzee, nyie ndio bado mnaamini kwenye ccm na propaganda zake.
 
Huko kenya wakati wa KANU kulikuwa na wajinga wa aina yako. Leo hii KANU ni marehumu huko Kenya na Bado Kenya ina uchumi mzuri kuliko Tanzania. Ww inaonkena ni mzee, nyie ndio bado mnaamini kwenye ccm na propaganda zake.
Kenya Ina struggle alot kwenye mgawanyiko wa nchi ....ie . tribalism
 
Mtaa upi,maana CCM ni chama Cha wazee, ndio maana kinategemea wizi wa kura kukaa madarakani kwa Shuruti.
Hapana mkuu hizo ni story za bavicha .....zipuuzie
 

Vyuma vya dunia kumshuhudia Mnyama akitumbuiza

Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana nitumie ile nyimbo ya CCM, acha waisome namba eeeh CCM mbele kwa mbele

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom