Umesahau kuweka namba za simu.Salaam Wana JF
Nilikuwa nasafiri kuelekea mkoa fulani hivi, kwakweli kama nchi tumejitahidi kufanya Maendeleo, kila baada ya umbali kadhaa unaona miradi ya Barabara inaendelea. Kuelekea nchi ya ahadi japo kuna watu wanaponda juhudi za serikali lazima tujue kuwa hata Roma haikujengwa kwa siku moja, development is a process.
Ukija kwenye suala la amani serikali chini ya mwamvuli wa CCM imejitahidi kujenga misingi ya undugu kwakuwa hakuna ukabila wala aina zozote za kubaguana. Kwa hili CCM wanahitaji pongezi kubwa japokuwa kuna changamoto kubwa kutoka kwa watu mbali mbali.
Tukubali tu kuwa vyama vya upinzani bado sana kupata ukomavu wa kuongoza nchi hii sababu wana siasa za vurugu, hakuna democracy with themselves + siasa za kugawa nchi. Yote kwa yote CCM tuwape maua yao.
NB: Kama kusingekuwa na CCM basi nchi ingekuwa kama Somali, Sudan, CAR etc. Je, kama Mtanzania unaonaje hili?
Nakala waione;
Mshana Jr
Erythrocyte
..Ukienda mtaani ndipo utaelewa jinsi CCM inavyopendwa
Hii ya mafisadi,magaidi na majizi ya kuraCCM ipi hiyo, hii ya wakwapuaji?
umetandaza ukweli kwa weledi mkubwa sana.Salaam Wana JF
Nilikuwa nasafiri kuelekea mkoa fulani hivi, kwakweli kama nchi tumejitahidi kufanya Maendeleo, kila baada ya umbali kadhaa unaona miradi ya Barabara inaendelea. Kuelekea nchi ya ahadi japo kuna watu wanaponda juhudi za serikali lazima tujue kuwa hata Roma haikujengwa kwa siku moja, development is a process.
Ukija kwenye suala la amani serikali chini ya mwamvuli wa CCM imejitahidi kujenga misingi ya undugu kwakuwa hakuna ukabila wala aina zozote za kubaguana. Kwa hili CCM wanahitaji pongezi kubwa japokuwa kuna changamoto kubwa kutoka kwa watu mbali mbali.
Tukubali tu kuwa vyama vya upinzani bado sana kupata ukomavu wa kuongoza nchi hii sababu wana siasa za vurugu, hakuna democracy with themselves + siasa za kugawa nchi. Yote kwa yote CCM tuwape maua yao.
NB: Kama kusingekuwa na CCM basi nchi ingekuwa kama Somali, Sudan, CAR etc. Je, kama Mtanzania unaonaje hili?
Nakala waione;
Mshana Jr
Erythrocyte
Una kichwa kikubwa lakini akili kama mbegu ya haradali ...... Tanzania ina watu 60m CCM ni genge la wezi wanao pokezana kuihujumu nchi yetu ..... nikuhakikishie tu kuna watu wwnye upeo mkubwa kuliko wana CCM ...Time will tellSalaam Wana JF
Nilikuwa nasafiri kuelekea mkoa fulani hivi, kwakweli kama nchi tumejitahidi kufanya Maendeleo, kila baada ya umbali kadhaa unaona miradi ya Barabara inaendelea. Kuelekea nchi ya ahadi japo kuna watu wanaponda juhudi za serikali lazima tujue kuwa hata Roma haikujengwa kwa siku moja, development is a process.
Ukija kwenye suala la amani serikali chini ya mwamvuli wa CCM imejitahidi kujenga misingi ya undugu kwakuwa hakuna ukabila wala aina zozote za kubaguana. Kwa hili CCM wanahitaji pongezi kubwa japokuwa kuna changamoto kubwa kutoka kwa watu mbali mbali.
Tukubali tu kuwa vyama vya upinzani bado sana kupata ukomavu wa kuongoza nchi hii sababu wana siasa za vurugu, hakuna democracy with themselves + siasa za kugawa nchi. Yote kwa yote CCM tuwape maua yao.
NB: Kama kusingekuwa na CCM basi nchi ingekuwa kama Somali, Sudan, CAR etc. Je, kama Mtanzania unaonaje hili?
Nakala waione;
Mshana Jr
Erythrocyte
Kusubiri logic toka CCM nisawa upo pale feri unasubiri basi la kwwnda unguja...... ogopa sana kundi la wajingaLikija jitu la cm likaandika logic hapa nitag mkuu, haya majitu kichwani hamna kitu
😂😂😂😂😂😂😂 daaah nimecheka sanaKusubiri logic toka CCM nisawa upo pale feri unasubiri basi la kwwnda unguja...... ogopa sana kundi la wajinga
Najua hauna elimu ya uzalendo...nipe address zako nianze kukufundisha mkuuUna kichwa kikubwa lakini akili kama mbegu ya haradali ...... Tanzania ina watu 60m CCM ni genge la wezi wanao pokezana kuihujumu nchi yetu ..... nikuhakikishie tu kuna watu wwnye upeo mkubwa kuliko wana CCM ...Time will tell
Mmmh mm sijakuelewa kabisa unachotaka kuongea......Salaam Wana JF
Nilikuwa nasafiri kuelekea mkoa fulani hivi, kwakweli kama nchi tumejitahidi kufanya Maendeleo, kila baada ya umbali kadhaa unaona miradi ya Barabara inaendelea. Kuelekea nchi ya ahadi japo kuna watu wanaponda juhudi za serikali lazima tujue kuwa hata Roma haikujengwa kwa siku moja, development is a process.
Ukija kwenye suala la amani serikali chini ya mwamvuli wa CCM imejitahidi kujenga misingi ya undugu kwakuwa hakuna ukabila wala aina zozote za kubaguana. Kwa hili CCM wanahitaji pongezi kubwa japokuwa kuna changamoto kubwa kutoka kwa watu mbali mbali.
Tukubali tu kuwa vyama vya upinzani bado sana kupata ukomavu wa kuongoza nchi hii sababu wana siasa za vurugu, hakuna democracy with themselves + siasa za kugawa nchi. Yote kwa yote CCM tuwape maua yao.
NB: Kama kusingekuwa na CCM basi nchi ingekuwa kama Somali, Sudan, CAR etc. Je, kama Mtanzania unaonaje hili?
Nakala waione;
Mshana Jr
Erythrocyte
Naomba nikulize kama kweli wew ni mzalendo .... ivi umesha wahi japo kusikiliza report za CAG? ....... japo kwa awamu moja tu kwenye hizi serikali z CCM tusiende mbali tuanzie kwa JK, JPM, SSH , alafu uje hapa uniambie nikisema serikali inafuga wezi uta kataaa?Vijana mmekuwa Brainwashed na ubeberu