Bila ya CCM, Tanzania ingepoteana

Bila ya CCM, Tanzania ingepoteana

Salaam Wana JF

Nilikuwa nasafiri kuelekea mkoa fulani hivi, kwakweli kama nchi tumejitahidi kufanya Maendeleo, kila baada ya umbali kadhaa unaona miradi ya Barabara inaendelea. Kuelekea nchi ya ahadi japo kuna watu wanaponda juhudi za serikali lazima tujue kuwa hata Roma haikujengwa kwa siku moja, development is a process.

Ukija kwenye suala la amani serikali chini ya mwamvuli wa CCM imejitahidi kujenga misingi ya undugu kwakuwa hakuna ukabila wala aina zozote za kubaguana. Kwa hili CCM wanahitaji pongezi kubwa japokuwa kuna changamoto kubwa kutoka kwa watu mbali mbali.

Tukubali tu kuwa vyama vya upinzani bado sana kupata ukomavu wa kuongoza nchi hii sababu wana siasa za vurugu, hakuna democracy with themselves + siasa za kugawa nchi. Yote kwa yote CCM tuwape maua yao.

NB: Kama kusingekuwa na CCM basi nchi ingekuwa kama Somali, Sudan, CAR etc. Je, kama Mtanzania unaonaje hili?

Nakala waione;

Mshana Jr
Erythrocyte
Umesahau kuweka namba za simu.
 
Ukienda mtaani ndipo utaelewa jinsi CCM inavyopendwa
..
JamiiForums1389173211.jpg
 
Salaam Wana JF

Nilikuwa nasafiri kuelekea mkoa fulani hivi, kwakweli kama nchi tumejitahidi kufanya Maendeleo, kila baada ya umbali kadhaa unaona miradi ya Barabara inaendelea. Kuelekea nchi ya ahadi japo kuna watu wanaponda juhudi za serikali lazima tujue kuwa hata Roma haikujengwa kwa siku moja, development is a process.

Ukija kwenye suala la amani serikali chini ya mwamvuli wa CCM imejitahidi kujenga misingi ya undugu kwakuwa hakuna ukabila wala aina zozote za kubaguana. Kwa hili CCM wanahitaji pongezi kubwa japokuwa kuna changamoto kubwa kutoka kwa watu mbali mbali.

Tukubali tu kuwa vyama vya upinzani bado sana kupata ukomavu wa kuongoza nchi hii sababu wana siasa za vurugu, hakuna democracy with themselves + siasa za kugawa nchi. Yote kwa yote CCM tuwape maua yao.

NB: Kama kusingekuwa na CCM basi nchi ingekuwa kama Somali, Sudan, CAR etc. Je, kama Mtanzania unaonaje hili?

Nakala waione;

Mshana Jr
Erythrocyte
umetandaza ukweli kwa weledi mkubwa sana.
na ukweli huu unatia hasira sana kwa watu na viatu wasiopenda ukweli
 
Salaam Wana JF

Nilikuwa nasafiri kuelekea mkoa fulani hivi, kwakweli kama nchi tumejitahidi kufanya Maendeleo, kila baada ya umbali kadhaa unaona miradi ya Barabara inaendelea. Kuelekea nchi ya ahadi japo kuna watu wanaponda juhudi za serikali lazima tujue kuwa hata Roma haikujengwa kwa siku moja, development is a process.

Ukija kwenye suala la amani serikali chini ya mwamvuli wa CCM imejitahidi kujenga misingi ya undugu kwakuwa hakuna ukabila wala aina zozote za kubaguana. Kwa hili CCM wanahitaji pongezi kubwa japokuwa kuna changamoto kubwa kutoka kwa watu mbali mbali.

Tukubali tu kuwa vyama vya upinzani bado sana kupata ukomavu wa kuongoza nchi hii sababu wana siasa za vurugu, hakuna democracy with themselves + siasa za kugawa nchi. Yote kwa yote CCM tuwape maua yao.

NB: Kama kusingekuwa na CCM basi nchi ingekuwa kama Somali, Sudan, CAR etc. Je, kama Mtanzania unaonaje hili?

Nakala waione;

Mshana Jr
Erythrocyte
Una kichwa kikubwa lakini akili kama mbegu ya haradali ...... Tanzania ina watu 60m CCM ni genge la wezi wanao pokezana kuihujumu nchi yetu ..... nikuhakikishie tu kuna watu wwnye upeo mkubwa kuliko wana CCM ...Time will tell
 
Una kichwa kikubwa lakini akili kama mbegu ya haradali ...... Tanzania ina watu 60m CCM ni genge la wezi wanao pokezana kuihujumu nchi yetu ..... nikuhakikishie tu kuna watu wwnye upeo mkubwa kuliko wana CCM ...Time will tell
Najua hauna elimu ya uzalendo...nipe address zako nianze kukufundisha mkuu
 
Salaam Wana JF

Nilikuwa nasafiri kuelekea mkoa fulani hivi, kwakweli kama nchi tumejitahidi kufanya Maendeleo, kila baada ya umbali kadhaa unaona miradi ya Barabara inaendelea. Kuelekea nchi ya ahadi japo kuna watu wanaponda juhudi za serikali lazima tujue kuwa hata Roma haikujengwa kwa siku moja, development is a process.

Ukija kwenye suala la amani serikali chini ya mwamvuli wa CCM imejitahidi kujenga misingi ya undugu kwakuwa hakuna ukabila wala aina zozote za kubaguana. Kwa hili CCM wanahitaji pongezi kubwa japokuwa kuna changamoto kubwa kutoka kwa watu mbali mbali.

Tukubali tu kuwa vyama vya upinzani bado sana kupata ukomavu wa kuongoza nchi hii sababu wana siasa za vurugu, hakuna democracy with themselves + siasa za kugawa nchi. Yote kwa yote CCM tuwape maua yao.

NB: Kama kusingekuwa na CCM basi nchi ingekuwa kama Somali, Sudan, CAR etc. Je, kama Mtanzania unaonaje hili?

Nakala waione;

Mshana Jr
Erythrocyte
Mmmh mm sijakuelewa kabisa unachotaka kuongea......

Ukizungumzia miundombinu hio ni hela ya Kodi ya watz.....Unapokuja kusema kuwa bila wao nchi haiwezi jiongoza unajikosea Sana KILA kitu kinawezekana ukitimiza wajibu wako.....

Nchi bado haisogei bablai....mfano mradi wa SGR na bwawa la Nyerere ukiangalia zengwe linalochezwa hapo huelewi elewi .....

Ukileta mada huku JF siku nyingine hakikisha umefanya utafiti Yakinifu zaidi ya mara Moja....
 
Vijana mmekuwa Brainwashed na ubeberu
Naomba nikulize kama kweli wew ni mzalendo .... ivi umesha wahi japo kusikiliza report za CAG? ....... japo kwa awamu moja tu kwenye hizi serikali z CCM tusiende mbali tuanzie kwa JK, JPM, SSH , alafu uje hapa uniambie nikisema serikali inafuga wezi uta kataaa?
 
Back
Top Bottom