Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 361,078
- 831,704
Kwani tumeishiwa hadi tunakili kwa jirani?Lakini isitufanye tushindwe ku copy njia walizotumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani tumeishiwa hadi tunakili kwa jirani?Lakini isitufanye tushindwe ku copy njia walizotumia
Wallah nitaitafuta mpaka niipate nikutumieMshana nitumie ile nyimbo ya CCM, acha waisome namba eeeh CCM mbele kwa mbele
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Wizi wa kura tunaona kwa macho yetu, sio story za kuhadithiwa.Hapana mkuu hizo ni story za bavicha .....zipuuzie
Ujue kuna misukule ya CCM nchi nzima iwe wanajitambua au la wapo!Salaam Wana JF
Nilikuwa nasafiri kuelekea mkoa fulani hivi, kwakweli kama nchi tumejitahidi kufanya Maendeleo, kila baada ya umbali kadhaa unaona miradi ya Barabara inaendelea. Kuelekea nchi ya ahadi japo kuna watu wanaponda juhudi za serikali lazima tujue kuwa hata Roma haikujengwa kwa siku moja, development is a process.
Ukija kwenye suala la amani serikali chini ya mwamvuli wa CCM imejitahidi kujenga misingi ya undugu kwakuwa hakuna ukabila wala aina zozote za kubaguana. Kwa hili CCM wanahitaji pongezi kubwa japokuwa kuna changamoto kubwa kutoka kwa watu mbali mbali.
Tukubali tu kuwa vyama vya upinzani bado sana kupata ukomavu wa kuongoza nchi hii sababu wana siasa za vurugu, hakuna democracy with themselves + siasa za kugawa nchi. Yote kwa yote CCM tuwape maua yao.
NB: Kama kusingekuwa na CCM basi nchi ingekuwa kama Somali, Sudan, CAR etc. Je, kama Mtanzania unaonaje hili?
Nakala waione;
Mshana Jr
Erythrocyte
Nani kakuambia tz kuna amaniHii ni reality ..... that's y unavuta oxygen kwenye nchi ya amani
Kuongoza nchi sio mchezoWaendelee kuchukua course
Usisahau kumkumbusha kuwa bila CCM huenda angelikuwa na akili kuliko anazomiliki sasa.Kwanza fahamu CCM sio Algorithm ya kuendesha Nchi, bali ni kikundi cha watu wenye kutaka uongozi. Tanzania ina idadi ya watu wengi sana ambao wanaweza kuongoza nchi vizuri kuliko hata hao CCM endapo wakipewa nafasi
Nchi kama Zambia na nyinginezo za kusini mwa Afrika zimeendelea vizuri tu bila vyama vyao vilivyosaidia kupata uhuru...wewe kwa akili zako zote inahisi Tanzania ya watu milioni 60, viongozi wazuri wapo CCM tu? Semq tu ni kwamba manaiba kura na kufinya demokrasia, bila hivyo CCM ingekuwa ishatoka madarakani kitambo