bila simu yangu...

bila simu yangu...

Joeli

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2011
Posts
4,941
Reaction score
3,416
siwezi kujua:
1. saa hizi ni saa ngapi..
2. leo ni tarehe ngapi..
3. namba hata moja ya simu
4. njia iko wapi umeme unapokatika ghafla
5. majibu ya haraka haraka kwenye quiz na assignments,

kiufupi simu yangu ni kama mkono wangu wa ziada...

ongezea hapo vitu gani bila simu yako ingekuwa ni miujiza kufanyika
 
siwezi kujua:
1. saa hizi ni saa ngapi..
2. leo ni tarehe ngapi..
3. namba hata moja ya simu
4. njia iko wapi umeme unapokatika ghafla
5. majibu ya haraka haraka kwenye quiz na assignments,

kiufupi simu yangu ni kama mkono wangu wa ziada...

ongezea hapo vitu gani bila simu yako ingekuwa ni miujiza kufanyika
kuamka na kukumbuka appointments..... maana ina-save pia kama alarm
 
Kujua weather..
kucheki porn
kuhonga madem via tigo or mpesa
 
siwezi fanya appointment na wangu,
siwezi wasiliana na watoto wangu,
siwezi msalimia mama yangu,
siwezi wasiliana na vijana wangu wa shamba,
siwezi weka oda ya vifaranga,
siwezi hata kutumiwa hesabu za bodaboda, daaah
 
siwezi kukokotoa hesabu

soli zingeisha nikimtafuta mtu...
 
bila simu yangu maisha ni magumu economically....
via mpesa and tigo pesa!!!!
 
siwezi kujua:
1. saa hizi ni saa ngapi..
2. leo ni tarehe ngapi..
3. namba hata moja ya simu
4. njia iko wapi umeme unapokatika ghafla
5. majibu ya haraka haraka kwenye quiz na assignments,

kiufupi simu yangu ni kama mkono wangu wa ziada...

ongezea hapo vitu gani bila simu yako ingekuwa ni miujiza kufanyika


1 . siwez Kuingia Facebook! fb Ya Kwenye Pc Naona Ipo Compicated Mno!

2. ntachelewa Vpnd... maana Ni Alarm Yangu

3. ntasahau Ivents Muhimu.. Maana its My Reminder

4. Whatsaap na Viber Ntakosekana

5. ntafulia maana Pesa Natumiwa Ku2mia Huduma Za Kifedha Za Carier tofaut tofaut
 
my phone is bridge towards my prosperity.
 
siwezi kumbuka b.day za warembo
siwezi onyesha ujanja (google/ wiki)
sitaweza kucheza angry birds
sina mziki
 
siwezi kujua:
1. saa hizi ni saa ngapi..
2. leo ni tarehe ngapi..
3. namba hata moja ya simu
4. njia iko wapi umeme unapokatika ghafla
5. majibu ya haraka haraka kwenye quiz na assignments,

kiufupi simu yangu ni kama mkono wangu wa ziada...

ongezea hapo vitu gani bila simu yako ingekuwa ni miujiza kufanyika

Dah, mie na simu sijui nisemeje make simu ni kila kitu kwangu. Hata sikumbuki ni lini simu yangu ilionesha "battery low" sitaki kabisa kuwa nje ya mtandao hata kwa dakika moja. Kama hakuna mtandao huwa nasikia kufa, zikibaki bar 2 tu nacharge tena.

I love my simu......... hata kuliko ninavyomlavu my hezbend lolest :heh:
 
yani mimi nilivyo mzembe ningekuwa namiss test, presenteshen, na madili ya town
 
Back
Top Bottom