Nyie ndo hamkumuelewa huyo mdada! Yeye anataka kuchukuliwa na nyinyi nyote bila nyie kuwa na kinyongo sasa the best way ni kuwa'challenge'-Si anajua wanaume type nyingi ukiwatukania hayo mambo wako radhi wafe trying to reclaim their ego
2 M kwa 'K' moja? ina nini hiyo 'K', inapiga taarabu? ina fukiza uthuri au inapoza na kupasha moto kama AC? ina meno?
Mpango mzima wa kumkomoa, yeye si aliwaona wanaume wa pale washenzi!
sasa mpaka hapo atakuwa amejifunza kwamba 'shughuli' ni watu, na haitegemei hao watu wana hadhi gani mbele yako, wanauwezo wa kukufanya chochote bila hata wewe kutegemea kuwa ingewezekana.
2 M kwa 'K' moja? ina nini hiyo 'K', inapiga taarabu? ina fukiza uthuri au inapoza na kupasha moto kama AC? ina meno?
labda kuna memory card, bluetooth na infered2 m kwa 'k' moja? Ina nini hiyo 'k', inapiga taarabu? Ina fukiza uthuri au inapoza na kupasha moto kama ac? Ina meno?
2 M kwa 'K' moja? ina
nini hiyo 'K', inapiga taarabu? ina fukiza uthuri au inapoza na kupasha
moto kama AC? ina meno?