ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Hii maneno imetamkwa na dada mmoja wa kihaya aliyeajiriwa karibuni
ktk ofisi ya serikali, wilaya moja mkoani Manyara. Ajabu kayatamka
haya maneno mbele ya wanaume watumishi wenzake wakati akipata
chai kwenye mgahawa mmoja. Vidume wakataka kujua jeuri ya
hii maneno inatoka wapi haswa ukizingatia kuwa mshara wake
ni TGS D-watumishi wa umma mnaweza mkajua hako ka-salary
kalikompa hiyo jeuri.
Hadi sasa, list kama ya watumishi 6 (wa idara ya uhasibu) tayari
wameshampanda. Uzuri ni kwamba kauli sasa imegeuka na
kuwa 'aaaggrr wanaume wa hapa wote ni washenzi tu'.
Kwa mshahara wa TGS D, wengi tulikuwa tukijiuliza 'tuone ataishije' mjini
hasa kutokana na jeuri yake aloionyesha kwa wanaume.
Ujanja waloutumia wanaume walompanda, ni kuchelewesha malipo
ya madai yake kila alipoyaleta na kuhakikisha muda wote haendi safari
za nje kikazi kwa muda kama wa miezi 6. Alipokuwa akilalamika njaa,
ndipo wakware walipotuma maombi na kukubaliwa kiurahisi. Mbaya
zaidi kila mwanaume alipokuwa akienda 'kumla uroda' alihakikisha anawaambia
wanaume wenzake waje kwenye Guest husika ili wakati wanatoka
hao washikaji wawashuhudie.
My take:Kina dada warembo, chungeni sana kauli za kujisifia mbele za wanaume
Wanaume wana njia nyingi sana za kuweza kukupotezea heshima mbele
ya jamii.
ktk ofisi ya serikali, wilaya moja mkoani Manyara. Ajabu kayatamka
haya maneno mbele ya wanaume watumishi wenzake wakati akipata
chai kwenye mgahawa mmoja. Vidume wakataka kujua jeuri ya
hii maneno inatoka wapi haswa ukizingatia kuwa mshara wake
ni TGS D-watumishi wa umma mnaweza mkajua hako ka-salary
kalikompa hiyo jeuri.
Hadi sasa, list kama ya watumishi 6 (wa idara ya uhasibu) tayari
wameshampanda. Uzuri ni kwamba kauli sasa imegeuka na
kuwa 'aaaggrr wanaume wa hapa wote ni washenzi tu'.
Kwa mshahara wa TGS D, wengi tulikuwa tukijiuliza 'tuone ataishije' mjini
hasa kutokana na jeuri yake aloionyesha kwa wanaume.
Ujanja waloutumia wanaume walompanda, ni kuchelewesha malipo
ya madai yake kila alipoyaleta na kuhakikisha muda wote haendi safari
za nje kikazi kwa muda kama wa miezi 6. Alipokuwa akilalamika njaa,
ndipo wakware walipotuma maombi na kukubaliwa kiurahisi. Mbaya
zaidi kila mwanaume alipokuwa akienda 'kumla uroda' alihakikisha anawaambia
wanaume wenzake waje kwenye Guest husika ili wakati wanatoka
hao washikaji wawashuhudie.
My take:Kina dada warembo, chungeni sana kauli za kujisifia mbele za wanaume
Wanaume wana njia nyingi sana za kuweza kukupotezea heshima mbele
ya jamii.