Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,796
- 32,148
Wadada mnaenda gym kudanga na sio kufanya mazoezi kule mnaenda kudanga kutafuta watu muwachune hela za pango
Kipindi cha gym kujaa ni mwezi wa sita na mwezi wa kumi na mbili ndio gym inakuwa na wateja wengi wakike kama uongo mbona ukimpata dango unaacha kufanya mazoezi?
Na mkiacha mbona unabadilisha sehemu ya mazoezi?
Ruksa kujitetea na kutoa povu
Kipindi cha gym kujaa ni mwezi wa sita na mwezi wa kumi na mbili ndio gym inakuwa na wateja wengi wakike kama uongo mbona ukimpata dango unaacha kufanya mazoezi?
Na mkiacha mbona unabadilisha sehemu ya mazoezi?
Ruksa kujitetea na kutoa povu