seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,654
Ni vyema kesi ya Mbowe ikafutwa, Kuna mambo ya ulinzi mazito na siri yanaongelewa mahakamani ambayo wengi hatukufahamu
Ushahidi unaonyesha maisha ya Askari wetu na haki zao zilivyo, Mambo ya dhuluma, Mateso na Sera za kustaafu au kufukuzwa kwa haki au kutokufuata haki zinatufikia hata mangumbalu kama sisi tusiojua kusoma
Unaweza ona jambo dogo, Lakini kwa upande wa pili linaharibu morali kwa wale Askari waliopo eneo la mapambano,
Wakianza kusikiliza kesi kamili kwa staili hii na maneno yanayozunguka kuwa mashahidi wengi wa utetezi watakuwa Askari wa kulinda mipaka na Amani Itakuwa aibu sana
Tulizoea siri za ulinzi zinabaki kwenye vyombo vyao husika vya kimamlaka na sio kutuhabarishi kila kitu sisi tusiojua kusoma kwenye vijiwe vya kahawa
Bila kesi hii kufutwa, Kuna majina yanatajwa sana sana hadi sisi mangumbalu tunahisi ndio wale wasiojulikana na sasa wanajulikana, Kuna Polisi wanahusishwa na utesaji mikoa tofauti na kauli za kupotezana
Siku yaja wale waliopotelewa na ndugu enzi zile za giza kuja kuwadai Polisi hawa ndugu Zao
Tunaishukuru Mahakama kwa kuweka siri ya mambo ambayo tusingeyajua Pengine mpaka tunaondoka
Wengi hii kesi ndio habari kuu, Details nyingi mimi binafsi sikufahamu, Sikufahamu kabisa kuwa kuna shida ya Brain mapema pale ndugu yako atokapo Kongo, Sudani au Somalia, Nimeyasikia kwenye kesi hii, Ingawa Marekani niliyasikia lakini kwa muundo tofauti na wa kwetu Mahakamani
Ushahidi unaonyesha maisha ya Askari wetu na haki zao zilivyo, Mambo ya dhuluma, Mateso na Sera za kustaafu au kufukuzwa kwa haki au kutokufuata haki zinatufikia hata mangumbalu kama sisi tusiojua kusoma
Unaweza ona jambo dogo, Lakini kwa upande wa pili linaharibu morali kwa wale Askari waliopo eneo la mapambano,
Wakianza kusikiliza kesi kamili kwa staili hii na maneno yanayozunguka kuwa mashahidi wengi wa utetezi watakuwa Askari wa kulinda mipaka na Amani Itakuwa aibu sana
Tulizoea siri za ulinzi zinabaki kwenye vyombo vyao husika vya kimamlaka na sio kutuhabarishi kila kitu sisi tusiojua kusoma kwenye vijiwe vya kahawa
Bila kesi hii kufutwa, Kuna majina yanatajwa sana sana hadi sisi mangumbalu tunahisi ndio wale wasiojulikana na sasa wanajulikana, Kuna Polisi wanahusishwa na utesaji mikoa tofauti na kauli za kupotezana
Siku yaja wale waliopotelewa na ndugu enzi zile za giza kuja kuwadai Polisi hawa ndugu Zao
Tunaishukuru Mahakama kwa kuweka siri ya mambo ambayo tusingeyajua Pengine mpaka tunaondoka
Wengi hii kesi ndio habari kuu, Details nyingi mimi binafsi sikufahamu, Sikufahamu kabisa kuwa kuna shida ya Brain mapema pale ndugu yako atokapo Kongo, Sudani au Somalia, Nimeyasikia kwenye kesi hii, Ingawa Marekani niliyasikia lakini kwa muundo tofauti na wa kwetu Mahakamani