Isifutwe ili nasi tuzijue hizo siri za SERIKALINi vyema kesi ya Mbowe ikafutwa, Kuna mambo ya ulinzi mazito na siri yanaongelewa mahakamani ambayo wengi hatukufahamu
Ushahidi unaonyesha maisha ya Askari wetu na haki zao zilivyo, Mambo ya dhuluma, Mateso na Sera za kustaafu au kufukuzwa kwa haki au kutokufuata haki zinatufikia hata mangumbalu kama sisi tusiojua kusoma
Unaweza ona jambo dogo, Lakini kwa upande wa pili linaharibu morali kwa wale Askari waliopo eneo la mapambano,
Wakianza kusikiliza kesi kamili kwa staili hii na maneno yanayozunguka kuwa mashahidi wengi wa utetezi watakuwa Askari wa kulinda mipaka na Amani Itakuwa aibu sana
Tulizoea siri za ulinzi zinabaki kwenye vyombo vyao husika vya kimamlaka na sio kutuhabarishi kila kitu sisi tusiojua kusoma kwenye vijiwe vya kahawa
Bila kesi hii kufutwa, Kuna majina yanatajwa sana sana hadi sisi mangumbalu tunahisi ndio wale wasiojulikana na sasa wanajulikana, Kuna Polisi wanahusishwa na utesaji mikoa tofauti na kauli za kupotezana
Siku yaja wale waliopotelewa na ndugu enzi zile za giza kuja kuwadai Polisi hawa ndugu Zao
Tunaishukuru Mahakama kwa kuweka siri ya mambo ambayo tusingeyajua Pengine mpaka tunaondoka
Wengi hii kesi ndio habari kuu, Details nyingi mimi binafsi sikufahamu, Sikufahamu kabisa kuwa kuna shida ya Brain mapema pale ndugu yako atokapo Kongo, Sudani au Somalia, Nimeyasikia kwenye kesi hii, Ingawa Marekani niliyasikia lakini kwa muundo tofauti na wa kwetu Mahakamani
Kuna mambo mengi sana yanaendelea kwenye kesi hiiIpo siku akina Mahita,Kingai na genge lao watafungwa jela maana Wana jinai nyingi .Nimesema hivo na itatokea kweli waache wafurahi lakini kwa utawala ujao watakua na Hali ngumu sana .
Sent using Jamii Forums mobile app
Isifutwe ili nasi tuzijue hizo siri za SERIKALI na magaidi kwa ujumla wakeBila kesi hii kufutwa, kuna majina yanatajwa sana sana hadi sisi mangumbalu tunahisi ndio wale wasiojulikana na sasa wanajulikana, Kuna Polisi wanahusishwa na utesaji mikoa tofauti na kauli za kupotezana
Hawa jamaa wanatumia mitandao ya kijamii kuishinikiza mahakama itende watakavyo,wanajua Makengeza hachomoki huu msalaHiyo si ndiyo vizuri, ambavyo miaka yote mnataka wasiojulikana wajulikane! Kwahiyo kesi ya Mbowe isifutwe ili kila kitu kijulikane.
Acha kesi uendelee haki itendeke,fahamu kupata haki stahiki ina gharama zake,usihofu kuhusu gharamaMengi mazuri yaliyofanywa na utawaule uliopita yanawezwa kufunikwa na kutupwa mbali na mabaya machache yaliotokea.
Mfano kesi hii, vile ilivyoandaliwa tokea kipindi hiko mpaka leo gharama zilizotumika na zinazoendelea kutumika hali haina faida yoyote.
kwa ufupi ni kesi ya kisiasa na faida ilikua ni kwa walioiandaa na kwa sasa hawapo tena sijui hawa waliopo leo wanafaidika na nini au watafaidika na nini wanapoendelea kuing'ang'ania.
Ngoja tuone mwishowe. Sisi wananchi hatutakosa la kujifunza.
Acha watajane. Kama alivyosema Pythagoras hapo juu, acha mvua inyeshe tuone panapovuja.Bila kesi hii kufutwa, kuna majina yanatajwa sana sana hadi sisi mangumbalu tunahisi ndio wale wasiojulikana na sasa wanajulikana, Kuna Polisi wanahusishwa na utesaji mikoa tofauti na kauli za kupotezana
Jambo la dhahiri kabisa ni kuwa JESHI limebaki uchi. Madhila ya vijana kupata matatatizo ya akili baada ya opereesheni na kisha kutelekezwa yanatafakarisha sana. Anyway ngoja tuoneWacha inyeshe tuone panapovuja
"Kuficha siri kiusalama"? Ndio kitu gani hicho?Umeshaambiwa ili kuficha siri kiusalama
Acha mchwa waotoke tuone mbayuwayu wanavyochekelea!!!!!Ni vyema kesi ya Mbowe ikafutwa, Kuna mambo ya ulinzi mazito na siri yanaongelewa mahakamani ambayo wengi hatukufahamu
Ushahidi unaonyesha maisha ya Askari wetu na haki zao zilivyo, Mambo ya dhuluma, Mateso na Sera za kustaafu au kufukuzwa kwa haki au kutokufuata haki zinatufikia hata mangumbalu kama sisi tusiojua kusoma
Unaweza ona jambo dogo, Lakini kwa upande wa pili linaharibu morali kwa wale Askari waliopo eneo la mapambano,
Wakianza kusikiliza kesi kamili kwa staili hii na maneno yanayozunguka kuwa mashahidi wengi wa utetezi watakuwa Askari wa kulinda mipaka na Amani Itakuwa aibu sana
Tulizoea siri za ulinzi zinabaki kwenye vyombo vyao husika vya kimamlaka na sio kutuhabarishi kila kitu sisi tusiojua kusoma kwenye vijiwe vya kahawa
Bila kesi hii kufutwa, Kuna majina yanatajwa sana sana hadi sisi mangumbalu tunahisi ndio wale wasiojulikana na sasa wanajulikana, Kuna Polisi wanahusishwa na utesaji mikoa tofauti na kauli za kupotezana
Siku yaja wale waliopotelewa na ndugu enzi zile za giza kuja kuwadai Polisi hawa ndugu Zao
Tunaishukuru Mahakama kwa kuweka siri ya mambo ambayo tusingeyajua Pengine mpaka tunaondoka
Wengi hii kesi ndio habari kuu, Details nyingi mimi binafsi sikufahamu, Sikufahamu kabisa kuwa kuna shida ya Brain mapema pale ndugu yako atokapo Kongo, Sudani au Somalia, Nimeyasikia kwenye kesi hii, Ingawa Marekani niliyasikia lakini kwa muundo tofauti na wa kwetu Mahakamani
Wacha upepo uvume tuzione nyeti za kukuWacha inyeshe tuone panapovuja
Mungu akitaka kuangusha utawala uwa anawaondolea kwanza akili na busara,mnashangaa nini?Ni vyema kesi ya Mbowe ikafutwa, Kuna mambo ya ulinzi mazito na siri yanaongelewa mahakamani ambayo wengi hatukufahamu
Ushahidi unaonyesha maisha ya Askari wetu na haki zao zilivyo, Mambo ya dhuluma, Mateso na Sera za kustaafu au kufukuzwa kwa haki au kutokufuata haki zinatufikia hata mangumbalu kama sisi tusiojua kusoma
Unaweza ona jambo dogo, Lakini kwa upande wa pili linaharibu morali kwa wale Askari waliopo eneo la mapambano,
Wakianza kusikiliza kesi kamili kwa staili hii na maneno yanayozunguka kuwa mashahidi wengi wa utetezi watakuwa Askari wa kulinda mipaka na Amani Itakuwa aibu sana
Tulizoea siri za ulinzi zinabaki kwenye vyombo vyao husika vya kimamlaka na sio kutuhabarishi kila kitu sisi tusiojua kusoma kwenye vijiwe vya kahawa
Bila kesi hii kufutwa, Kuna majina yanatajwa sana sana hadi sisi mangumbalu tunahisi ndio wale wasiojulikana na sasa wanajulikana, Kuna Polisi wanahusishwa na utesaji mikoa tofauti na kauli za kupotezana
Siku yaja wale waliopotelewa na ndugu enzi zile za giza kuja kuwadai Polisi hawa ndugu Zao
Tunaishukuru Mahakama kwa kuweka siri ya mambo ambayo tusingeyajua Pengine mpaka tunaondoka
Wengi hii kesi ndio habari kuu, Details nyingi mimi binafsi sikufahamu, Sikufahamu kabisa kuwa kuna shida ya Brain mapema pale ndugu yako atokapo Kongo, Sudani au Somalia, Nimeyasikia kwenye kesi hii, Ingawa Marekani niliyasikia lakini kwa muundo tofauti na wa kwetu Mahakamani
Kuna msemo kwamba 'If you you leave your children in mud you can't complain that they are playing with mud."Ni vyema kesi ya Mbowe ikafutwa, Kuna mambo ya ulinzi mazito na siri yanaongelewa mahakamani ambayo wengi hatukufahamu
Ushahidi unaonyesha maisha ya Askari wetu na haki zao zilivyo, Mambo ya dhuluma, Mateso na Sera za kustaafu au kufukuzwa kwa haki au kutokufuata haki zinatufikia hata mangumbalu kama sisi tusiojua kusoma
Unaweza ona jambo dogo, Lakini kwa upande wa pili linaharibu morali kwa wale Askari waliopo eneo la mapambano,
Wakianza kusikiliza kesi kamili kwa staili hii na maneno yanayozunguka kuwa mashahidi wengi wa utetezi watakuwa Askari wa kulinda mipaka na Amani Itakuwa aibu sana
Tulizoea siri za ulinzi zinabaki kwenye vyombo vyao husika vya kimamlaka na sio kutuhabarishi kila kitu sisi tusiojua kusoma kwenye vijiwe vya kahawa
Bila kesi hii kufutwa, Kuna majina yanatajwa sana sana hadi sisi mangumbalu tunahisi ndio wale wasiojulikana na sasa wanajulikana, Kuna Polisi wanahusishwa na utesaji mikoa tofauti na kauli za kupotezana
Siku yaja wale waliopotelewa na ndugu enzi zile za giza kuja kuwadai Polisi hawa ndugu Zao
Tunaishukuru Mahakama kwa kuweka siri ya mambo ambayo tusingeyajua Pengine mpaka tunaondoka
Wengi hii kesi ndio habari kuu, Details nyingi mimi binafsi sikufahamu, Sikufahamu kabisa kuwa kuna shida ya Brain mapema pale ndugu yako atokapo Kongo, Sudani au Somalia, Nimeyasikia kwenye kesi hii, Ingawa Marekani niliyasikia lakini kwa muundo tofauti na wa kwetu Mahakamani
Acha iendelee kunyesha ili tuone panapovujaNi vyema kesi ya Mbowe ikafutwa, Kuna mambo ya ulinzi mazito na siri yanaongelewa mahakamani ambayo wengi hatukufahamu
Ushahidi unaonyesha maisha ya Askari wetu na haki zao zilivyo, Mambo ya dhuluma, Mateso na Sera za kustaafu au kufukuzwa kwa haki au kutokufuata haki zinatufikia hata mangumbalu kama sisi tusiojua kusoma
Unaweza ona jambo dogo, Lakini kwa upande wa pili linaharibu morali kwa wale Askari waliopo eneo la mapambano,
Wakianza kusikiliza kesi kamili kwa staili hii na maneno yanayozunguka kuwa mashahidi wengi wa utetezi watakuwa Askari wa kulinda mipaka na Amani Itakuwa aibu sana
Tulizoea siri za ulinzi zinabaki kwenye vyombo vyao husika vya kimamlaka na sio kutuhabarishi kila kitu sisi tusiojua kusoma kwenye vijiwe vya kahawa
Bila kesi hii kufutwa, Kuna majina yanatajwa sana sana hadi sisi mangumbalu tunahisi ndio wale wasiojulikana na sasa wanajulikana, Kuna Polisi wanahusishwa na utesaji mikoa tofauti na kauli za kupotezana
Siku yaja wale waliopotelewa na ndugu enzi zile za giza kuja kuwadai Polisi hawa ndugu Zao
Tunaishukuru Mahakama kwa kuweka siri ya mambo ambayo tusingeyajua Pengine mpaka tunaondoka
Wengi hii kesi ndio habari kuu, Details nyingi mimi binafsi sikufahamu, Sikufahamu kabisa kuwa kuna shida ya Brain mapema pale ndugu yako atokapo Kongo, Sudani au Somalia, Nimeyasikia kwenye kesi hii, Ingawa Marekani niliyasikia lakini kwa muundo tofauti na wa kwetu Mahakamani
siri za kijinga namna hii , siri za watesaji na wauaji unamfichia nani na kwa faida ipi ?Umeshaambiwa ili kuficha siri kiusalama
Huyu picha yake inapaswa kuanikwa kila mahaliAfande Good luck