Ikishakupata Corona utaleta ushuhuda, sisi wengine tuna ndugu ilishawapata tuliona mateso yao walivyokuwa wanapumua kwa tabu kwa kutumia oxgenHakuna lolote hao ntu za dill basi wanataka kupiga za IMF bas maana tusidaganyane km corona yupo tungemuona ntaani km kipindu pindu inavyokuaga.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Lile dude nasikia bado lipo ukiwa unatoka Mwaisela kuelekea JKCI, limepigwa na branding inaitwa bupiji sauna ila hamna anayelitumia ni kama limetelekezwa🤣Kwani lile dude la kujifukiza walisha liondowa? Wataalamu wetu wanaumbishwa sana na siasa, sijui kwa nini?
Ila tuwaombe waondoe hiyo "sauna bath" ya kujifukiza enzi hizo. Inaleta taswira mbaya kwenye taasisi yenye heshima kama Muhimbili.Kwa hakika serikali ya awamu ya sita imedhamiria kwa vitendo kutuvusha salama. Wimbi la tatu si la kufanyia mzaha hata kidogo.
Kongole kwenu serikali ya mama Samia.
Bila barakoa huingii Muhimbili
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospitali hiyo au kutoa huduma bila kuvaa barakoa na mgonjwa...www.mwananchi.co.tz
Bila Barakoa kuanzia leo haingii mtu Muhimbili. Hili ni la kheri sana kwani kinga ni bora zaidi kuliko tiba.
Hii ni habari njema kabisa. Wigo na uongezwe sasa, kufika kote kuliko na mazingira hatarishi yaani kuliko na mikusanyiko mikubwa ya watu.
Kwenye usafiri wa umma, masokoni nk kusiachwe bila usimamizi.
Inapobidi kutumia kiwango fulani cha nguvu kama hivi kwa wasiotaka kuelewa kwa hakika ni sawa kabisa.
Pole pole, kwa pamoja mbona tutavuka tu?
kwani wangeandika ni homa ya manjano angefufuka?Ila wewe..dah.
Wameandika cause ni covid...dah...ila kiukweli its very painful
Kwani lile dude la kujifukiza walisha liondowa? Wataalamu wetu wanaumbishwa sana na siasa, sijui kwa nini?
Ila tuwaombe waondoe hiyo "sauna bath" ya kujifukiza enzi hizo. Inaleta taswira mbaya kwenye taasisi yenye heshima kama Muhimbili.
Wapuuzi hao walioandika chanzo cha kifo ni kovid kumi na tisaBila shaka ndiyo sababu mabeberu wakaona hata kama sasa hivi ni kiongozi wa malaika, wasiache legacy yake kuitendea haki hapa duniani:
KakaJ uliagiza kontena la barakoa nini? Sio kwa uhamasishaji huu...tutavaa tu tukienda hapo hakuna namna ni kutii sheria bila shurti
Wapuuzi hao walioandika chanzo cha kifo ni kovid kumi na tisa
Soon tutaiga na mbinu za museven lazima hela tuipate
Bado tunavizia zingine za lockdowns zinakuja
Hizo kidogo ni za barakoa na takwimu
Kwani katika wikipedia wanasema alifariki na nini?Ukiwaza sana magufuli alikua muuaji .hizi hatua zilipaswa kuchukuliwa mapema sana.
Lazima tuendane na majirani tulichelewa sana tena tutaing'ang'ania hata kwa kuzika majeneza tupu
hahahahahahaUnafikiri mabeberu wapo wakudanganwa kama sisi, wao taarifa za ukweli wanazipata kwa watu wa karibu wa mhusika tena kwa qarama yoyote ile. View attachment 1826909
Ugonjwa wake ulionesha dalili za corona ndoo wanavyosema.Kwani katika wikipedia wanasema alifariki na nini?