Bila Barakoa, Muhimbili huingii kuanzia leo. Msindikizaji mmoja tu

KakaJ uliagiza kontena la barakoa nini? Sio kwa uhamasishaji huu. Tutavaa tu tukienda hapo hakuna namna ni kutii sheria bila shurti
 
Kwani lile dude la kujifukiza walisha liondowa? Wataalamu wetu wanaumbishwa sana na siasa, sijui kwa nini?
Lile dude nasikia bado lipo ukiwa unatoka Mwaisela kuelekea JKCI, limepigwa na branding inaitwa bupiji sauna ila hamna anayelitumia ni kama limetelekezwa🤣
 
Ila tuwaombe waondoe hiyo "sauna bath" ya kujifukiza enzi hizo. Inaleta taswira mbaya kwenye taasisi yenye heshima kama Muhimbili.
 
Si zile USD 500+ tulishaahidiwa, tutavaa mask hadi chooni ili hiyo trilioni na ushee tuipate.
 
Kwani lile dude la kujifukiza walisha liondowa? Wataalamu wetu wanaumbishwa sana na siasa, sijui kwa nini?

Nchi ilikuwa ikiongozwa na wanyonge tokea chini hadi juu. Kama dude la nyungu lingalipo litakuwa lilikwisha pigwa lockdown!

Wanyonge = wapiga debe, boda boda, mama lishe, sungu sungu, machinga na wa namna hiyo.

Kukubalika awamu ile ilihitajika jitihada za makusudi za kuwamo katika kundi hilo. Kina mparamagamba, daktari gwaji, kina daktari michembe, daktari makumbi nk walikubalika zaidi. Huenda njaa zao hazikuwa na simile hata kidogo.
 
KakaJ uliagiza kontena la barakoa nini? Sio kwa uhamasishaji huu...tutavaa tu tukienda hapo hakuna namna ni kutii sheria bila shurti

Sifanyi biashara hizo ila kuamriwa fate na hasa ihusuyo uhai na wale wanyonge wa awamu ile kuna kera sana. Kwani hata shule tulikwenda kutembea?

Wanyonge = machinga, wapiga debe, boda boda, mama lishe, na wa namna hiyo:


Habari ndiyo hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…