Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Dah na nilikuwa nawaza wa naija walivyo wengi vile kumbe na wenyewe wako busy na boko haramu.👏👏👏👏idrisa
 
Aje sasa bongo hao watoto wanavyosibir hzo hela balaa
 
Jamani mwenye mchanganuo wa nchii zilivopiga kura weka hapa... hehehhee nimeshtuaje watu kwa kelele
 
Alikua kajiaminisha akidhania ni mshindi na hivi anapenda kulia ngoja alie vizuri sasa hivi

Wanaigeria wanafki sana.......umemuona huyo Lilian alivyoingia na kumrukia Tayo huku analia.......walijihakikishia sana kushinda.........
 
Back
Top Bottom