Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Laveda alichofanya duh.....
Kweli pombe sio maji
Kweli pombe sio maji
Hivi hili jambo ni la Muungano au linahusu Tanganyika tu?
Mbona siwaoni Wazanzibar wakisaidiana na wabara kuchotea nchi sifa za ngono?
Ila serikali ipeleke Big Brother wanawake waliokeketwa huenda itapunguza hii dhahma.
Kula ni kitu gani ?
Dadadadadeq....shikamoo JF.
Jamaa anatisha ha ha ha yaani kaenda mbali huyo duh
Yaan..eti
USA + Russia + Vodka+ Laveda + BBA = Masturbation
Kweli JF ~ home of great thinkers.
Ha ha ha hiyo theory ni balaa,jamaa ame-relate mpaka suala la putin kuja Tanzania na vodka+cold war aisee huyu jamaa ni shida.