Bongo tuna mtu mmoja tu anayeweza kutuwakilisha BBA,ni MWISHO MWAMPAMBA ingewezekana kila mwaka awe anaenda kutuwakilisha hao wengine wanatutia aibu tu
Hata Carrot pia zitamkoma! Wabongo lazima wakampokee ili kumuona Airport!Matango yatamkoma.
ule uchafu wake umesababisha
Umeona eeh na kwanza this time nimiezi miwili na yeye hata mwezi ajamaliza kaisha anza kujizalilisha
Unapenda sana ule uchafu mkuu, etiee?Naomba link nione ule uchafu wake mkuu...
leo wangapi waliotoka?