Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

idris anautumia vizuri udhaifu wa laveda

Samantha anaijua nguvu ya Idris na anavyoweza kuicheza game yake, so kila mahali anataka awe naye, hasa kwa kumliwaza.
Anajua akiachia nafasi Ella anaweza kucheza game kwa Idris kama ambavyo huwa akifanya mara kwa mara.
Ova
 
Ebu picha yake ninaweza kumsaidia kupunguza ugumu wake kwani ni dem wa umri gani
 
Samantha anaijua nguvu ya Idris na anavyoweza kuicheza game yake, so kila mahali anataka awe naye, hasa kwa kumliwaza.
Anajua akiachia nafasi Ella anaweza kucheza game kwa Idris kama ambavyo huwa akifanya mara kwa mara.
Ova

Idriss game yake nzuri sana nadhani hata wengine wana muiga mi napenda sana akiwa na Samantha wanakua wanaongea mambo ya muhimu all the time hafu samantha naye ana akili naona kila house mates ana mu appreciate Idriss hasa jana alivoanza kuongea na Goitse anajua serious kumbe ni game ila laveda week nzima alikua haonekani na alisha hisi atatoka ndo mana kafanya.kituko akidhani watu watampigia kura
 
Huyu laveda ni malaya tu yani kaniboa mpaka basi.Ana hata heshima jamani hivi hafikirii wazazi wake watamuonaje?Yani mie nimeona aibu kama ndio mie laveda.Na ningekuwa boyfriend wa laveda ningemuacha maana inaonekana jamaa akitoka kidogo tu watu wanajilia mzigo kiurahisi kabisa.Na wanaume wa BBA jamani hata kumsitiri???Sijui ndo havutii au ndio tuseme wanajiheshimu???By the way kesho nataka atoke

Kweli kani bore imebidi wwenzake wacheke tu na ukichangia huwa hajichanganyi wenzake hawamkubali na unajua washiriki wengi wanajua ukiendekeza ngono lazma utoke tu mule sasa bi shosti akawa anaona sifa kukatika na kujilegeza kani bore mie na msura wake atoke tu ni shame sana ndo mana Idriss alikua mkali hana tofauti na Sitti
 
Kama wanaweza oga na kutuonyesha m8ili yao sishangai wakijipiga punyeto.....

Bhoke alilalwa na mganda mganda mwenyewe kampanda kama kuku, bhoke hata manjonjo hana na wakawa evicted
 
hatahivyo mchezo mzima wa bba lengo lao ni kutaka au kushawishi kila mtu afanye uchizi wake mbele ya watu kwa ajili ya wao bba wapate pesa, haiwezekani ukaweka wasichana na wavulana wanalala chumba kimoja , pombe za bure, wanaoga pamoja unategemea nini kitatokea basi mwisho wa siku ukimlaumu laveda basi bba nao walaumiwe kwa kuwashawishi vijana wa kiafrika kuiga utamaduni wa wazungu kwa lengo la kujipatia ela.
Idris nae ameishiwa mbinu za mchezo anamtongoza kila wakati binti wa ki botswana , binti anasema anataka wakubwa hataki watoto kama idris, lakini bado idris anamng'ang'ania kama vile ametumwa kwenda kutongoza na sio kushinda ela vilevile anautani kwa wenzake kila wakati wa kupitiliza hajatulia hajui muda gani wa kutania na muda gani wa kutulia,mwisho wa siku binti ameshampuuza
 
duuuh siamini kama kweli umepoteza muda wko kucreate 'conspiracy theory' ambayo hata haipo! Duuh
 
hatahivyo mchezo mzima wa bba lengo lao ni kutaka au kushawishi kila mtu afanye uchizi wake mbele ya watu kwa ajili ya wao bba wapate pesa, haiwezekani ukaweka wasichana na wavulana wanalala chumba kimoja , pombe za bure, wanaoga pamoja unategemea nini kitatokea basi mwisho wa siku ukimlaumu laveda basi bba nao walaumiwe kwa kuwashawishi vijana wa kiafrika kuiga utamaduni wa wazungu kwa lengo la kujipatia ela.
Idris nae ameishiwa mbinu za mchezo anamtongoza kila wakati binti wa ki botswana , binti anasema anataka wakubwa hataki watoto kama idris, lakini bado idris anamng'ang'ania kama vile ametumwa kwenda kutongoza na sio kushinda ela vilevile anautani kwa wenzake kila wakati wa kupitiliza hajatulia hajui muda gani wa kutania na muda gani wa kutulia,mwisho wa siku binti ameshampuuza
Na jinsi mchezo ulivyo wa kishetani, hiyo inaweza kuwa gia kwa LAVEDA kupanda umaarufu wake kwa followers wake!
 
Huu mchezo kwa nini haupigwi marufuku? mchezo wa.kishetani .
 
Back
Top Bottom