Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Wadau nawasilimu,
Kwa wale ambao wamekuwa wafwatiliaji wa BBA 2014 mtakubaliana na mimi kwamba kijana wetu toka Arusha na anayeiwakilisha Tanzania ndani ya jumba hilo ANABOA. Kijana kawa mzururaji tu na kukaa na wadada muda wote. Siyo mbunifu wa kitu chochote kama washiriki wenzake ambao wameonekana wakionesha juhudi binafsi na vipaji mbalimbali.

Binafsi nimevunjika Moyo kumpigia kura. Hajanishawishi maana sipigi hura kwa kuangalia utanzania.Hapana. Napiga kura nikizingatia ubunifu na juhudi binafsi.

Je wewe unamuoengeleaje Idris?! Lavida anafanya vizuri mpaka sasa. Aibu kwa Idris!
 
Hata mo namshangaa sana' kutwa kampakatia binti mmoja hivi!
 
Mkuu MstahikiMeya mbona maelezo yamejitosheleza tu?! Au ulikuwa unahitajika ufafanuzi zaidi kwenye nini?!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom