Nilivyoona last post ni wewe nikaamue nifungue huu uzi nione comment yako na nilichokikuta ndicho hicho nilichokihisi.
Huyu Idris naanza kumuangalia kwa jicho la tatu nahisi hatafika mbali
Wanakuwakilisha wewe mimi usinijumuishe kwenye huo upumbavu.
Demu wa Tz tayari wameshagegeda mkuu.Tena leo alfajiri
Sio mtu wa kujichanganya sana mpaka muda huu. Hana stori nyingi kama ilivyo kwa washiriki wengi waliomo. Yuko busy na kibinti fulani sijui cha nchi gani, anakibeba beba mgongoni na kuhama hama nacho vyumba. Na ana usinga mkononi kama mganga wa kienyeji.
ova
Hahaaaa
By the way..alijisemea jamank..moja ya malengo yake ni pamoja na kukamatia vidada.
So he is achieving his mission lols
Wanakuwakilisha wewe mimi usinijumuishe kwenye huo upumbavu.
Demu wa Tz tayari wameshagegeda mkuu.Tena leo alfajiri
malaya tu km wengine
Hii ni aibu jamani..kweli sasa namuunga mkono Matola kwa kukataa huu uchafu...hivi ni sifa au?kugegedwa hadharani???wana tofauti gani na ma porn star???
Ndo kilichompeleka acha wajisevie...akipata gono asilie km nando
Hua wakipelekwa huko wanapimwa kwanza magonjwa ya kuambukizana au wanaenda tu kujiambukizaa hhhaaa
hakuna kupima,we kama una gono unaiingia tu uwaambukizeee vizuri mchezo wenyewe si wakishetan sasa shetani si anahamasishaga watu wapime Dinazarde? sema demu wa kibongo bado hajamegwa jama amezusha tu