Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Big Brother Africa 2014 (Hot Shots) - Special thread

Laveda naye kapoa hajichanganyi na wenzio

Upo muda bado, she is tryn to be relevant.. Ni rahis kuipandisha character yake atakavyo coz ni km hajatoa silaha hata moja ghalani.. Tofauti na Lilian kashatoa silaha zake zote kurudi nyuma ataharibu.. Unapokuwa cool mwanzoni inakusaidia kutokuwa fulstrated all th way.. Btw she is th head of th house ana advanteg ila akiendelea kupoa sn hana wiki tatu
 
Kama unafuatilia BBA hotshots utagundua kuwa moja kati ya vijana wenye akili ni Tayo from nigeria, Goitze from botwana na Idris from Tanzania.. Idris ni comedia in a way, na kuna saa anakuwa serious, anajua kujificha, lina weza pita lisaa lizima hajaonekana alipo mpk zile meseg zinapita kumuulizia.. Akirudi anakuja na jambo.. Alipotea amerudi amevaa wigi kawa kama demu. Nachukia hiyo tabia..
Anatuwakilisha watz asituletee tabia za ajabu.

Namshauri hata kama ni dem, Guitse dogo wa botwana mwenye dread locks anaendana nae naona jana alijaribu kumweka karibu ila dogo is on demand kw mates wengine so anajidai kupotezea bt atlast Idris atatisha kwa Guitse..

Over.

anakuwakilisha wewe, usituweke huko kwenye uchizi wenu.
 
idris ni comedian than even the proclaimed arthur.....n soon the drama between him and goitse will begin...he doesnt try hard like arthur, alusa n jj
 
Kama unafuatilia BBA hotshots utagundua kuwa moja kati ya vijana wenye akili ni Tayo from nigeria, Goitze from botwana na Idris from Tanzania.. Idris ni comedia in a way, na kuna saa anakuwa serious, anajua kujificha, lina weza pita lisaa lizima hajaonekana alipo mpk zile meseg zinapita kumuulizia.. Akirudi anakuja na jambo.. Alipotea amerudi amevaa wigi kawa kama demu. Nachukia hiyo tabia..
Anatuwakilisha watz asituletee tabia za ajabu.

Namshauri hata kama ni dem, Guitse dogo wa botwana mwenye dread locks anaendana nae naona jana alijaribu kumweka karibu ila dogo is on demand kw mates wengine so anajidai kupotezea bt atlast Idris atatisha kwa Guitse..

Over.

Mkuu Matola soma paragraph ya kwanza the last sentence
 
Last edited by a moderator:
idris ni comedian than even the proclaimed arthur.....n soon the drama between him and goitse will begin...he doesnt try hard like arthur, alusa n jj

Arthur ameonyesha interest kabisa.. Toka asubuh alikuwa anamvizia vizia Goitse saivi yupo nae kwa bed Goitse anamfanyia masage Arthur huku wana mjadala wa mambo ya kuhusiana.. Levada yupo around anachangia.. Ila nmemuona Goitse atamegwa kama sio na Tayo ni Idris. Arther ana papara
 
Mkuu Matola soma paragraph ya kwanza the last sentence
Kama Wamasai wanavyonyonga kimyakimya wake zao wakizaa mtoto albino au kiwete nadhani huu utaratibu uboreshwe kuwe na mashine ya kupima IQ za watoto wachanga, toto jinga kama hilo likizaliwa ni bora kulinyonga tu kuliko kujaza dunia binadamu tuonekane tupo wengi kumbe mengine ni maboya tu useless kabisa.
Wakuu mnapenda kucomplicate mambo.
Wewe huna akili na wala hujitambui ndio maana unashabikia upuuzi.
 
Last edited by a moderator:
Mtanzania IDRIS anaonekana kuiva na Goitse mrembo wa Botswana na hivyo, uwezekano wa kupata shemeji wa Botswana ni mkubwa aisee.

Kwenye birthday ya Goitse, Idris alionekana akilia huku akimkmbatia mrembo huyo wa Botswana.






idris and goitse.jpg
 
Combo nzuri sn.. Namkubali sn Goitse. Ila Idris msanii sana hata simwamini.. Kumbuka kuna yule Ester alimkuta idris na Gotse wamekaa akamwambia idris "I ve never seen a fun man cries" ila ukweli Idris anamkubali Goitse while Arthur anampenda Goitse
 
Upuuuuziiiiiiiiii tu.Vijana wanatumika kutajirisha tajiri vya vyombo vya habari uku wao wakiuza utu wao kwa kukubali kuwekewa camera kila sehemu.

Njaa mbaya sana
 
Yan vijana wa chadema muda wote mmeshupaza shingo tuu
 
Tangu mashindano haya yameaanza sina kumbukumbu kama Rwanda imewahi kupeleka mshiriki, hivi ni kwanini?
Maana wale watoto wao walivyowazuri, sijui ingekuwaje!
 
Tanzania haijawai Kupeleka mshiriki, ila watanzania wanashiriki.
 
Back
Top Bottom