Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Kakwaa na kitombo alfajiri ya leo
Kweli?So kapata mpenzi tayari?Anaitwa nani?
Kakwaa na kitombo alfajiri ya leo
Kweli?So kapata mpenzi tayari?Anaitwa nani?
Angalia highlights dada yenu akipakazwa gundi..ana miuno ya hatari kama paka
Aaaahhhhh naangalia live kila siku ila ungenge unasumbua lolMbona updates haziendelei?Wengine tuliangalizia kwa majirani siku ya ufunguzi tu so endeleeni kutuhabarisha yanayojiri huko.
Cc: Preta DivaBeyonce Maboso kanisambaze
Wanakuwakilisha wewe mimi usinijumuishe kwenye huo upumbavu.
Hako kadada kanajidai katanzania hawajakafumua tena leo?
Wakati fulani nikipita kwenda kwenye channel ninazozitaka huwa najikuta nimepitia channel zinazoonesha wanachoita Big Brother Afrika. Humo huwa naona vijana wa kiume na kike wakilala pamoja, wakioga pamoja, wakihojiwa, wakicheza, wakipika, wakiimba, na mengine mengi ambayo katika utamaduni wa kiafrika yasingekuwa ya kawaida tena hadharani. Sasa mimi huwa sielewi ni nini kinachokusudiwa na hicho kinachoitwa shindano la BBA. Ni kwaajili ya kujifunza au kufundisha nini? Je hao vijana wakitoka hapo wanakuwa watu wa aina na wenye manufaa gani kwa jamii. Mwanzoni nikifikiri kwa jina lake itakuwa ni wavulana watupu, kumbe na wasichana wamo yaani ni kama kusema Big Brothers and Sisters Afrika. Yaani sielewi hata nikiangalia sijui lolote na sioni la kujifunza au vijana wa Tanganyika kujifunza ingawa nasikia kuna mmoja aliwahi kuibuka na Mil 100 hata sijui aliishia wapi na ana manufaa gani kwa jamii.
Mwenyekiti, kuuliza si ujinga. Huenda nikieleweshwa nikajifunza mengi kwa kuangalia sema sijapata mwongozo ndio maana nimejikuta mshambasasa kama huelewi nini kinakusudiwa ni wazi hicho kipindi si cha watu kama wewe. endelea tu kutazama vipindi vingine unavyovielewa hicho waachie wenyewe kwenye dstv kuna mamia ya channels huwezi kuangalia ua kuelewa zote. BBA ina watu wake na ni wazi wewe sio mmoja wao.
Mwenyekiti, kuuliza si ujinga. Huenda nikieleweshwa nikajifunza mengi kwa kuangalia sema sijapata mwongozo ndio maana nimejikuta mshamba
Mie napenda kuiangalia japo haina maadili ya kibongo(ndomana imekuwa rated 18yrs) ila humu watu wanaenda kufall in love tu, chunguza utaniambia mfano mzuri yule dada yetu mmoja(jina nmemuhifadhi) alipandwa live bila chenga.
sasa kama huelewi nini kinakusudiwa ni wazi hicho kipindi si cha watu kama wewe. endelea tu kutazama vipindi vingine unavyovielewa hicho waachie wenyewe kwenye dstv kuna mamia ya channels huwezi kuangalia ua kuelewa zote. BBA ina watu wake na ni wazi wewe sio mmoja wao.
I like Idris' and Tayo's characters in the house.....
Mie napenda kuiangalia japo haina maadili ya kibongo(ndomana imekuwa rated 18yrs) ila humu watu wanaenda kufall in love tu, chunguza utaniambia mfano mzuri yule dada yetu mmoja(jina nmemuhifadhi) alipandwa live bila chenga.