Tena akija kuibuka mshindi ndio kwaaanza anakuja kuwaharibu watoto wetu wa kike manake watoto wa siku hizi wanavyowapenda watu maarufu!!!Atoke awepo atajijua mwenyewee
Bongo tuna vipaji vya ubishi. Tunabishana hata visivyobishika. Mtu unakurupuka umetoka chooni unakuja jf kubishana tu jambo dogo!! Ni utoto mkikua mtaacha. Sasa we unayebisha kuwa haiwakilishi Tanzania unataka kusema ni muwakilishi wa wapi? Kutokumkubali kwako hakuondoi ukweli wa uwakilishi wake kwa Tanzania.
Hao ndio wawakilishi wa Tanzania hata kama hutaki wakuwakilishe. Kama hutaki kameze piliton au kama unachefuka kunywa juice ya ndimu.
Laveda (Tanzania) ajichanganye kwa Tayoo (Nigeria) huenda dada yetu akatoka kimasomaso Daudi Mchambuzi and Heaven on Earth
anatakiwa ajiingize kwenye mahusiano ya kimapenzi na mkaka anayependwa humo(attractive couple)
, alafu huyo kaka kura zipungue atolewe then dada apate kura za huruma ya kuachwa lonely.
Tena akija kuibuka mshindi ndio kwaaanza anakuja kuwaharibu watoto wetu wa kike manake watoto wa siku hizi wanavyowapenda watu maarufu!!!
Anakuwakilisha wewe na ukoo wako, na vyupi vyako, mtu ameenda kufanya ufuska eti anatuwakilisha. Narudia tena anakuwakilisha wewe na wajinga wenzio Goodluck Mshana
Anaiwakilisha Tanzania kwa makubaliano yapi? Ebu acheni upumbavu Cc: Matola
Kwani wasiriki walioptaa wakiumee walishindaa kwakutumia siraha gani ? Kama sio kudil na papuchi mwanzo mwishoo
anatakiwa ajiingize kwenye mahusiano ya kimapenzi na mkaka anayependwa humo(attractive couple)
, alafu huyo kaka kura zipungue atolewe then dada apate kura za huruma ya kuachwa lonely.
Asante mkuu kwa matusi...huenda ipo siku Mungu ataubadili Moyo wako. Weekend njema @lpycalypse
Unafuatilia sana upuuzi wewe
Haikua na haja ya kuanzisha thread...