Iran wameapa kummaliza Trump

Iran wameapa kummaliza Trump

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,695
Reaction score
7,874
Israel imeishirikisha Marekani taarifa za kiintelijensia zinazoonyesha kuwa Iran imesuka mpango mpya na mahususi wa kutaka kumuua Rais Donald Trump.

Ingawa Marekani imekuwa ikifuatilia vitisho mbalimbali hivi karibuni, onyo hili maalum kutoka Israel limeongeza taharuki kubwa, hasa wakati huu ambapo makubaliano ya kusitisha mapigano yakiwa shakani.

Baadhi ya maafisa wa Marekani wanahisi kuwa ripoti hiyo ya Israel inaweza kuwa mkakati wa kushawishi maamuzi ya Trump, wakati huu anapotafakari uwezekano wa kuongeza mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran.

Katika siku ya mwisho ya mazishi ya wiki nzima ya Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, umati mkubwa wa watu ulikusanyika huku wakinyanyua mabango yaliyoandikwa "tutamuua Trump."

Khamenei aliuawa katika mashambulizi ya kwanza kabisa za mzozo huo, hali inayofanya uhusiano kati ya Washington na Tehran kuwa wa wasiwasi mkubwa huku kukiwa na shinikizo kubwa la kulipiza kisasi.

1783666506720.png

1783666619998.png

============

Israel shared intelligence with the United States that Iran had recently devised a new plan to assassinate President Donald Trump, two sources familiar with the matter told CNN, adding another layer of tension as a ceasefire deal between the countries comes under strain.

One of the sources said the warning came this week. Another source said the US had picked up a steady drumbeat of intelligence in recent weeks about possible plans to assassinate Trump, but the warning from Israel was new and concerned a specific plot.

Other American officials suggested the Israeli report could be an effort to sway Trump’s decision-making as he weighs whether to intensify American military action against Iran.

The details of the plot that Israel warned about were not immediately clear, and two sources familiar with the matter said the US had not vetted it themselves nor were they tracking it before the Israeli warning. The US government has long warned that Iran may try to kill Trump in retaliation for the 2020 drone strike he ordered which killed a top Iranian general, Qasem Soleimani.

Source: CNN & Sky news
 
Israel imeishirikisha Marekani taarifa za kiintelijensia zinazoonyesha kuwa Iran imesuka mpango mpya na mahususi wa kutaka kumuua Rais Donald Trump.

Ingawa Marekani imekuwa ikifuatilia vitisho mbalimbali hivi karibuni, onyo hili maalum kutoka Israel limeongeza taharuki kubwa, hasa wakati huu ambapo makubaliano ya kusitisha mapigano yakiwa shakani.

Baadhi ya maafisa wa Marekani wanahisi kuwa ripoti hiyo ya Israel inaweza kuwa mkakati wa kushawishi maamuzi ya Trump, wakati huu anapotafakari uwezekano wa kuongeza mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran.

Katika siku ya mwisho ya mazishi ya wiki nzima ya Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, umati mkubwa wa watu ulikusanyika huku wakinyanyua mabango yaliyoandikwa "tutamuua Trump."

Khamenei aliuawa katika mashambulizi ya kwanza kabisa za mzozo huo, hali inayofanya uhusiano kati ya Washington na Tehran kuwa wa wasiwasi mkubwa huku kukiwa na shinikizo kubwa la kulipiza kisasi.


============

Israel shared intelligence with the United States that Iran had recently devised a new plan to assassinate President Donald Trump, two sources familiar with the matter told CNN, adding another layer of tension as a ceasefire deal between the countries comes under strain.

One of the sources said the warning came this week. Another source said the US had picked up a steady drumbeat of intelligence in recent weeks about possible plans to assassinate Trump, but the warning from Israel was new and concerned a specific plot.

Other American officials suggested the Israeli report could be an effort to sway Trump’s decision-making as he weighs whether to intensify American military action against Iran.

The details of the plot that Israel warned about were not immediately clear, and two sources familiar with the matter said the US had not vetted it themselves nor were they tracking it before the Israeli warning. The US government has long warned that Iran may try to kill Trump in retaliation for the 2020 drone strike he ordered which killed a top Iranian general, Qasem Soleimani.

Source: CNN & Sky news
Wameshindwa kumuua Netanyahu pua na mdomo.
 
Israel imeishirikisha Marekani taarifa za kiintelijensia zinazoonyesha kuwa Iran imesuka mpango mpya na mahususi wa kutaka kumuua Rais Donald Trump.

Ingawa Marekani imekuwa ikifuatilia vitisho mbalimbali hivi karibuni, onyo hili maalum kutoka Israel limeongeza taharuki kubwa, hasa wakati huu ambapo makubaliano ya kusitisha mapigano yakiwa shakani.

Baadhi ya maafisa wa Marekani wanahisi kuwa ripoti hiyo ya Israel inaweza kuwa mkakati wa kushawishi maamuzi ya Trump, wakati huu anapotafakari uwezekano wa kuongeza mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran.

Katika siku ya mwisho ya mazishi ya wiki nzima ya Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, umati mkubwa wa watu ulikusanyika huku wakinyanyua mabango yaliyoandikwa "tutamuua Trump."

Khamenei aliuawa katika mashambulizi ya kwanza kabisa za mzozo huo, hali inayofanya uhusiano kati ya Washington na Tehran kuwa wa wasiwasi mkubwa huku kukiwa na shinikizo kubwa la kulipiza kisasi.


============

Israel shared intelligence with the United States that Iran had recently devised a new plan to assassinate President Donald Trump, two sources familiar with the matter told CNN, adding another layer of tension as a ceasefire deal between the countries comes under strain.

One of the sources said the warning came this week. Another source said the US had picked up a steady drumbeat of intelligence in recent weeks about possible plans to assassinate Trump, but the warning from Israel was new and concerned a specific plot.

Other American officials suggested the Israeli report could be an effort to sway Trump’s decision-making as he weighs whether to intensify American military action against Iran.

The details of the plot that Israel warned about were not immediately clear, and two sources familiar with the matter said the US had not vetted it themselves nor were they tracking it before the Israeli warning. The US government has long warned that Iran may try to kill Trump in retaliation for the 2020 drone strike he ordered which killed a top Iranian general, Qasem Soleimani.

Source: CNN & Sky news
Iran, kwa maana ya IRGC wanatafuta kila chance ili walipize kwa Trump/Netanyau kwa kuikung'uta Iran vibaya mno kiasi cha kumuua kiongozi wao mkuu kama kibaka panya road yaani ayatollah pamoja na viongozi wengine wa Iran likiwemo lile gaidi lao qasem soleimani. Pia IRGC wanataka sana kuwaua watoto wa Trump na hasa Barron na Kai. Ukweli ni kuwa kuna kitu kikikosewa tu na walinzi Trump/Kai/Barron watauwawa na IRGC infact Netanyau naye huenda akauwawa na Mossad sababu hatak kabisa kusikia upuuzi wa two state solutions kwa hiyyo Mossad wenyewe huenda wakamuua. Majengo ya Trump pia yapo targeted na IRGC na hata uchumi wa US upo targeted na IRGC kuna kind of Red Dawn experience, nine eleven, ground zero inakuja US kama walinzi wasiposhika vizuri zamu zao.
 
Back
Top Bottom