Biden atashinda, Trump is done

Biden atashinda, Trump is done

Good morning on this, the 21st day before Election Day. Hillary Clinton’s chances reached 91 percent last night — their highest point yet in this election cycle. The latest rise comes from gains in Arizona and Georgia, as well as hints of further weakness in typically safe red states like Alaska and Utah.

We kaka una visikio vidooogo
 
Unataka kujenga hoja gani hapo?

Biden na Clinton ni watu wawili tafauti sana.Trump alofanikiwa mno kumchafua Clinton na ile scandal ya email lakini anashindwa kwa Biden.
Sitaki kujenga hoja yoyote. Linganisha quote na link.

Hiyo scandal ya email Trump alimchafuaje na wakati ilikuwa ni kweli? Anyway hope mnajua kuna investigation ya Att. Durham inaendelea...
 
Hillary hakuwahi kuwa na lead zaidi ya asilimia 50..Trumpa waliokuja kumpa ushindi ni undecided voters..
Halafu hata Hillary alishinda popular votes
Alimzidi Trump kura milioni 2

Sasa Trump aliibukia majimbo ambayo Biden now anaongoza zaidi ya asilimia 7
Trump Hana pa kupita this time
Ina maana Mmesahau!

 
My gut feeling and my common sense zinaniambia atashindwa.

Lakini pia 2016 gut feelings na common sense zangu hizi hizi ziliniambia atashindwa vibaya mno.

Hahahaaa....
Namuombea ashinde.
 
Namuombea ashinde.
Hahaaaa.

Ongeza maombi maana jamaa akili yake anaijua yeye mwenyewe.

Sijawahi kuona Rais wa Marekani anayegombea muhula wa pili na anayejihujumu yeye mwenyewe na hivyo kuifanya kazi ya mahasimu wake wa kisiasa kuwa rahisi mno.

Lakini kusema ukweli wala hakuna jipya.

Trump wa 2016 ndo huyu huyu wa 2020.

Ni mtu wa ma conspiracy theories ya kijinga kijinga.

Kauli za ajabu ajabu.

Tabia isiyo ya ki-Rais.

Umbeya umbeya.

Uongo uongo.

Drama.

Yaani vurugu mechi mwanzo mwisho.

Ndo maana nasema common sense yangu, logic, na conventional wisdom viliniambia kwamba 2016 asingeshinda.

Na mwaka huu ni hivo hivo.

But, Trump is not a conventional candidate nor a conventional president either.

So we shall see!
 
Trump yupo nyuma sana katika kura za maoni
Hizo kura za maoni siyo za kuziamini sana, hasa ukitilia maanani kuwa hata vyombo vinavyotoa au tangaza matokeo vinampendelea Biden. Tusubiri sanduku la kura. 4 more years for Trump
 
Trump ni chizi!
980909090.jpg
 
Hizo kura za maoni siyo za kuziamini sana, hasa ukitilia maanani kuwa hata vyombo vinavyotoa au tangaza matokeo vinampendelea Biden. Tusubiri sanduku la kura. 4 more years for Trump
Stand Back and Stand By!
 
Imebaki wiki tatu lakini naamini
Biden keshashinda na Trump keshashindwa.

Nimeangalia factors tofauti

1. pesa ..siku zote mgombea anaeweza changisha hela nyingi anashinda
Biden kamzidi Trump Kwa mbali

2. swing states..
Ohio na Florida kote Biden ana lead

3. Pandemic.
Hili mradi ni main news Trump hawezi shinda..

Naona Biden atakuwa new President
Trump is done..
Vyovyote itakavyokuwa Trump hang'oki, yupo tayari hata kuidumbukiza Nchi kwenye machafuko.
 
Hahaaaa.

Ongeza maombi maana jamaa akili yake anaijua yeye mwenyewe.

Sijawahi kuona Rais wa Marekani anayegombea muhula wa pili na anayejihujumu yeye mwenyewe na hivyo kuifanya kazi ya mahasimu wake wa kisiasa kuwa rahisi mno.

Lakini kusema ukweli wala hakuna jipya.

Trump wa 2016 ndo huyu huyu wa 2020.

Ni mtu wa ma conspiracy theories ya kijinga kijinga.

Kauli za ajabu ajabu.

Tabia isiyo ya ki-Rais.

Umbeya umbeya.

Uongo uongo.

Drama.

Yaani vurugu mechi mwanzo mwisho.

Ndo maana nasema common sense yangu, logic, na conventional wisdom viliniambia kwamba 2016 asingeshinda.

Na mwaka huu ni hivo hivo.

But, Trump is not a conventional candidate nor a conventional president either.

So we shall see!
Let us wait and see!
 
Nimependa hiyo ya senate kuhesabu na kuhakiki kura zote.Inapunguza vote rigging.

Iwapo electoral college vote ndio muhimu basi kuna haja gani ya kuwa na popular votes
Ili mgombea aweze kushinda electoral college votes za jimbo, ni lazima ashinde popular votes za hilo jimbo [statewide popular votes].

Kwa hiyo, mwisho wa siku national popular votes hazitumiki kuamua nani ndo mshindi.

Majimbo 48/50 yana utaratibu wa winner-take-all.

Yaani, mgombea anayeshinda popular votes za jimbo, anapewa electoral college votes zote za hilo jimbo.

Hizo electoral college votes zinakuwa allocated kwa jimbo kwa kuchukua idadi ya wawakilishi lilinao hilo jimbo kwenye bunge la Marekani [House of Representatives] na kuongeza wengine wawili kuwawakilisha ma seneta wa jimbo.

Kwa mfano, kama jimbo la Tennessee lina idadi ya wawakilishi 8 kwenye bunge, basi litakuwa na idadi ya hizo electoral college votes 10.

8 za kuwakilisha hao wabunge na mbili za kuwakilisha maseneta.

Kila jimbo Marekani huwa lina maseneta wawili.

Majimbo mawili, Nebraska na Maine, hayana huo mfumo wa winner-take-all.

Yanatumia mfumo wa congressional district [method].
 
Ili mgombea aweze kushinda electoral college votes za jimbo, ni lazima ashinde popular votes za hilo jimbo [statewide popular votes].

Kwa hiyo, mwisho wa siku national popular votes hazitumiki kuamua nani ndo mshindi.

Majimbo 48/50 yana utaratibu wa winner-take-all.

Yaani, mgombea anayeshinda popular votes za jimbo, anapewa electoral college votes zote za hilo jimbo.

Hizo electoral college votes zinakuwa allocated kwa jimbo kwa kuchukua idadi ya wawakilishi lilinao hilo jimbo kwenye bunge la Marekani [House of Representatives] na kuongeza wengine wawili kuwawakilisha ma seneta wa jimbo.

Majimbo mawili, Nebraska na Maine, hayana huo mfumo wa winner-take-all.

Yanatumia mfumo wa congressional district [method].
Sante sana
 
Back
Top Bottom