Biden atashinda, Trump is done

Biden atashinda, Trump is done

Kweli kabisa. Mwalimu wetu wa Civics O level alitudanganya kwamna hii electoral college ni Wamarekani wachache ambao wamesoma na wana hela ndo wanapiga kura na kuamua hatima ya urais wa Marekani. Nilivyokuja kugundua kuwa alitutia changa la macho nilicheka sana
hahaa hadi kuna baadhi ya watangazaji kwenye media za bongo niliwahi kuzisikia wanasema hivyo hivyo 😅
 
Imebaki wiki tatu lakini naamini
Biden keshashinda na Trump keshashindwa.

Nimeangalia factors tofauti

1. pesa ..siku zote mgombea anaeweza changisha hela nyingi anashinda
Biden kamzidi Trump Kwa mbali

2. swing states..
Ohio na Florida kote Biden ana lead

3. Pandemic.
Hili mradi ni main news Trump hawezi shinda..

Naona Biden atakuwa new President
Trump is done..
Na uchaguzi ukiisha tu akishinda Biden na Corona byebye utasikia everything under control....
 
Who cares about popular votes? Popular votes ndo zina determine mshindi?

Au wewe hoja yako hapa ni kuwa Biden atashinda popular votes?

Kama hiyo ndo hoja yako, basi sawa. Maana Democrats siku zote huwa wana advantage na national popular votes kwa sababu ya majimbo ya California, New York, na Illinois.

Lakini ukiangalia hata ni mgombea yupi huwa anashinda majimbo mengi kati ya majimbo 50 ya Marekani, almost always ni GOP.
Hii system tungeipata Tz naona mikoa ya Pemba na sijui Kigoma wangekuwa wanaringa sana tu wakati wa uchaguzi
 
hahaa hadi kuna baadhi ya watangazaji kwenye media za bongo niliwahi kuzisikia wanasema hivyo hivyo 😅
walioandika hii system katika katiba ya nchi yao hawa watu wana akili sana vingenevyo vi state vidogo wangekuwa hata watu hawaendi kupiga kampeni ila utakuta state ndogo ndio wanakuwa kama wameshika vote kama 8 hivi kuamua waangushe wapi. Akili kubwa...
 
Kweli wale wanaopendelea kuoana jinsia moja wanafurahi ndugu yao kuongoza. Trump atakumbukwa kwa kupinga vitu hivyo
 
Kweli wale wanaopendelea kuoana jinsia moja wanafurahi ndugu yao kuongoza. Trump atakumbukwa kwa kupinga vitu hivyo
Yeah mkuu hasa wale walioomba kusuguliwa majukwaani watachukia sana Biden kushindwa
 
Trump hawezi kushinda awamu hii,vyombo vya habari na majanga yamemwandama ,ana mengi kumkosesha kura
 
Imebaki wiki tatu lakini naamini
Biden keshashinda na Trump keshashindwa.

Nimeangalia factors tofauti

1. pesa ..siku zote mgombea anaeweza changisha hela nyingi anashinda
Biden kamzidi Trump Kwa mbali

2. swing states..
Ohio na Florida kote Biden ana lead

3. Pandemic.
Hili mradi ni main news Trump hawezi shinda..

Naona Biden atakuwa new President
Trump is done..
Haitakaa itokee Biden akashinda uchaguzi
 
Yawezekana hata wewe hao pollsters uliowaangalia hawako credible vilevile.

Huko Ohio na Florida umeangalia polls gani?

And btw, unajua kuwa opinion polls hazi count?

Unajua kuwa kwenye opinion polls watu wanaweza kudanganya? Mtu anakwambia atampigia kura fulani lakini akienda kwenye voting booth anapiga tofauti na alivyokuambia?

Sijui uko wapi. Lakini kama uko Marekani, basi utagundua kuwa watu wengi wanaomuunga mkono Trump huwa hawapendi kusema sema hadharani kuwa wanamuunga mkono.

Na hiyo ni moja ya sababu inayoweza ku skew hizo opinion polls...
Conservatives wengi tu hawapendi kuitwa Trump Supporters lakini mwisho wa siku they'll vote for GOP candidate for the sake of their ideology...
 
walioandika hii system katika katiba ya nchi yao hawa watu wana akili sana vingenevyo vi state vidogo wangekuwa hata watu hawaendi kupiga kampeni ila utakuta state ndogo ndio wanakuwa kama wameshika vote kama 8 hivi kuamua waangushe wapi. Akili kubwa...
Sanaa,kwa Federation kama USA this is the perfect system,vinginevyo watu wangepiga kampeni Texas,New York na California tu wakashinda..
 
Hillary hakuwahi kuwa na lead zaidi ya asilimia 50..Trumpa waliokuja kumpa ushindi ni undecided voters..
Halafu hata Hillary alishinda popular votes
Alimzidi Trump kura milioni 2

Sasa Trump aliibukia majimbo ambayo Biden now anaongoza zaidi ya asilimia 7
Trump Hana pa kupita this time
Hizo kura za maoni zinatolewa na vyombo vya "Fake News".
 
Imebaki wiki tatu lakini naamini
Biden keshashinda na Trump keshashindwa.

Nimeangalia factors tofauti

1. pesa ..siku zote mgombea anaeweza changisha hela nyingi anashinda
Biden kamzidi Trump Kwa mbali

2. swing states..
Ohio na Florida kote Biden ana lead

3. Pandemic.
Hili mradi ni main news Trump hawezi shinda..

Naona Biden atakuwa new President
Trump is done..
Wamarekani mostly huwa naona ni Democratic.

Republican huwa wanashinda kwa "Mungu saidia" tu.

Hata Trump hakushinda popular votes.
 
Back
Top Bottom