Biden atashinda, Trump is done

Biden atashinda, Trump is done

hii electoral college wabongo wengi huwa inatupiga chenga kuielewa
Kuna hiyo, halafu pia kuna suala la impeachment.

Yaani ukiangalia jinsi baadhi ya wabongo ‘wanavyovielewa’ hivyo vitu, unaishia kuwaonea huruma tu.

Mpaka leo hii eti kuna watu wanadhani kuwa kwa vile Trump alikuwa impeached, kwa uelewa wao eti ni aliondolewa madarakani halafu akarudishwa na chama chake 🤣.

Hawajui kuwa impeachment process na removal from office process ni vitu viwili tofauti kabisa.
 
Really? Unaongea kwa ‘kujua’ au ‘kusadiki’ tu?

Mimi sijui atayeshinda. 2016 nilidhani Trump wala asingepata nomination. Lakini akapata. Baada ya kupata nikasema kuwa game over, Hilary anashinda kiulaini.

Then what happened?

By the way, unaweza kunielezea kuhusu hii opinion poll ya Time magazine iliyoonyesha kuwa Hilary atashinda au yuko ahead kwa asilimia 14?

Hillary Clinton Leads Donald Trump by 14 Points Nationally in New Poll

Na hapo sijataja conspiracy theory ya kwamba eti Rais wa Marekani huchaguliwa na ka kikundi ka watu wachache walio mafichoni 🤣.

Anywho, hiyo kura ya maoni ya Time magazine ilitoka October 2016. Huu ni mwezi gani vile? December?

Hillary won the popular votes, zaidi ya kura milioni 2. So hata polls hazikuwa that wrong sana

This time Biden anarekebisha makosa. Latest polls hadi Texas Biden ana lead. Sioni how Trump atashinda
 
Hillary won the popular votes, zaidi ya kura milioni 2. So hata polls hazikuwa that wrong sana

This time Biden anarekebisha makosa. Latest polls hadi Texas Biden ana lead. Sioni how Trump atashinda
1. Kwa hiyo unakubali kwamba si kweli kuwa Hilary hakuwa kuongoza zaidi ya asilimia 50 kwenye kura za maoni?

2. Rais wa Marekani hachaguliwi na national popular votes. So national popular votes don’t mean a hill of beans.

3. Don’t get it twisted. Biden hashindi Texas. Sisemi hawezi kushinda urais. Bali, nasema jimbo la Texas litabaki kuwa jekundu. And I can put my money on it. 1K.

4. Nadhani pia huzielewi vizuri hizi opinion polls. Kwanza, wala huwa hazi count. Pili, pollsters wanaweza ku frame maswali yao ili wapate matokeo wanayoyataka.
 
Kwani Nani alishinda popular votes
Clinton ali lead nationally na alishinda popular votes.
Who cares about popular votes? Popular votes ndo zina determine mshindi?

Au wewe hoja yako hapa ni kuwa Biden atashinda popular votes?

Kama hiyo ndo hoja yako, basi sawa. Maana Democrats siku zote huwa wana advantage na national popular votes kwa sababu ya majimbo ya California, New York, na Illinois.

Lakini ukiangalia hata ni mgombea yupi huwa anashinda majimbo mengi kati ya majimbo 50 ya Marekani, almost always ni GOP.
 
1. Kwa hiyo unakubali kwamba si kweli kuwa Hilary hakuwa kuongoza zaidi ya asilimia 50 kwenye kura za maoni?

2. Rais wa Marekani hachaguliwi na national popular votes. So national popular votes don’t mean a hill of beans.

3. Don’t get it twisted. Biden hashindi Texas. Sisemi hawezi kushinda urais. Bali, nasema jimbo la Texas litabaki kuwa jekundu.

4. Nadhani pia huzielewi vizuri hizi opinion polls. Kwanza, wala huwa hazi count. Pili, pollsters wanaweza ku frame maswali yao ili wapate matokeo wanayoyataka.

Kuna pollster tofauti
Sasa hao waliosema Hillary ana lead sana
Labda hawakuwa that credible..labda

Yes hachaguliwi na national popular votes
My opinion imeangalia zaidi states anazo lead
Na sio popolar votes only..

Kama Ohio na Florida kote ana lead vizuri
Sioni Trump anashindaje
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kuna pollster tofauti
Sasa hao waliosema Hillary ana lead sana
Labda hawakuwa that credible..labda

Yes hachaguliwi na national popular votes
My opinion imeangalia zaidi states anazo lead
Na sio popolar votes only..

Kama Ohio na Florida kote ana lead vizuri
Sioni Trump anashindaje
Yawezekana hata wewe hao pollsters uliowaangalia hawako credible vilevile.

Huko Ohio na Florida umeangalia polls gani?

And btw, unajua kuwa opinion polls hazi count?

Unajua kuwa kwenye opinion polls watu wanaweza kudanganya? Mtu anakwambia atampigia kura fulani lakini akienda kwenye voting booth anapiga tofauti na alivyokuambia?

Sijui uko wapi. Lakini kama uko Marekani, basi utagundua kuwa watu wengi wanaomuunga mkono Trump huwa hawapendi kusema sema hadharani kuwa wanamuunga mkono.

Na hiyo ni moja ya sababu inayoweza ku skew hizo opinion polls.
 
hii electoral college wabongo wengi huwa inatupiga chenga kuielewa
Kweli kabisa. Mwalimu wetu wa Civics O level alitudanganya kwamna hii electoral college ni Wamarekani wachache ambao wamesoma na wana hela ndo wanapiga kura na kuamua hatima ya urais wa Marekani. Nilivyokuja kugundua kuwa alitutia changa la macho nilicheka sana
 
Yawezekana hata wewe hao pollsters uliowaangalia hawako credible vilevile.

Huko Ohio na Florida umeangalia polls gani?

And btw, unajua kuwa opinion polls hazi count?

Unajua kuwa kwenye opinion polls watu wanaweza kudanganya? Mtu anakwambia atampigia kura fulani lakini akienda kwenye voting booth anapiga tofauti na alivyokuambia?

Sijui uko wapi. Lakini kama uko Marekani, basi utagundua kuwa watu wengi wanaomuunga mkono Trump huwa hawapendi kusema sema hadharani kuwa wanamuunga mkono.

Na hiyo ni moja ya sababu inayoweza ku skew hizo opinion polls...
Hivi ni kwa nini supporters wa Trump wengi wao huwa wako likely kutojihusisha nae hadharani?
 
Kweli kabisa. Mwalimu wetu wa Civics O level alitudanganya kwamna hii electoral college ni Wamarekani wachache ambao wamesoma na wana hela ndo wanapiga kura na kuamua hatima ya urais wa Marekani. Nilivyokuja kugundua kuwa alitutia changa la macho nilicheka sana
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna habari kwamba Trump na GOP wameandaa 50,000 au zaidi poll watchers katika states ambazo bila ushindi Trump haoni ndani. Mie nadhani hawa wanaweza kubeba bunduki hiyo November 3rd ili kuwatisha wapiga kura na hasa watu weusi na wengine ambao si wazungu ambao wengi wao hupigia kura wagombea wa Democrats. Nina wasiwasi kwamba uchaguzi huu unaweza usiwe salama na labda kutokea vurumai kubwa na hata watu kuumizwa au hata kuuana. Ngoja tusubiri tuone.
Kuna pollster tofauti
Sasa hao waliosema Hillary ana lead sana
Labda hawakuwa that credible..labda

Yes hachaguliwi na national popular votes
My opinion imeangalia zaidi states anazo lead
Na sio popolar votes only..

Kama Ohio na Florida kote ana lead vizuri
Sioni Trump anashindaje
 
Hivi ni kwa nini supporters wa Trump wengi wao huwa wako likely kutojihusisha nae hadharani?
Simple!

Ni kwa sababu ya blowback wanayoweza kupata.

Liberals/ Democrats wanapenda sana shari. Kwa mfano tu, hizi ghasia za mwaka huu huko Marekani unadhani ni washabiki wa nani wale waliokuwa wakizifanya? Republicans or Democrats?

Mtu hata kwa mfano ukivaa MAGA hat hadharani, uwezekano wa wewe kuwa harassased ni mkubwa sana.

Ndo maana baadhi ya watu wanaomuunga mkono wanaona kunyamaza ni bora zaidi kuliko blowback watayoipata lakini ikija siku ya kupiga kura, kwa sababu kura ni siri ya mtu, wanampigia kura mgombea wao.

NB: hiyo haimaanishi kwamba Trump atashinda au la...but it is the case.
 
Good morning on this, the 21st day before Election Day. Hillary Clinton’s chances reached 91 percent last night — their highest point yet in this election cycle. The latest rise comes from gains in Arizona and Georgia, as well as hints of further weakness in typically safe red states like Alaska and Utah.
 
Back
Top Bottom